Mzee Kikwete aweka rekodi sawa, Uchumi wa Kati waliopanga na Mkapa ni wastani wa dola 3,000 kila Mtanzania

Zinapikwa na chakubanga
Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?
 
Botswana wana ngapi? Namibia wana ngapi? Kwa nini hao waweze, ila kwa Tanzania haiwezekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawadanganye mazuzu wenzako
Acha ramli chonganishi rais Magufuli alielezea vizuri tangu siku anarudisha form ya urais kuwa kazi ya kuipeleka nchi uchumi wa kati ilianzishwa na wa tangulizi wake. Kwenye timu ya mpira sifa anapewa mfungaji bora anayepokea pasi ya mwisho.
 
Tulisema hapa uchumi wa kati FAKE sasa Kikwete kathibitisha. Sasa huyo MKURUPUKAJI hizi details huwa hazijui anakurupuka tu!?

Kwani magufuri kajitangaza mwenyewe au ni shirika la kimataifa?

Tumieni akili basi na mpunguze upumbavu mlio nao.

Kama mkapa na kikweye walipanga iwe 3000 sasa kwa nini hawakufikia kiwango hicho?

Hayo mambo ni sawa na wewe kwenye maisha yako useme kuwa siku ukinunua gari basi iwe BMW ya ulaya halafu inafika muda unazeeka huna hata baisjeri kisha kijana wako anakununulia toyota ya mjapani, kisha unanza kusema mimi nilipanga kununua BMW, sasa ulikuwa wapi mbona umepigwa na jua mpaka unazeeka?

Kama wao walitaka iwe 3000 hadi 2025 kwa hiyo muda bado upo wasubili.

Pia mkumbuke magufuli hajakitangaza katangazwa sasa kama mnakata rufaa nendeni huko kwenye shirika lililo mtangaza mkate rufaa kwamba sisi kama nchi tulitaka mpaka ifike 3000usd ndo tungie uchumi wa kati

Hizo chuki zenu zitazidi kuwapa msongo wa mawazo saana, na bado mtanyooka.

Nabkama nyie ni wasoni wa kiwango cha juu basi kama nchi bado tuna shida sana na usomi wenu, vinginevyo muwe wachawi.
 
Kati ya hawa wawili kuna mmoja ni kiongozi na mmoja ni mfugaji wa ng'ombe
 

Ina maana unasikiliza sana propaganda na kuziamini, siku ukiambiwa tofauti unashtuka ulidanganywa

Kweli haukuwahi kusikia kuona kujua, kutambua kuwa 7% ya ukuaji wa uchumi alianza mkapa? Una tatizo gani?


Haya amini leo kuwa mama yako ni mwanaume
 
Sasa kama Kikwete ambaye hayuko madarakani kwa miaka mitano anazijua hizo details huyo MKURUPUKAJI ilikuwaje ashindwe kuzijua?

Ndiyo matatizo yenu ya kurukia chochote kisemwacho bila kuchunguza kwa kina lakini wakisema mabaya wanakuwa ni MABEBERU!

 
Namnukuu Kikwete:

Tumeshafika kwenye uchumi wa kati lakini si kwa lengo lile la Mkapa la pato la dola elfu 3

Sasa mabavicha yanavyocoment hapa ni kama vile Kikwete amecrash tangazo la WB la tz kufikia uchumi wa kati.

Alafu akietangza uchumi wa kati si Magufuli bali ni WB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…