Mzee Kikwete: Manji alinambia wanamuonea, nikamshauri akae kimya kwani yatapita tu

Sema JK ni mwanadamu wa kipekee sana. Watu wa aina yake huwa wanaishi maisha marefu sana.

Jamaa hajawahi kujali maneno ya watu no matter how serious the issues are.
Hata malikia wa uingereza aliishi miaka mingi ila........
 
Huyu nae ni kenge na mnafiki tu, "mtoto" Wako anateswa na Rais aliyeko madsrakani, na wewe ndie ulimkabidhi kijiti,unashindwa kumsaidia? Fucking coward! Kwamba ulijua yataisha, inaaama ulijua Maghu atakufa kwanza kabla ya Manji? So pathetic! Maghu angekuwepo ungeweza kuyasema hayo?
Inawezekana Manji, matatizo yake ya Moyo, yalizidi baada ya kuwekwa ndani! Sasa tumepoteza tajiri, best mind, aliyetengemeza ukwasi, tumebaki na ma kenge mahoga kama kunguru
 
Stori za matajir
 
Hakuna aliekwenda jela bali walizitapika pesa zote walizokwiba

au hukuona miradi ilivyoanzishwa kwa fujo
Hakuna hela yoyote iliyotemwa
Hiyo miradi ilikuwa inaendeshwa na mikopo ya kausha damu aliyokuwa anakopa India na Turkey


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…