Kikwete ninampenda bure. Maana watanzania walijua kuwa wamefika pato la 3000 kabla ya 2025.
Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?
hawa MAPOPOMA wamesikia maana watabisha, watasema jk anatafuta kiki
Botswana wana ngapi? Namibia wana ngapi? Kwa nini hao waweze, ila kwa Tanzania haiwezekani?Kuna watu mbwiga kweli.
Hiyo $3000 ni ya Mkapa (Local) ambayo hata angekuwa Rais wa milele Tz angekufa tu bila kuifikia hata kama mwaka 2060.
Wakenya wenyewe hata $2000 hawajaifikia pamoja na kuwa MIC a decade itakuwa nyie utopolo.
World bank wao ni hiyo $1026-$12,475 ambayo inatumika dunia nzima ku-classfy MIC.
Na hakuna mtu amesema ameingia MIC ya Mkapa,watu wako kwenye ranking ya WB.
Acha ramli chonganishi rais Magufuli alielezea vizuri tangu siku anarudisha form ya urais kuwa kazi ya kuipeleka nchi uchumi wa kati ilianzishwa na wa tangulizi wake. Kwenye timu ya mpira sifa anapewa mfungaji bora anayepokea pasi ya mwisho.
Mgambo wanaruka na kukanyagana, ah ah ah Thanx JK umetutoa tongotongo haya MATAGA wazee wa kujipendekeza jibuni mapigo
Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?
Uzuri wa kikwete kila anapopata nafasi ya kuzungumza na jamii haachi kumuweka sawa Raisi. Tena kwa lugha rahisi yenye ujumbe ulioshiba.
Kuna wajinga watabisha hii ngoja waje
Hawezi! Hata kufanikisha ifike USD 1200 hatoweza kutokana na kukuru kakara zake!
Kati ya hawa wawili kuna mmoja ni kiongozi na mmoja ni mfugaji wa ng'ombeKikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
yule jamaa mwingine kakunja ndita kweli kweli!!
Kikwete naona kaweka sawa kuhusu hizi propaganda kuwa Magufuli kafikia uchumi wa Kati kabla ya muda uliopangwa.
Kikwete kaweka sawa kuwa Uchumi wa Kati uliopangwa ni dola 3,000 na sio hii 1080. Na kampa Magufuli challenge kuwa 2025 inatakiwa awe amefikia kipato hicho kwa kila mtanzania.
Pia kaweka rekodi nyingine sawa kuwa Uchumi kukua kwa asilimia 7 Ni Mkapa ndio aliweka na baada ya Mkapa haijawahi kushuka hiyo Kasi.
Hii ni tofauti na propaganda za Sasa hivi kuwa Magufuli ndio kapandisha Kasi ya ukuaji Uchumi.
Watanzania vilaza ndio waliamini tumefikia kipato cha kati. Ila hata maelezo ya WB wamesema kabisa kuwa ni uchumi wa kati wa chini. Lakini hilo neno uchumi wa kati wa chini, linarukwa kimakusudi ili kuhadaa wajinga.
Kwani magufuri kajitangaza mwenyewe au ni shirika la kimataifa?
Tumieni akili basi na mpunguze upumbavu mlio nao.
Kama mkapa na kikweye walipanga iwe 3000 sasa kwa nini hawakufikia kiwango hicho?
Hayo mambo ni sawa na wewe kwenye maisha yako useme kuwa siku ukinunua gari basi iwe BMW ya ulaya halafu inafika muda unazeeka huna hata baisjeri kisha kijana wako anakununulia toyota ya mjapani, kisha unanza kusema mimi nilipanga kununua BMW, sasa ulikuwa wapi mbona umepigwa na jua mpaka unazeeka?
Kama wao walitaka iwe 3000 hadi 2025 kwa hiyo muda bado upo wasubili.
Pia mkumbuke magufuli hajakitangaza katangazwa sasa kama mnakata rufaa nendeni huko kwenye shirika lililo mtangaza mkate rufaa kwamba sisi kama nchi tulitaka mpaka ifike 3000usd ndo tungie uchumi wa kati
Hizo chuki zenu zitazidi kuwapa msongo wa mawazo saana, na bado mtanyooka.
Nabkama nyie ni wasoni wa kiwango cha juu basi kama nchi bado tuna shida sana na usomi wenu, vinginevyo muwe wachawi.