Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2015 🐼Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
😆😆😆😆Angejitolea mfano yeye mwenyewe kwa alichokifanya 2015.
Mnafiq mkubwa,amesahau alivyomfanyizia Lowasa kwenyeuchaguzi mkuu 2015?Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Ningelimtukana matusi mazito. Shetani toka nisitende dhambi kubwa!Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Amependekeza kifanyike nini kuondoa mapungufu hayo yanayojulikana na kila mtu!Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Vizee vinafiki kama hiki huku kwetu usukumani tunapiga shoka tu.Ningelimtukana matusi mazito. Shetani toka nisitende dhambi kubwa!
Swali kwake: Alipokuwa na absolute power alifnya nini kuhakikisha hilo Tanzania linaisha na halitarudiwa tena!
Na sasa hivi anafanya nini kuhakikisha Tanzania inaondokana na hali hiyo?Ningelimtukana matusi mazito. Shetani toka nisitende dhambi kubwa!
Swali kwake: Alipokuwa na absolute power alifnya nini kuhakikisha hilo Tanzania linaisha na halitarudiwa tena!
Huyu hapaMahera atabakia kuwa mfalme wa mashetani yote kwenye uchaguzi. Lagacy yake katika ushetani, sijui kama kuna binadamu ataweza kuivunja.
Hili jitu lingekuwa hata utashi mdogo sana, lisingekuwa linajitokeza kwenye tumio lolote linalohusu demokrasia
msikipige shoka kiambie ukweli mkavu kinye uharoVizee vinafiki kama hiki huku kwetu usukumani tunapiga shoka tu.
😆😆😆😆Ningelimtukana matusi mazito. Shetani toka nisitende dhambi kubwa!
Swali kwake: Alipokuwa na absolute power alifnya nini kuhakikisha hilo Tanzania linaisha na halitarudiwa tena!
Huyu ngiri huyu basi tu !!!!
Sawa, ahsante kwa taarifa.Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Naye anasubiri kuandika Kitabu cha Majuto kama Mkapa na Mwinyi?Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Hakuna hata mshipa mmoja wa aibu unaomsuta! Inasikitisha.Teh teh 😃 😃 hii michezo imefanyika Sana hapo Zanzibar miaka yote, hata mwaka. 2015 wakati anaachia madaraka lilitokea hilo....ila alibakia kimya tu, Sasa ndio busara zimerejea.
SAWA.Kosa lake lipi hapo kwa kauli hiyo hadi mumtukane?
Jamani jifunzeni kutafakari kilichosemwa siyo chuki dhidi ya mtu.
Huu ni nwanzo mzuri hata kana huko nyuma hakuyazingatia hayo.
Sasa anaona haki intakiwa kufanyika kipindi ambacho yeye hayumo...Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
Sasa anaona haki intakiwa kufanyika kipindi ambacho yeye hayumo...Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.