Nyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZODuni kishakuwa kundi moja na zitto hvyo undumilakuwili, udini,na ukabila lazima umvae. Hawezi kuwa competent tena, kila kitu wanchoangalia,wanaangalia kwa ulafi wa fursa binafsi.
Wee nae uwe unatumia akili hata kdg tu, suala lipo mahakamani tayar na kesi unaendelea sasa unapowalaum waliopo ulaya kwamba ndio wanaendesha hiyo kesi ama? Au mlitaka waende magereza wamtoe kwa nguvu? Ubongo wako ...Lisu na Lema ni wapumbavu sana
Kwann kikwete asiitwe mdini? kwann mzee Mwinyi asiitwe mdini? kwann Salmin Ahmed asiitwe mdini? kwann Maalimu Seif hakuitwa mdini? unafikiri hoja ya kwamba zito ni mdini,mkabila,na mlafi kasingiziwa?Nyinyi mmefikisika kisasa kila mwenye jina la kiislsmu NI MDINI au GAIDI jipangeni tena mnawenge c MCHEZO
Chuki na Wivu vitawauwa
Mkuu kuna faida ya Mbowe kuwepo mahabusu ,michango ni mingi saaana hadi Mbowe anajenga mji wake pale machame ,wewe uliona wapi mfungwa anajenga ? Ndio ujue kwa nini nae anajifanya kungangania mahabusu mkuuLisu na Lema ni wapumbavu sana wanapinga kila kitu hadi kutolewa kwa Mbowe!
Zitto anasungiziwa baada ya kuonekana kuwa tishio dhidi ya SACCOS yenuKwann kikwete asiitwe mdini? kwann mzee Mwinyi asiitwe mdini? kwann Salmin Ahmed asiitwe mdini? kwann Maalimu Seif hakuitwa mdini? unafikiri hoja ya kwamba zito ni mdini,mkabila,na mlafi kasingiziwa?
Hebu acheni upuuzi! Mwenye uwezo wa kumtoa ni nani? Kwa hiyo wale waliopo Ulaya, ndio walioshikilia ufunguo wa kumwachia?Lema huyo!
Serikali huwa haikosei.
Duni yuko sahihi kabisa Freeman Mbowe atolewe gerezani!
Are you dega?Zitto anasungiziwa baada ya kuonekana kuwa tishio dhidi ya SACCOS yenu
Mbonà na Mama yako anapinga Mbowe kuomba msamaha!? Mama yako huyo unayemjua hataki kusikia mambo ya msamaha. Kwahiyo naye Ni mpumbavu?Lisu na Lema ni wapumbavu sana wanapinga kila kitu hadi kutolewa kwa Mbowe!
Udini unawasumbua. Kwa vile Rais Ni muislamu mwenzake, akili ya haki imehamaDuni kishakuwa kundi moja na zitto hvyo undumilakuwili, udini,na ukabila lazima umvae. Hawezi kuwa competent tena, kila kitu wanchoangalia,wanaangalia kwa ulafi wa fursa binafsi.
Wa chato wewe eeh KUNGANGANIA hakujawahi kuwaacha salama=kung'ang'aniaMkuu kuna faida ya Mbowe kuwepo mahabusu ,michango ni mingi saaana hadi Mbowe anajenga mji wake pale machame ,wewe uliona wapi mfungwa anajenga ? Ndio ujue kwa nini nae anajifanya kungangania mahabusu mkuu