Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!



JK kasema ukweli, ila naona kuna mtu specifically anamtumia ujumbe
 
Ndugulile anatoka familia bora Sana the same kikwete these guys hawajui shida Ila sijui kwanini pale kigamboni kateka maeneo yote potential na kuweka miradi yake badala ya miradi ya kusaidia wananchi.
Kumbe ndo ilivyo mkuu?
 
Yani huyu Mzee nlikua simpendi Bora Mungu alituondooea hili Baa 21/3/2021 maana lilikua baya zaidi ya Sodoma na Gomora Muasisi wa yote haya matukio ya Umwagaji damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…