Mzee Kikwete, kama hamtaki Dini Kuchanganywa na Siasa mbona CCM na Serikali mnawatumia Kimaombi katika Shughuli zenu?

Mzee aliharibu nchi kwa ufisadi yule hadi uchaguzi wa 2015 wakaamua waandike chagua magufuli na sio Ccm ..wanaosema nchi inaendeshwa kutoka msoga unadhani walikosea? Huyu mzee sijui anataka nini kama mabilioni alishabeba sana yaani hata hivi vichache vilivyopo bado ana uchu navyo...kifo cha nwendazake ni vile akijachunguzwa vizuri tu...
 
Kwenye mialiko viongozi wa dini wanapewa fedha kama asante sana na sadaka na pia wakiitwa alafu wasitokee ni dharau ukikubaliana na viongozi hapo hujachanganya dini na siasa bali ukikinzana ukatofautiana na viongozi hapo tayari umesha changanya dini na siasa. Sarikali ijikite na kkkt pamoja na bakwata hawa tek wamekataa na wana dharau Wakuu

Wamekosea sana kuchanganya dini na siasa Kikwete yupo sahihi hawa askofu wachukuliwe hatua kali za kisheria kwa kuvunja uhuru wa kuabudu. Kwani watu wote tunapinga hapana utasemaje sauti yenu ndiyo ya Mungu wakati mimi nataka bandari iondoke wakabidhiwe wawekezaji waarabu kwani kosa lipo wapi mbona wananunua tumu za mipira na bado mnazishangilia waache wanunue na bandari mshangiliee kama wafuasi wa man city
 
Yale maombi ya watishi kwenye mikutano ya ccm huwa ni zuga tu.

Mafisadi hawa Mungu wamjulie wapi?
 
wakati anapigiwa debe msikitini hakuona dini na siasa zinachangamana, Sasa hivi watoto wao wanagawiwa vyeo anajifanya haoni athari yoyote, Kwa kifupi kabla ya kuongea alipaswa kujitafakari.
 
Yale maombi ya watishi kwenye mikutano ya ccm huwa ni zuga tu.

Mafisadi hawa Mungu wamjulie wapi?
Wangelikuwa angalao wanaapa kwa katiba, hawaoni kuapa kwa misahafu ndiyo kiini cha kuchanganya dini na siasa?
 
Jentaminesine uje ure bure leo kwangu nakuunga kono kabisa tec ndo abali ya mujini mbona ata wasilam weng tu wanaunga mkono andiko rao tec
hao waislam wanaowaunga mkono TEC wana akili za upeo na Mungu awaangazie mwanga wazidi kuujua ukweli
 
Tena alienda kwa Wasabato kabisa... Ambao hawali kitimoto kama yeye....
kwa kuhudhuria shughuli ya wasabato, nao watajitoa ufahamu wasijue mapungufu ya mkataba wa bandari watakaa kimya au kuwapinga TEC. Pro mkataba wanatafuta vikundi vya kipuuzi na wapuuzi waungwe mkono is too late, nakoz za TEC zimewaingia hawachomoi hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…