Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio jukumu langu tafuta mfasiri joKwa kiswahili Tafadhali!
Haya bhana siye wanyonge!Sio jukumu langu tafuta mfasiri jo
Mkwere huyo, vijembe ni jadiMzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu".
Maneno haya yana maana kubwa sana yanapokaa mgongoni mwake tofauti na yangekaa mgongoni mwa mwananchi wa kawaida.
Je, ni kweli tunayo kasi inayosambaza tabasamu au tumepingwa upofu kuyakumbuka na kuyaona machungu?
View attachment 1797535
Poleni sanaHaya bhana siye wanyonge!
Ni Mkwere kwa asili.. Vijembe ni ada pia ni jadiHuyu baba kwa vijembe hapan, hadi mkewe wote wamekutan vimpyepye [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Anasubiri kuwatumia tu kuoga wajijueNaona mzee pia yupo vizuri, check farasi waleee😂😅
Atakumbuka kuvirudisha mahali pake kweli au ndiyo vinapelekwa skrepa kuuzwa!!! 🤣Poleni sanaView attachment 1797557
Naona Kama watu wengi wameanza kuwa na tabasamu, baada ya kukunja ndita mda mrefu uliopita, " yajayo yanafurahisha" kazi iendelee kunoga!!Dangote ndani ya nyumbi again...!!!!
Hao siyo punda mkuu. Ni farasi!Mzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu".
Maneno haya yana maana kubwa sana yanapokaa mgongoni mwake tofauti na yangekaa mgongoni mwa mwananchi wa kawaida.
Je, ni kweli tunayo kasi inayosambaza tabasamu au tumepingwa upofu kuyakumbuka na kuyaona machungu?
View attachment 1797535
Saaaaagudaaaa sasagudaaaaaa nakuitaaa kwa sauti Saguda47 mtu wangu Dogo Saguda47 bado unazile ruby rangi ya marvy?He is back,[emoji23][emoji23] awamu ya nne II
Mission completed successfully with a big smile.... The eradication process went smoothly...!!!!
Hao siyo punda mkuu. Ni farasi!