Pre GE2025 Mzee Kikwete asikitishwa na Migogoro ya Uchaguzi adai aliyeshinda hatangazwi aliyeshindwa anatangazwa

Pre GE2025 Mzee Kikwete asikitishwa na Migogoro ya Uchaguzi adai aliyeshinda hatangazwi aliyeshindwa anatangazwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Huyu mzee ni wa kuwa makini naye sana, haaminiki
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Hakuna mtu mnafki kama kikwete
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
😁😁😁😁😁😁
 
Teh teh 😃 😃 hii michezo imefanyika Sana hapo Zanzibar miaka yote, hata mwaka. 2015 wakati anaachia madaraka lilitokea hilo....ila alibakia kimya tu, Sasa ndio busara zimerejea.
Siyo alibakia kimya mkuu. Unaambiwa dokta Shein alishakubali ameshindwa na alikuwa tayari kumpongeza Maalim. Utakumbuka kikwekwete alikuwa safarini nje ya nchi akahairisha. Ben akawahi Zenji masaa machache baadaye mkwere akaungana naye na kumkaripia sana Dr Sheni na Jecha. Tunamlaumu tu Jecha bure ila his hands were tied. Na angetangaza tu ushindi kwa maalim bas hakuna chochote Mkwere na Ben wangefanya.

Kule kuzuia kumtangaza maalim ndo iliwasaidia.

Hakuna mtu mstaarabu kama Sheni very humble politician.

Source: mzee flan alikuwa ubalozini Sweden
 
Samia naye amefanya yake kipindi hiki:

1) amekuwa kipingamizi kwenye katiba mpya.

2) Amekuwa kipingamizi katika kupata Tume Huru ya Uchaguzi.

3) Amekuwa kiini cha mkataba ule wa kishenzi wa DP World na ile mingine 30 ya hovyo iliyopora rasilimali za Taifa.

Ameshauriwa sana, kwa lugha zote, lakini ameziba masikio. LAKINI siku akitoka kwenye uongozi tutamsikia akisema kuwa anasikitika nchi haina Tume huru ya uchaguzi, kama alivyosema Mkapa; atasema chanzo cha migogoro ya nchi nyingi ni kukosekana kwa katiba mpya na watawala kujinufaisha na rasilimali za nchi!!
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Machozi ya mamba! Kenge maji,wakati jini alilolitengeneza, jiwe ana unajisi uchaguzi, mbona alikaa kimya!
 
Siyo alibakia kimya mkuu. Unaambiwa dokta Shein alishakubali ameshindwa na alikuwa tayari kumpongeza Maalim. Utakumbuka kikwekwete alikuwa safarini nje ya nchi akahairisha. Ben akawahi Zenji masaa machache baadaye mkwere akaungana naye na kumkaripia sana Dr Sheni na Jecha. Tunamlaumu tu Jecha bure ila his hands were tied. Na angetangaza tu ushindi kwa maalim bas hakuna chochote Mkwere na Ben wangefanya.

Kule kuzuia kumtangaza maalim ndo iliwasaidia.

Hakuna mtu mstaarabu kama Sheni very humble politician.

Source: mzee flan alikuwa ubalozini Sweden
Kila ubaya utalipwa
 
Samia naye amefanya yake kipindi hiki:

1) amekuwa kipingamizi kwenye katiba mpya.

2) Amekuwa kipingamizi katika kupata Tume Huru ya Uchaguzi.

3) Amekuwa kiini cha mkataba ule wa kishenzi wa DP World na ile mingine 30 ya hovyo iliyopora rasilimali za Taifa.

Ameshauriwa sana, kwa lugha zote, lakini ameziba masikio. LAKINI siku akitoka kwenye uongozi tutamsikia akisema kuwa anasikitika nchi haina Tume huru ya uchaguzi, kama alivyosema Mkapa; atasema chanzo cha migogoro ya nchi nyingi ni kukosekana kwa katiba mpya na watawala kujinufaisha na rasilimali za nchi!!
Ndio maana mimi sitaki kusoma hivyo vitabu vyao
 
Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
Jakaya Mrisho Kikwete, kama raia (ukiondoa urais na vyeo vingine alivyopitia), ni mtu muungwana, msikivu na mwenye mawazo huru.
Hata hivyo, kiongozi bila watu ni kama mamba nje ya maji (nguvu ya mamba kwenye maji na ya kiongozi kwa watu wanaomshabikia na kumlinda).
Katika kundi la binadamu, kuna tofauti kifikra (wapo wenye fikra za kinyama kama mbwa na wengine wenye utu), na wote hao huwazunguka viongozi na hutumika, kila mmoja kwa umuhimu na nafasi yake.
Changamoto kubwa hutokea pale ambapo nafasi zinazohitaji watu wenye utu hupewa wenye unyama.
Mpangilio usipokuwa mzuri, kiongozi aweza kuzidiwa nguvu, hata kama ana nia nzuri. Vivyo hivyo kiongozi muovu aweza kupatikana.
 
Wapi kasema uongo? Yeye alikuwa Rais wa nchi kwa miaka 10 mfululizo kwahiyo anajua yote haya aidha alipokuwa mamlakani ama hata baada ya kutoka maana ana vyanzo vingi na vya kuaminika vya kumpa taarifa.
Huyu Mzee ni snitch ndio maana aliwahi kukimbia kule Monduli kwenye chuo Cha kijeshi sababu ya unafiki.
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Daaaah 😆
Anaishauri Afrika wakati Tanzania hapa maswala ya Uchaguzi miaka yote hatuelewi yanakwendaje.
Ni sawa na kumsaidia jirani kujenga choo wakati kwako ni chimba-unye.
 
Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.

Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).

Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.

“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”

“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.

Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.

Mwananchi

Toa maoni yako
Jpm huko aliko asikie somo hilo kutoka kwa nguli wa siasa barani africa. Lile dubwana liliharibu kila kitu na tayari makundi ya ugaidi yalikuwa yanaitengeneza kwa kasi. I"m sure mungu asingemaliza ubishi basi nchi hii ingekuwa kosovo mpaka sasa. Bahari imetulia
 
Atuambie vizuri nchi gani zina hiyo migogoro

1000010783.jpg
 
Very stupid. Huyu si ndio alituma majeshi Zanzibar kupora ushindi wa Maalim Seif 2015? Mpaka wakafuta matokeo ya uchaguzi kwa jeshi kuzunguka jengo la kitangazia matokeo. Aache ujinga kabisa huyo mnafiki. Anatakiwa apopolewe mawe mpaka kufa.
 
Back
Top Bottom