Mzee Juma Duni Haji: Wanaotaka Mbowe aendelee kusota Mahabusu wako Ulaya

Mzee Juma Duni Haji: Wanaotaka Mbowe aendelee kusota Mahabusu wako Ulaya

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Juma Duni Haji amesema akipata nafasi yoyote ya kumuwezesha Freeman Mbowe kutoka mahabusu na kuungana na familia yake, ataitumia bila kujali kama atatukanwa ama lah.

Amesema serikali haijawahi kukiri kukosea, na wanaotaka aendelee kukaa mahabusu wako Ulaya wakila kuku na
viyoyozi.

Mzee wetu anataka kutuaminisha ni nani hasa aliyepo huko Ulaya anaependa Mbowe aendelee kushikiriwa mahabusu!

Screenshot_2022-01-24-08-42-44-72_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Duni kishakuwa kundi moja na zitto hvyo undumilakuwili, udini,na ukabila lazima umvae. Hawezi kuwa competent tena, kila kitu wanchoangalia,wanaangalia kwa ulafi wa fursa binafsi.
Nyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZO
Chuki na Wivu vitawauwa
 
Nyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZO
Chuki na Wivu vitawauwa
Kwann kikwete asiitwe mdini? kwann mzee Mwinyi asiitwe mdini? kwann Salmin Ahmed asiitwe mdini? kwann Maalimu Seif hakuitwa mdini? unafikiri hoja ya kwamba zito ni mdini,mkabila,na mlafi kasingiziwa?
 
Kwann kikwete asiitwe mdini? kwann mzee Mwinyi asiitwe mdini? kwann Salmin Ahmed asiitwe mdini? kwann Maalimu Seif hakuitwa mdini? unafikiri hoja ya kwamba zito ni mdini,mkabila,na mlafi kasingiziwa?
Zitto anasungiziwa baada ya kuonekana kuwa tishio dhidi ya SACCOS yenu
 
Tuwe wa kweli hivi Mbowe anapoendelea kusota jela tunafurahia ili tujifunze nini hasa, Demokrasia ya Tanzania sio ya uingereza hilo somo halitasaidia, ni bora atoke tuu.
 
Back
Top Bottom