Pre GE2025 Mzee Kikwete asikitishwa na Migogoro ya Uchaguzi adai aliyeshinda hatangazwi aliyeshindwa anatangazwa

Pre GE2025 Mzee Kikwete asikitishwa na Migogoro ya Uchaguzi adai aliyeshinda hatangazwi aliyeshindwa anatangazwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
2015 🐼
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Mnafiq mkubwa,amesahau alivyomfanyizia Lowasa kwenyeuchaguzi mkuu 2015?
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Ningelimtukana matusi mazito. Shetani toka nisitende dhambi kubwa!

Swali kwake: Alipokuwa na absolute power alifnya nini kuhakikisha hilo Tanzania linaisha na halitarudiwa tena!
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Amependekeza kifanyike nini kuondoa mapungufu hayo yanayojulikana na kila mtu!

Mchango wake kwa Tanzania katika mapungufu hayo kaueleza. Kwa nini alishindwa kukamilisha zoezi la Katiba Mpya?
 
Mahera atabakia kuwa mfalme wa mashetani yote kwenye uchaguzi. Lagacy yake katika ushetani, sijui kama kuna binadamu ataweza kuivunja.

Hili jitu lingekuwa hata utashi mdogo sana, lisingekuwa linajitokeza kwenye tumio lolote linalohusu demokrasia
Huyu hapa

Screenshot_2024-05-25-18-18-48-1.png
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Sawa, ahsante kwa taarifa.
Vipi, hajasema lolote kuhusu uchaguzi uliovunjika mara mbili kule Njombe?!!! Tena wa ndani?!!!!!
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Naye anasubiri kuandika Kitabu cha Majuto kama Mkapa na Mwinyi?
 
Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
 
Kosa lake lipi hapo kwa kauli hiyo hadi mumtukane?
Jamani jifunzeni kutafakari kilichosemwa siyo chuki dhidi ya mtu.
Huu ni nwanzo mzuri hata kana huko nyuma hakuyazingatia hayo.
SAWA.
Nakubaliana na wewe katika hili. Sasa atuonyeshe njia sahihi. Tuanzie hapahapa kwetu.

Anayo nafasi nzuri kabisa ya kusahihisha yaliyopita kwa kusimama kidete wakati huu kuyarekebisha.
Huko ndani ya CCM sasa hivi hakuna mwenye ubavu wa kumzuia kufanya yaliyo sahihi; hata kama ni kwa madhumuni ya kuiokoa CCM yenyewe isisombwe na mafuriko.
 
Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
Sasa anaona haki intakiwa kufanyika kipindi ambacho yeye hayumo...

Bado ana infuence kwenye kuleta mabadiliko hajachelewa
 
Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
Sasa anaona haki intakiwa kufanyika kipindi ambacho yeye hayumo...

Bado ana infuence kwenye kuleta mabadiliko hajachelewa
 
Back
Top Bottom