Mzee Kikwete, kama hamtaki Dini Kuchanganywa na Siasa mbona CCM na Serikali mnawatumia Kimaombi katika Shughuli zenu?

Mzee Kikwete, kama hamtaki Dini Kuchanganywa na Siasa mbona CCM na Serikali mnawatumia Kimaombi katika Shughuli zenu?

Hawa hapa.
F3_TgD_WoAAUk3X.jpeg
 
Ndugu Wana habari nimewahiteni Hapa juu ya Jambo moja ambalo sisi Kama raia wa wazalendo hatuwezi kukaha kimya Bila kutolea maelezo .kwa sababu kukaha kimya siyo sawa jamii itapotoshwa hvyo nimeona nijitokeze kuwaeleza na kujibu hoja za jk ambazo zinaleta utata

Ndugu zangu waandishi
Hivi Jana rais mstaafu ndugu kikwete alijitokeaa hadharani kuongelea swala la kuchanganya dini na siasa ktk ishu hi ya mjadala mzito unaoendeleea hivi sasa wa mkataba wa uwekezeji Kati ya serekali na dp World

Na kauliza zake zimekuja mda mfupi baada ya tamko rasmi la baraza kuu la maskofu "Tec" kukutaa kuunga mkono mkataba baina ya serekali ya Tanzania na Emirates ya Dubai .

Inisikitasha Sana kuona kuwa ndugu kikwete ameshindwa kujuwa kuwa wananchi na Rai hawautaki mkataba huu wa kinyonyaji na Bado chama chake wameziba masikio hawatakaa kuufuta mkataba

Amesahau kuwa Ni serekali hi hi ya awamu hi hi ndio iliwaita viongozi wa dini kuwaelewesha juu ya mkataba huu wa dp world na vingozi hao hao leo kutoa maoni Yao na msimamo wao jk anasema viongozi wa dini wanachanganya siasa na dini kitu ambacho siyo kweli ..serekali ndio inajikomba kwa viongozi wa dini ushaihid upo Sana

Akumbuke kuwa Hakuna hata siku moja viongozi wa dini walijialika ktka shughuli zao za kisiasa Mara nyingi sana Ni serekali ndio inawahita viongozi Hawa kwenye mikutano na shughuli zao ya kisiasa na kuomba kuombewa nao Sasa leo jk anapata wapi uhalali wa kutamka hayo maneno

Mkutano utakuwapo

Ktk hoteli ya Serena hotel

Muda saa 11:00 Hadi saa 11:30 pm

Taarifa Zaid itatolewa
 
Ndugu Wana habari nimewahiteni Hapa juu ya Jambo moja ambalo sisi Kama raia wa wazalendo hatuwezi kukaha kimya Bila kutolea maelezo .kwa sababu kukaha kimya siyo sawa jamii itapotoshwa hvyo nimeona nijitokeze kuwaeleza na kujibu hoja za jk ambazo zinaleta utata

Ndugu zangu waandishi
Hivi Jana rais mstaafu ndugu kikwete alijitokeaa hadharani kuongelea swala la kuchanganya dini na siasa ktk ishu hi ya mjadala mzito unaoendeleea hivi sasa wa mkataba wa uwekezeji Kati ya serekali na dp World

Na kauliza zake zimekuja mda mfupi baada ya tamko rasmi la baraza kuu la maskofu "Tec" kukutaa kuunga mkono mkataba baina ya serekali ya Tanzania na Emirates ya Dubai .

Inisikitasha Sana kuona kuwa ndugu kikwete ameshindwa kujuwa kuwa wananchi na Rai hawautaki mkataba huu wa kinyonyaji na Bado chama chake wameziba masikio hawatakaa kuufuta mkataba

Amesahau kuwa Ni serekali hi hi ya awamu hi hi ndio iliwaita viongozi wa dini kuwaelewesha juu ya mkataba huu wa dp world na vingozi hao hao leo kutoa maoni Yao na msimamo wao jk anasema viongozi wa dini wanachanganya siasa na dini kitu ambacho siyo kweli ..serekali ndio inajikomba kwa viongozi wa dini ushaihid upo Sana

Akumbuke kuwa Hakuna hata siku moja viongozi wa dini walijialika ktka shughuli zao za kisiasa Mara nyingi sana Ni serekali ndio inawahita viongozi Hawa kwenye mikutano na shughuli zao ya kisiasa na kuomba kuombewa nao Sasa leo jk anapata wapi uhalali wa kutamka hayo maneno

Mkutano utakuwapo

Ktk hoteli ya Serena hotel

Muda saa 11:00 Hadi saa 11:30 pm

Taarifa Zaid itatolewa

Nilipo soma tu umewahita sikutaka hata kujua unasema nini kuandika tu huwezi je kuzungumza
 
Tuwapuuze hawa watu kwani wamekuwa na lugha za ajabu za kutupumbaza ili waendelee kutufanyia ufisadi kila uchwao!
Kwa taarifa yao; ni mwendo wa kuchanganya dini na siasa na siasa dini hadi kieleweke!
 
GENTAMYCINE sijawahi kuona Shughuli yoyote ile ya Kiserikali na hata ya Chama Tawala CCM ambayo huwa haiwatumii Viongozi wa Dini Kimaombi / Dua.

Leo hii namshangaa kumuona Mtu ambaye aliharibu kwa kiasi Kikubwa Misingi imara ya nchi (Rais Mstaafu Kikwete) kwa tabia yake ile ile ya Unafiki akijifanya Kukemea Udini Tanzania (kwa kujificha) akiwalenga TEC ambao Ngumi yao Moja tu ya 'Ndoige Katoliki' imewaingia vilivyo Usoni mwao Mafisadi na Majambazi wa Rasilimali za Tanzania na sasa wanatapatapa tu.

