Mzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu"...
badala ya yeye kuacha legacy kaachiwa yeyeLegacy chaliii.. kwisha kabisa...ππππ
Shemeji ina maana siku hizi punda hawajui tena? Hao anaoangalia mzee wa Msoga mbona siyo punda? Halafu hayo maneno ni ya watoa huduma ya mawasiliano hayana uhusiano na kasi ya Mh. Rais wa awamu ya 6 kama unavyotaka kutuaminisha!Mzee wa Msoga haishiwi vimbenga, ni mtalaam wakung'ata na kupuliza . Leo inasambaa picha akiwa kavaa tshirt kama ya Yanga akiwa anatazama punda. Tshit ukiangalia kwa makini unabaini ina maneno yasomekayo "Kasi isambazayo tabasamu"...
Yaani yule gaidi alichotufanya sina hamu kila nikikumbuka, bira lilikufa! Yaani mpaka sura yangu imekunjamana kama mzee mstaafu kumbe mimi bado yankee kabisa!Naona Kama watu wengi wameanza kuwa na tabasamu, baada ya kukunja ndita mda mrefu uliopita, " yajayo yanafurahisha" kazi iendelee kunoga!!
ππππ. πππYaani yule gaidi alichotufanya sina hamu kila nikikumbuka, bira lilikufa! Yaani mpaka sura yangu imekunjamana kama mzee mstaafu kumbe mimi bado yankee kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan huyu na mkewe sipati picha wakiwa wanasemezan maan n video tupu lol.Ni Mkwere kwa asili.. Vijembe ni ada pia ni jadi
Kigogo π¬π¬Jay Z Mwenye midomo Mipana amesemaje?