Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
GoodbyeWacha wee! Leo hii hatimae imekuwa ni Zitto na gazeti la The Economist?! Na sio Eric Kabendera? Btw, kwani ni kipi kipya alichoongea JK ambacho huyo Zitto hakifahamu, hadi ionekane sasa Zitto ndo atatumia hiyo hoja kwa The Economist?!
Pole sana!!!Goodbye
Kwani hatujaingia tu uchumi wa Kati? Record ipi sawa alihoweka na akili zako hizo?Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
Hasa hasa anayefuata anapokuwa kilaza zaidi ya aliyepita,yaani wanaona Kama wameruka mkojo na kukanyaga kinyesiTanzania wakati uliopita huwa ni bora zaidi kuliko wakati uliopo au wakati ujao,hivyo wakati uliopo huwa hauna mashaka katika wakati ujao kwa sababu unajua tu wakati wake uliopita na wenyewe utainekana kuwa ni wakati bora kwa sababu siyo wakati uliopo tena bali ni wakati uliopita.
Hapo tunahitaji marais wengine wawili kwa maana ya 20 yrs, hao kama wanatokea ccm
Mada inalenga kukebehi Serikali ya sasa kwa kumkariri Kikwete kana kwamba amekanusha yanayosemwa na Serikali. Mada inapotosha aliyoyasema Kikwete kuhusu mafanikio ya Serikali ya sasa ambayo wewe unayaita 'propaganda', kwa kumsingizia kwamba amekanusha yanayosemwa na Serikali. Ukweli wa mambo ni kama ifuatavyo.Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
We kichaa ni wakumfundisha JK kipi Cha kuzungumzia?Kikwete akikaa baadae akaiangalia tena hiyo hotuba nadhani ata yeye mwenyewe atajiambia ni moja ya political blunder kubwa aliyowahi fanya katika maisha yake.
It was unnecessary
Hawa wasanii watoto wadogo tu siku hizi wanapofanyiwa interview na waandishi marafiki wana code zao nikishika sikio achana na hilo swali.
Kipindi hiki cha uchaguzi mtu ambae maisha yake yote kafanya siasa JK should know that was uncalled for.
Labda akawe rais wa uvccmNa hasa miongoni mwa hawa wawili, mmoja akiwa ni Makonda tutaufikia uchumi wa juu mapema zaidi.
Ukiona vyombo huru vya habari vinafungiwa ujue wanataka kutulisha matango pori kupitia Uhuru na tbc
We kichaa ni wakumfundisha JK kipi Cha kuzungumzia?
Sio rahisi. CCM kwenye kugawana madaraka wako makini kuliko hata wajumbe wenyeweHuu msingi wa kuachiana achiana safari hii naona unatikiswa kwa nguvu sana
Yani ulitaka barabara zisiwe na matuta?Mkuu ujenzi wa barabara ya morogoro hasa eneo la mbezi mwisho,Barabara zetu kujaa matuta,sheria za ajabu Kama matokeo ya urais kutopingwa popote nk ni moja ya indicators za ukilaza huo
Uongo upi aliosema?Mtu anayesema uongo kila anapofunguwa mdomo wake anafaa kuwa kiongozi wa wanaccm pekee katika dunia hii ya watu waliostarabika
Kwani kuna mtu kasema wameshaifikia?Pointi yangu Ni kuwa lengo ambalo CCM walijiwekea (dola 3000), halijafikiwa bado
Ndio alichosema Kikwete na ndio Uzi wangu huo,
Kwani hapa tunajadiri nini Kama si mauongo yake kwa watanzania? Juzi pia taifa kasema mkapa ndo alimwibua JK hadi JK ikabidi amcheke tuUongo upi aliosema?
Kwani Magufuli alisema anajivuna kwa kufikia malengo hayo ya dola elf 3 kabla ya 2025?Mkuu 2025 development strategy ipo mtandaoni kwa nini usiisome ukajiridhisha?lengo mdogo wangu haikuwa kuingia uchumi wa kati tu bali kipato Cha USD 3000.00 Sasa tupo 1028.00 bado sana,na JK kamwambia bado sana shehe
Usemi wake ni sahihi. Issue iliyoko sasa ni kuvuka/kuingia kwenye uchumi wa kati as a starting point. 2025 ni hatua ndani ya uchumi wa kati. Tupunguze viherere here. PamojaKikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
We hujaelewaMada inalenga kukebehi Serikali ya sasa kwa kumkariri Kikwete kana kwamba amekanusha yanayosemwa na Serikali. Mada inapotosha aliyoyasema Kikwete kuhusu mafanikio ya Serikali ya sasa ambayo wewe unayaita 'propaganda', kwa kumsingizia kwamba amekanusha yanayosemwa na Serikali. Ukweli wa mambo ni kama ifuatavyo.
Pato la wastani wa chini ya USD 1,000 huhesabiwa kuwa Low Income. Kuanzia USD 1,000 hadi USD 3,000 ni Middle Income; na juu ya hapo ni High Income. Ukiisha vuka USD 1,000 unaingia Lower Middle Income na ukikaribia kiwango cha juu cha USD 3,000 unahesabiwa kuwa kwenye Upper Middle Income. Malengo ya Serikali, tangu wakati wa Kikwete, yalikuwa kwamba ifikapo mwaka 2025 mosi, Tanzania iingie uchumi wa kati, yaani kuwe na pato la wastani wa zaidi ya USD 1,000; na pili, kipato cha wastani kiwe takriban USD 3,000.
Serikali ya Magufuli imefikia lengo la kwanza mwaka huu, ikiwa ni miaka mitano kabla ya tarehe iliyopangwa. Hatua hii ilitangazwa na World Bank yenyewe. Ni dhahiri kwamba mada yako inapotosha ukweli kwa kusema Kikwete amekanusha 'propaganda' za Serikali. Hakuna lo lote alilokanusha Kikwete. Yeye ameishia kutaja lengo la tangu Serikali yake ya kufikia uchumi wa kati mwaka 2025. Serikali ya Magufuli imefanikisha hilo miaka mitano mbele na hilo likatangazwa na World Bank yenyewe. Hakuna cha propaganda hapo. Serikali iliendelea kusema kwamba kipato cha wastani, kufuatana na World Bank, ni USD 1,038. Wewe unamkariri Kikwete kwamba amesema Serikali inadanganya kwa kusema kiwango cha wastani ni USD 3,000. Serikali haijtamka hivyo. Mtu ambaye hakusikiliza hotuba ya Kikwete ataamini kwamba uyasemayo ni ukweli, ambapo si kweli. Tusubiri tuone kama lengo la pili la wastani wa mapato litafikiwa hapo mwaka 2025. Kwa kuangalia kasi iliyofikiwa katika miaka mitano tunayoimalizia, bila shaka lengo hilo litafikiwa pia. Mungu ibariki Tanzania na utulinde na habari potofu zinazoweza kuwaghafirisha wananchi.