Mzee Juma Duni Haji: Wanaotaka Mbowe aendelee kusota Mahabusu wako Ulaya

Mzee Juma Duni Haji: Wanaotaka Mbowe aendelee kusota Mahabusu wako Ulaya

Kwa hiyo anakosea serikali lakini lawama anapewa Lema na Lissu.

Usisahau hayo yote yalitokea kwasababu Maalim Seif alikuwepo. Sasa hayupo hao waliopo wanao uwezo wa kusimamia harakati?. Kwasababu kwa Viongozi waliopo naona Kama movement itapoa Kama sio kufa.
Mkuu narudia kazi maalim seif ameshaimaliza kitambo wazanzibari kujielewa.

Wazanzibari dakika 3 tu zinatosha wananchi wa Zanzibar kuamua sasa tuache hichi tufanye hichi

Emu ulizia ilichukua dakika ngap wazanzibar kuicha CUF ya Lipumba na kuingia ACT?
 
Juma Duni Haji amesema akipata nafasi yoyote ya kumuwezesha Freeman Mbowe kutoka mahabusu na kuungana na familia yake, ataitumia bila kujali kama atatukanwa ama lah.

Amesema serikali haijawahi kukiri kukosea, na wanaotaka aendelee kukaa mahabusu wako Ulaya wakila kuku na
viyoyozi.

Mzee wetu anataka kutuaminisha ni nani hasa aliyepo huko Ulaya anaependa Mbowe aendelee kushikiriwa mahabusu!

View attachment 2093619
minadhani wanaotaka mbowe akae ndani niwalioandaa kesi ambayo kimsingi ndoimemfanya awe ndani hadi sasa swala lakumtoa mbowe huko aliko wakwanza ni aliyemshitaki na wapili nimahakama, kinyume nahapo nimaigizo
 
Huyu ni malaya wa siasa
Mwenzako amewahi kufungwa jela sababu ya siasa kwa kesi ya Uhaini, wewe umewahi pitia hilo? Naandika hivyo nikijua fika, kuwa nchi hii ina watu wengi sana wanaopenda kuwatanguliza wenzao mbele wakati wa mapambano ya kisiasa.
 
Duni kishakuwa kundi moja na zitto hvyo undumilakuwili, udini,na ukabila lazima umvae. Hawezi kuwa competent tena, kila kitu wanchoangalia,wanaangalia kwa ulafi wa fursa binafsi.

Duni amekuwa SENILE siku hizi!! Mpuuzeni.
 
Lisu na Lema ni wapumbavu sana wanapinga kila kitu hadi kutolewa kwa Mbowe!
Kwa nini unamtaka mbowe aombe msamaha badala ya kumshauri DPP afute kesi? Na je unataka mbowe amuombe nani msamaha?
 
Duni kishakuwa kundi moja na zitto hvyo undumilakuwili, udini,na ukabila lazima umvae. Hawezi kuwa competent tena, kila kitu wanchoangalia,wanaangalia kwa ulafi wa fursa binafsi.
Ni jambo la kushangaza ACT ndio wako mstari wa mbele kupigania msamaha wa Mbowe kuliko CHADEMA ambayo Mbowe ni mwenyekiti wake!
 
Nae mnafiki tu,,, kwanini anazunguka zunguka.... si aweke kila kitu wazi..
 
Lisu na Lema ni wapumbavu sana wanapinga kila kitu hadi kutolewa kwa Mbowe!
Kama Serikali inataka kumtoa Mbowe si imtoe tu?! Kwanini visingizio visivyo na miguu wala kichwa kila kukicha? Kwa hiyo Serikali inaendelea kumshikilia na kumtesa Mbowe na wenzake kwa sababu tu imeshauriana na akina Lissu na kukubaliana kuwa Mbowe asitoke? Upumbavu sana.
 
Chadema Karibia wote wanashikiwa akili na Mbiwe na Lema.
 
Mkuu kuna faida ya Mbowe kuwepo mahabusu ,michango ni mingi saaana hadi Mbowe anajenga mji wake pale machame ,wewe uliona wapi mfungwa anajenga ? Ndio ujue kwa nini nae anajifanya kungangania mahabusu mkuu
Anamjengea mama yako ujue Ni baba yako
 
"Serikali huwa haikosei"
Serikali ina mkono mrefu.
 
Back
Top Bottom