Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako iliyojaa tope na oil chafu Lema au Lissu wana nguvu ya kumweka Mbowe mahabusu?Lisu na Lema ni wapumbavu sana wanapinga kila kitu hadi kutolewa kwa Mbowe!
Wewe kilaza sio serikali haikosei kasema serikali huwa haikiri kukoseaLema huyo!
Serikali huwa haikosei.
Duni yuko sahihi kabisa Freeman Mbowe atolewe gerezani!
Ukiwa na ubia na ccm huwezi kufikiria kwa mizani sawia, zaidi unasikilizia tumbo linataka nini.Lema huyo!
Serikali huwa haikosei.
Duni yuko sahihi kabisa Freeman Mbowe atolewe gerezani!
Ndugu yangu,Tuwe wa kweli hivi Mbowe anapoendelea kusota jela tunafurahia ili tujifunze nini hasa, Demokrasia ya Tanzania sio ya uingereza hilo somo halitasaidia, ni bora atoke tuu.
Lema huyo!
Serikali huwa haikosei.
Duni yuko sahihi kabisa Freeman Mbowe atolewe gerezani!
Hao jamaa khatari sana ukute huyo ni mkasikazini wanataka waishi wao tu Duniani wanakosa tu hiyo nafasi yakuwamaliza wasio waoNyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZO
Chuki na Wivu vitawauwa
Nyie mbona mpo hapa Nchini Mbona hamkuwazuia waliomkamata?Juma Duni Haji amesema akipata nafasi yoyote ya kumuwezesha Freeman Mbowe kutoka mahabusu na kuungana na familia yake, ataitumia bila kujali kama atatukanwa ama lah.
Amesema serikali haijawahi kukiri kukosea, na wanaotaka aendelee kukaa mahabusu wako Ulaya wakila kuku na
viyoyozi.
Mzee wetu anataka kutuaminisha ni nani hasa aliyepo huko Ulaya anaependa Mbowe aendelee kushikiriwa mahabusu!
View attachment 2093619
Akiachiwa kwa msamaha utapinga?Mbona wewe ni Mjinga sana usiyejua kuwa mtuhumiwa haachiwi kwa Msamaha
Sasa ndugu Mbowe anatokaje? Kesi inaendelea, acha ukweli ujulikane baada ya hukumu. Hii mambo ya atoke asitoke haisaidii kwa sasa. Ni nani ana uwezo wa kumtoa Mbowe mahabusu kwa sasa? Watu msijifanye mna huruma sana na Mbowe wakati yeye mwenyewe hajasema kama anaomba msamaha kwa hiyo atolewe. Tuiache mahakama ifanye kazi yake ili tuje tujadili hapa baada ya hukumu kutolewa, iwe leo, kesho au 2026.. issue ya ugaidi sio ya mchezo, tunahitaji hukumu ambayo italeta pia mafunzo kwa hapo baadae kuhusu kesi kama hizi. Ni hayo tu mkuu.Tuwe wa kweli hivi Mbowe anapoendelea kusota jela tunafurahia ili tujifunze nini hasa, Demokrasia ya Tanzania sio ya uingereza hilo somo halitasaidia, ni bora atoke tuu.
Kwamba akiri yeye ni Gaidi ili atolewe?Lema huyo!
Serikali huwa haikosei.
Duni yuko sahihi kabisa Freeman Mbowe atolewe gerezani!
Kobaz punguza jazbaNyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZO
Chuki na Wivu vitawauwa
Hili swali hawataki kulijibuKwamba akiri yeye ni Gaidi ili atolewe?
Shahidi wa Leo kakana Kila kitu Hadi ushahidi wake wa maandishi anauogopa?"Kesi imefutwa kwa kukosa ushahidi wa kutosha" hili ndio muhimu. Na si kuonewa huruma na kuchukua credit kupitia hilo.
Tuwe wa kweli, Chadema wamfutie mashtaka Mbowe na wamtoe gerezani. Lissu na Lema waache kuendelea kumshikilia gerezani.Tuwe wa kweli hivi Mbowe anapoendelea kusota jela tunafurahia ili tujifunze nini hasa, Demokrasia ya Tanzania sio ya uingereza hilo somo halitasaidia, ni bora atoke tuu.
Kwa kosa Gani? Unajua statement ya Mbowe? Acha kushabikia ujingaTuwe wa kweli, Chadema wamfutie mashtaka Mbowe na wamtoe gerezani. Lissu na Lema waache kuendelea kumshikilia gerezani.
Amandla...
Tuwe wa kweli, Chadema wamfutie mashtaka Mbowe na wamtoe gerezani. Lissu na Lema waache kuendelea kumshikilia gerezani.
Amandla...