Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Huu ndio upumbavu wenu,maana mmeshasahau tayari kwamba jk ndiye mlisema ni fisadi kuliko.


Anyway,ukitaka tutumie akili zenu kisoda,tutamnyima heshima mama mzazi sababu aliyesababisha mimba ni baba mzazi.

Mipango ya uchumi na utekelezaji wake ni migumu sana,kuliko kuuangusha.hivyo bas tunamsifu rais sababu ameweza kupokea speed ile ambayo hata hivyo nyinyi wapumbavu mnaiita ni uongo tu.na kisha kuongeza namba pale IMF.

Alichofanya na tunamsifu,anasimamia vyema waliyoyapanga watangulizi wake.maana mipango ni tofauti na utekelezaji.
 
Kama Kikwete Anatuambia Mkapa Ndiye Aliyeanzisha Sera Ya Kwenda Uchumi Wa Kati Na Ndiye Aliyetengeneza Uchumi Na Ukawa Unakua Kwa Asilimia 7 Na Kwanzia Hapo Haujawahi Kutetereka! Sasa Huyu Tunayemsifu Na Kumuabudu Kila Siku Kwamba Hajawai Kutokea Kama Yeye Kafanya Nini?

Kikwete Leo kamaliza kila kitu nisikie mtu anamsifia mtu mbele yangu atakula Kofi moja tu

Mr mkiki.
Kuongea na kuimplement vitu viwili tofauti,unaweza ukawa mzuri wa kuplan na kudesign ila kuimplement ukashindwa,ndio maana kuna architecture (Mkapa) na Civil Engineer (Magufuli).

Kila mtu kwa nafasi yake ana stahili sifa.
 
Mkwere kaikosoaje? Kwamba kapingana na WB?

Mbona mkwere alikuwa wazi kabisa tena katumia kiswahili kwamba japo tumeshafika uchumi wa kati ila lazima tujitahidi kufikisha lengo la Mkapa la uchumi wa dola elf 3 kwa kila mtz, ili kuyaenzi maono yake.

Hapo kampiga kijembe wapi?
Hapo hajasikia.[emoji16][emoji16]

Kama manguruwe yaani.
 
Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.

Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
View attachment 1520824

Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.

Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.

Nimesikiliza hotuba yake ina facts.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.

Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
View attachment 1520824

Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.

Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.

Kikwete huwa anajiamini nini
 
Hapa nilichogundua ni WB wanafigure zao kwa nchi yeyote kuingia uchumi wa kati,sisi kama nchi ilipangwa kufikia 2025 kila RAIA awe na 3000$ ambapo wakati huohuo tutakuwa tumeingia uchumi wa kati.Tatizo LA Magu ni kutuhadaa kuwa tumeingia uchumi wa kati kabla ya 2025 wakati huo haukuwa mpango wa WB ni mpango wetu kama nchi, pia haongelei kuhusu kufikia dola 3000kila RAIA ambayo ni mpango wa nchi pia.
 
1596053901399.png
 
"Mzee Mwinyi aliikuta nchi iko kwenye mazingira magumu sana kiuchumi..." nimeishia hapo kunukuu!
 
Uchumi ni kama GPA university mwanzoni tulikuwa kwenye pasi sasa tuko kwenye lower second baadae tutapanda hadi upper second (uchumi wa Kati) halisi.
Alichoongea Mzee Kikwete ndio ukweli wa tafsiri ya mageuzi ambayo yanatakiwa kupatikana ifikapo 2025.
Katika hayo Sina shaka na Mh. Rais JPM kutimiza matarijio hayo,kikubwa si kubeza bali ni kumuomba Mungu atupe uzima wa pamoja kuona hayo.
Nina hakika katika yeye kutimiza ndoto na maono hayo kwa manufaa ya kizazi kijacho.
 
Hapa nilichogundua ni WB wanafigure zao kwa nchi yeyote kuingia uchumi wa kati,sisi kama nchi ilipangwa kufikia 2025 kila RAIA awe na 3000$ ambapo wakati huohuo tutakuwa tumeingia uchumi wa kati.Tatizo LA Magu ni kutuhadaa kuwa tumeingia uchumi wa kati kabla ya 2025 wakati huo haukuwa mpango wa WB ni mpango wetu kama nchi, pia haongelei kuhusu kufikia dola 3000kila RAIA ambayo ni mpango wa nchi pia.
Hata wewe umekumbwa na upepo wa kichadena tayari!

Magufuli akishangilia taarifa WB hakusema kwamba tayari wameshafikia dola elf 3 kabla ya 2025
 
Nilichogundua humu wengi ni wafanyakazi wa umma so walizoea kupiga pesa za bure now hazipo kwahyo lazima wawe na hasira, mana kila nikijiuliza inakuwaje mupinge mambo makubwa km haya yanayofanyika ss nkawa sipati jibu unakuta mtu anamsifia Kikwete licha ya ufisadi mkubwa enzi zake na kukosekana kwa huduma muhimu mfano kukatika katika kwa umeme n.k, but jibu nimelipata ni kwamba wengi wao ni wafanyakazi wa umma waliozoea pesa za bure lkn pia wengine wametumbuliwa kwa uzembe wao au kufoji na ndiyo maana wana hasira sn [emoji3][emoji3][emoji3]
Acha hizo kelele zako nenda kamsikilize kikwete umuelewe

Nyambaf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mbwiga kweli.

Hiyo $3000 ni ya Mkapa (Local) ambayo hata angekuwa Rais wa milele Tz angekufa tu bila kuifikia hata kama mwaka 2060.

Wakenya wenyewe hata $2000 hawajaifikia pamoja na kuwa MIC a decade itakuwa nyie utopolo.

World bank wao ni hiyo $1026-$12,475 ambayo inatumika dunia nzima ku-classfy MIC.

Na hakuna mtu amesema ameingia MIC ya Mkapa,watu wako kwenye ranking ya WB.
Afadhali umefafanua na JK kaanza kuzeeka maana mkapa alikuta inflation ni 27 ikabaki two digits mpaka anatoka
 
Ni utoto probability za yeye kuitwa kuongea alijua hilo.

Halafu kama hakuona kosa alichoongea kwanini ajihami mwishoni “ngoja nimalize nisije kuvuka mipaka” eti anauliza mh raisi si inatosha.

Hiyo kauli ya kutoandaa speech ni kujihami tu, lakini alijua alichokuwa anakifanya from the beginning to the end.

Issue ni what is the motive?
Mkuu unataka kusema kuwa kwenye awamu hii ya msukuma kusema ukweli ni kosa? Au mie ndo sijakusoma
 
Back
Top Bottom