Mzee Kikwete: Manji alinambia wanamuonea, nikamshauri akae kimya kwani yatapita tu

Mzee Kikwete: Manji alinambia wanamuonea, nikamshauri akae kimya kwani yatapita tu

Sema JK ni mwanadamu wa kipekee sana. Watu wa aina yake huwa wanaishi maisha marefu sana.

Jamaa hajawahi kujali maneno ya watu no matter how serious the issues are.
Hata malikia wa uingereza aliishi miaka mingi ila........
 
Jana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne.

Katika hadhara hiyo, JK akapata wasaa kuongea, anasema kwake yeye Manji alikuwa kama mwanae na alimlea kwani aliachiwa usia na baba yake Manji la jukumu la malezi ya Yusuph.

JK akaongeza zaidi, kuna wakati Yusuph alinipigia(kipindi hiko nimeshatoka madarakani) akawa analalamika kuwa wanamuonea wanambambikia makesi na mambo mengineyo.

Nikamshauri akae kimya kwani nilijua siku moja yatapita tu, Yusuph alikuwa ana urafiki mkubwa sana na mwanangu Miraji.
Huyu nae ni kenge na mnafiki tu, "mtoto" Wako anateswa na Rais aliyeko madsrakani, na wewe ndie ulimkabidhi kijiti,unashindwa kumsaidia? Fucking coward! Kwamba ulijua yataisha, inaaama ulijua Maghu atakufa kwanza kabla ya Manji? So pathetic! Maghu angekuwepo ungeweza kuyasema hayo?
Inawezekana Manji, matatizo yake ya Moyo, yalizidi baada ya kuwekwa ndani! Sasa tumepoteza tajiri, best mind, aliyetengemeza ukwasi, tumebaki na ma kenge mahoga kama kunguru
 
Jana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne.

Katika hadhara hiyo, JK akapata wasaa kuongea, anasema kwake yeye Manji alikuwa kama mwanae na alimlea kwani aliachiwa usia na baba yake Manji la jukumu la malezi ya Yusuph.

JK akaongeza zaidi, kuna wakati Yusuph alinipigia(kipindi hiko nimeshatoka madarakani) akawa analalamika kuwa wanamuonea wanambambikia makesi na mambo mengineyo.

Nikamshauri akae kimya kwani nilijua siku moja yatapita tu, Yusuph alikuwa ana urafiki mkubwa sana na mwanangu Miraji.
Stori za matajir
 
Hakuna aliekwenda jela bali walizitapika pesa zote walizokwiba

au hukuona miradi ilivyoanzishwa kwa fujo
Hakuna hela yoyote iliyotemwa
Hiyo miradi ilikuwa inaendeshwa na mikopo ya kausha damu aliyokuwa anakopa India na Turkey


 
Back
Top Bottom