Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu mzee ,kila anaekufa yupo na mafaili yake ,vipi huwa anatupanga , wenda siku moja nikampunguzia adhabu tukikutana kule nikiwa mnyampala dadaki , alafu wakuu Miraji ametajwa sana ila sio Ridhiwani mwenye picha ya Miraji tunaomba , but za Uvunguni Miraji yupo na siri kali za baba yake kuliko Ridhiwani ,wazee wahuni sanaJana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne.
Katika hadhara hiyo, JK akapata wasaa kuongea, anasema kwake yeye Manji alikuwa kama mwanae na alimlea kwani aliachiwa usia na baba yake Manji la jukumu la malezi ya Yusuph.
JK akaongeza zaidi, kuna wakati Yusuph alinipigia(kipindi hiko nimeshatoka madarakani) akawa analalamika kuwa wanamuonea wanambambikia makesi na mambo mengineyo.
Nikamshauri akae kimya kwani nilijua siku moja yatapita tu, Yusuph alikuwa ana urafiki mkubwa sana na mwanangu Miraji.
Huyu mshikaji ni mwongo sanaJana ilifanyika dua ya kumuombea mfanyabiashara hayati Yusuph Manji katika viwanja vya Karimjee na mmoja wapo ya watu mashuhuri waliokuwepo ni Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne...
Ziliisha ghafla tu kama kesi nyingine nyingi za aina hiyo za watu wengine wa aina yake kipindi hicho zilivyoisha.Hawezi sema alimteteaje,Ila si uliona kesi ziliisha TU ghafla
Mbele ya Dikteta Uchwara?Kwa nini alimwambia akae kimya tu badala ya kumtetea??
Alimtetea kuliko unavyoweza kudhani. Ile lugha kwamba yatapita ina maana pana sanaKwa nini alimwambia akae kimya tu badala ya kumtetea??
Huyo alikua Waziri tangu 1993-2005,akawa rais, kabla alikua jeshini,nyuma huko alikua kiongozi wa yanga,akawa kiongozi wa ccm singida,tabora,lindi, Zanzibar,kakutana na wengi maishani na anajua mengi kuhusu nchi yako,tofauti kabisa na mkemiaHivi huyu mzee ,kila anaekufa yupo na mafaili yake ,vipi huwa anatupanga , wenda siku moja nikampunguzia adhabu tukikutana kule nikiwa mnyampala dadaki , alafu wakuu Miraji ametajwa sana ila sio Ridhiwani mwenye picha ya Miraji tunaomba , but za Uvunguni Miraji yupo na siri kali za baba yake kuliko Ridhiwani ,wazee wahuni sana
Negativity eating you like rabies to the dogZiliisha ghafla tu kama kesi nyingine nyingi za aina hiyo za watu wengine wa aina yake kipindi hicho zilivyoisha.
Kwani huyo ni mzee wa minyama au? 😂😂😂Anakutafuna kimyakimya.
Duhh! We jamaa ulienda shule hata vidudu kweli?!Jk ndio baba taifa kwasasa anahekimasana nabusalamungu ampemaosha marefu wemawanaihisana wanayawanakufa kutokana matohombayazao
Ni nani angeweza kumuhoji Alpha na Omega Jiwe?Kwa nini alimwambia akae kimya tu badala ya kumtetea??
Inaonekana wewe ni mgeni au pengine umezaliwa baada ya March 17 mwaka 2021.Hivi yule mwehu, kuna kesi yoyote alizowabambikia watu za uhujumu uchumi, kuna waliohukumiwa vifungo vya jela ?
Born townAlijuaje kama yatapita tu!
Kwa kipindi hicho babaake rais asingeweza kumingle na manji,umri mdogo sanaSasa wa 80s hawavuti unga?najua hauzi ila anatumia
Kama unataka kumjua Miraji nenda Instagram tafuta jina Kikwete utampataHivi huyu mzee ,kila anaekufa yupo na mafaili yake ,vipi huwa anatupanga , wenda siku moja nikampunguzia adhabu tukikutana kule nikiwa mnyampala dadaki , alafu wakuu Miraji ametajwa sana ila sio Ridhiwani mwenye picha ya Miraji tunaomba , but za Uvunguni Miraji yupo na siri kali za baba yake kuliko Ridhiwani ,wazee wahuni sana
Ulitaka achukue hatua gani? Kumfukuza Makonda ama kumshitaki?Sawa kweli umechukia lakini sio sawa kumwaga mitusi hapa.
JK ama amekosea au anatudanganya
Mwanae alikuwa anamlalamikia kuwa anaonewa yeye asichukue hatua yoyote badala yake anasema akae kimya tu
Na yakapita kweli kabla ya muhula kukamilikaAlimtetea kuliko unavyoweza kudhani. Ile lugha kwamba yatapita ina maana pana sana