OOOh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OOOh!
Huyu mzee ni wa kuwa makini naye sana, haaminikiAmeyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Hakuna mtu mnafki kama kikweteAmeyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
😁😁😁😁😁😁Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Siyo alibakia kimya mkuu. Unaambiwa dokta Shein alishakubali ameshindwa na alikuwa tayari kumpongeza Maalim. Utakumbuka kikwekwete alikuwa safarini nje ya nchi akahairisha. Ben akawahi Zenji masaa machache baadaye mkwere akaungana naye na kumkaripia sana Dr Sheni na Jecha. Tunamlaumu tu Jecha bure ila his hands were tied. Na angetangaza tu ushindi kwa maalim bas hakuna chochote Mkwere na Ben wangefanya.Teh teh 😃 😃 hii michezo imefanyika Sana hapo Zanzibar miaka yote, hata mwaka. 2015 wakati anaachia madaraka lilitokea hilo....ila alibakia kimya tu, Sasa ndio busara zimerejea.
Machozi ya mamba! Kenge maji,wakati jini alilolitengeneza, jiwe ana unajisi uchaguzi, mbona alikaa kimya!Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Kila ubaya utalipwaSiyo alibakia kimya mkuu. Unaambiwa dokta Shein alishakubali ameshindwa na alikuwa tayari kumpongeza Maalim. Utakumbuka kikwekwete alikuwa safarini nje ya nchi akahairisha. Ben akawahi Zenji masaa machache baadaye mkwere akaungana naye na kumkaripia sana Dr Sheni na Jecha. Tunamlaumu tu Jecha bure ila his hands were tied. Na angetangaza tu ushindi kwa maalim bas hakuna chochote Mkwere na Ben wangefanya.
Kule kuzuia kumtangaza maalim ndo iliwasaidia.
Hakuna mtu mstaarabu kama Sheni very humble politician.
Source: mzee flan alikuwa ubalozini Sweden
Ajichetua tu kwani hajui mambo ya serekare!!
Ndio maana mimi sitaki kusoma hivyo vitabu vyaoSamia naye amefanya yake kipindi hiki:
1) amekuwa kipingamizi kwenye katiba mpya.
2) Amekuwa kipingamizi katika kupata Tume Huru ya Uchaguzi.
3) Amekuwa kiini cha mkataba ule wa kishenzi wa DP World na ile mingine 30 ya hovyo iliyopora rasilimali za Taifa.
Ameshauriwa sana, kwa lugha zote, lakini ameziba masikio. LAKINI siku akitoka kwenye uongozi tutamsikia akisema kuwa anasikitika nchi haina Tume huru ya uchaguzi, kama alivyosema Mkapa; atasema chanzo cha migogoro ya nchi nyingi ni kukosekana kwa katiba mpya na watawala kujinufaisha na rasilimali za nchi!!
Jakaya Mrisho Kikwete, kama raia (ukiondoa urais na vyeo vingine alivyopitia), ni mtu muungwana, msikivu na mwenye mawazo huru.Nafikiri ni njia mojawapo ya kuyalaani matendo yaliyofanyika wakati akiwa Raisi. Lakini tujiulize je hakuwa ba uwezo wa kuyakataa natendo yale hadi angojee sasa?
BWM na yeye aliyasema maneno kama haya kabla hayajatokea aliyoyataka akaaga dunia.
Huyu Mzee ni snitch ndio maana aliwahi kukimbia kule Monduli kwenye chuo Cha kijeshi sababu ya unafiki.
Daaaah 😆Ameyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Jpm huko aliko asikie somo hilo kutoka kwa nguli wa siasa barani africa. Lile dubwana liliharibu kila kitu na tayari makundi ya ugaidi yalikuwa yanaitengeneza kwa kasi. I"m sure mungu asingemaliza ubishi basi nchi hii ingekuwa kosovo mpaka sasa. Bahari imetuliaAmeyasema hayo kwenye kongamano la viongozi wa Africa katika kuadhimisha miaka 20 ya Kamisheni ya Amani ya AU Mjini Dar es Salaam, Tanzania.
Sitaki kuongeza maneno, mwenyewe huyu hapa
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongoni mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki.
Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Aamani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC).
Amesema migogoro mingi ya ndani ya nchi za Afrika inahusiana na upungufu wa kiutawala.
“Inaweza kuwa demokrasia, ambapo inafikia watu wanakosa imani na demokrasia, kunakuwa na chaguzi ambazo hazijaratibiwa vizuri.”
“Aliyeshinda hatangazwi na aliyeshindwa anatangazwa kuwa mshindi. Yote ni kwa sababu ni upungufu wa kiongozi, kukosekana usawa, ubaguzi, ukabila na upendeleo,” amesema Kikwete.
Amesema watu wanapokosa haki zao huamua kuzipambania na ndipo inapozuka migogoro.
Mwananchi
Toa maoni yako
Zingekuwa ni falsafa za Karl Max ungesema Busara ni Hizi.Unafiki uzeeni ni sawa na uchawi
Huyu jamaa ni mfano wa wasomi wetu. Akakubali kuisigina demokrasia ili kumfurahisha mtu mmoja.