Kikwete (Rais Mstaafu) kama kweli hutaki / hupendi Dini Kuchanganywa na Siasa basi nakuomba anza Kwanza kuwaambia wana CCM Wenzako (hasa Mwenyekiti wako Taifa na Rais Samia) wasiwe kamwe Wanawaalika Viongozi wa Dini kuja Kuombea Matamasha yenu (Hafla zenu) za Kichama na Serikali bali muwe mnajiombea tu Wenyewe kwani kuwaita hawa Viongozi wa Dini huko ni Kuchanganya Siasa / Utendaji na Dini.

Nakushauri tu Kikwete acha kutumika na Mama (Mwenyekiti wako Taifa) ili umsaidie katika hili baada ya kuona Chawa wake Ngumi Kali ya 'Ndoige Katoliki' ya TEC imewaingia vilivyo na wameshindwa kuzitetea Hoja Kali za TEC.

TEC wameshamaliza hivyo msitusumbue na Maunafiki yenu. Tena Wengine ndiyo mna Dhambi nyingi tu mmewafanyia Watanzania kwa Kuwaibia Pesa zao na Kuzificha Benki za Cyprus (kwa Kuogopa mkizificha Uswisi zitarejeshwa kiurahisi kwa Watanzania mliowaibia) huku mkijilimbikizia Mali kem kem halafu leo mnajifanya ni Watu Safi, mnajitokeza Kukemea Mambo mkiamini kuwa bado mnapendwa na Watanzania wakati ni Kinyume chake.

Yaani Viongozi wa Dini wakiwa Wanakubali mialiko yenu mkiwaita au wakiwa Wanawasifia au Kukisifia chama Tawala CCM huwa ni wazuri Kwenu na huwa hawachanganyi Dini na Siasa ila Viongozi hawa hawa wa Dini Wakiwakosoa tu kwa Maupuuzi yenu, Dhambi zenu na Upumbavu wenu mnawageuka na kuwaona ni Wabaya, Maadui na Wanachanganya Dini na Siasa huku hadi mkiwatishia na Wengine.

Halafu GENTAMYCINE akiwa Anawaambia hamna Akili mnakasirika na kudhani kuwa anawaonea tu wakati Kiuhalisia huwa anakuwa sahihi.

Naungana na TEC 100% kwa Tamko!
Hivi mzee hana wajukuu wa kucheza nao na kuwasimulia hadithi?😎🙊
 
GENTAMYCINE sijawahi kuona Shughuli yoyote ile ya Kiserikali na hata ya Chama Tawala CCM ambayo huwa haiwatumii Viongozi wa Dini Kimaombi / Dua.

Leo hii namshangaa kumuona Mtu ambaye aliharibu kwa kiasi Kikubwa Misingi imara ya nchi (Rais Mstaafu Kikwete) kwa tabia yake ile ile ya Unafiki akijifanya Kukemea Udini Tanzania (kwa kujificha) akiwalenga TEC ambao Ngumi yao Moja tu ya 'Ndoige Katoliki' imewaingia vilivyo Usoni mwao Mafisadi na Majambazi wa Rasilimali za Tanzania na sasa wanatapatapa tu.

Kikwete (Rais Mstaafu) kama kweli hutaki / hupendi Dini Kuchanganywa na Siasa basi nakuomba anza Kwanza kuwaambia wana CCM Wenzako (hasa Mwenyekiti wako Taifa na Rais Samia) wasiwe kamwe Wanawaalika Viongozi wa Dini kuja Kuombea Matamasha yenu (Hafla zenu) za Kichama na Serikali bali muwe mnajiombea tu Wenyewe kwani kuwaita hawa Viongozi wa Dini huko ni Kuchanganya Siasa / Utendaji na Dini.

Nakushauri tu Kikwete acha kutumika na Mama (Mwenyekiti wako Taifa) ili umsaidie katika hili baada ya kuona Chawa wake Ngumi Kali ya 'Ndoige Katoliki' ya TEC imewaingia vilivyo na wameshindwa kuzitetea Hoja Kali za TEC.

TEC wameshamaliza hivyo msitusumbue na Maunafiki yenu. Tena Wengine ndiyo mna Dhambi nyingi tu mmewafanyia Watanzania kwa Kuwaibia Pesa zao na Kuzificha Benki za Cyprus (kwa Kuogopa mkizificha Uswisi zitarejeshwa kiurahisi kwa Watanzania mliowaibia) huku mkijilimbikizia Mali kem kem halafu leo mnajifanya ni Watu Safi, mnajitokeza Kukemea Mambo mkiamini kuwa bado mnapendwa na Watanzania wakati ni Kinyume chake.

Yaani Viongozi wa Dini wakiwa Wanakubali mialiko yenu mkiwaita au wakiwa Wanawasifia au Kukisifia chama Tawala CCM huwa ni wazuri Kwenu na huwa hawachanganyi Dini na Siasa ila Viongozi hawa hawa wa Dini Wakiwakosoa tu kwa Maupuuzi yenu, Dhambi zenu na Upumbavu wenu mnawageuka na kuwaona ni Wabaya, Maadui na Wanachanganya Dini na Siasa huku hadi mkiwatishia na Wengine.

Halafu GENTAMYCINE akiwa Anawaambia hamna Akili mnakasirika na kudhani kuwa anawaonea tu wakati Kiuhalisia huwa anakuwa sahihi.

Naungana na TEC 100% kwa Tamko!
Hii madini ya ukweli, mi nahumia kweli watu Kama nyinyi kwanini hampewi teuzi.[emoji2935]
 
Back
Top Bottom