Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Ninakopanga sijafukuzwa

Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Ninakopanga sijafukuzwa

Huenda alizuga tu, hakupenda jinsi walivyojianika vile hali maisha ya wananchi ni duni mno hususani makazi kwa watumishi wa umma waliopo kazini na waliostaafu. Unavyofahamu ndivyo wengi wetu tunavyofamu pia.
Ukiwasikikiza Magufuli na Kikwete utaona kwamba, Magufuli alikuwa anahimiza sana nyumba ijengwe imalizwe haraka. Akitaka nyumba ikamilike January.

Kikwete, ametumia diplomasia kusema "tutashukuru sana" kwa rais wake. Lakini pia amepooza ile kasi ya Magufuli kwa kutaka mambo yafanywe kwa uhakika bila kuharakisha ili watu wasilipue kazi.

Ndipo hapo kasemq makubaliano ni akabishiwe nyumba March. Hakuna haja ya kuharakishq sana kumqliza nyumba kabla ya hapo, kwa sababu, alikiopanga sasa hivi hajafukuzwa.

Kwa tunaojua kusikiliza mtu Kiswahili cha ndani, kile kilikuwa ni kama kijembe katumiwa Magufuli. Whether consciously or subconsciously.

Kikwete kupanga labda aamue tu.Nyumba yake ya Migombani St tunaambiwa sasa hivi hakai mtu. Na imetoka kufanyiwa ukarabati wa nguvu na serikali muda si mrefu.
 
Kuna watu mna akili ndogo.

Kauli ya Kikwete ilikusudia kuwaambia kuwa hahitaji hiyo nyumba kwa sababu ana nyumba tayari.

Na hata kama amepanga, kodi yake bado. Hivyo hana shida na nyumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafiki tu wewe,kisa kamponda Magu kiaina ndio maana povu linakutoka!

Ma-CCM wote hamtufai.
 
Umaskini shida sasa

Mleta hii thread anadhan mtu kusema ana panga nyumba ni alama ya umaskini

Hivi akiambiwa akina Jeetu patel na Seth maisha yao yote ya Mjini hawana Nyumba wanazomiliki japo wana mabilion ya kununia mitaa kadhaa masaki na ostaby hatoamini

Vipaumbele vya maskini na tajiri no tofauti kabisa
 
..anachosema Mzee Kikwete ni kwamba anaishi ktk nyumba nyingine aliyopewa na serikali.
 
Huyu Jakaya kikwete Rais mtaafu amenishangaza sana jana kwa kauli yake ya kuishi nyumba ya kupanga na bado ana mkataba na mwenye nyumba.

Kichangia neno katika kupokea nyumba za vingozi mzee Kikwete bila aibu ametoa kauli ya kuzua chuki na taharauki kubwa sana kwa mtu kama mimi mwenye kumfahamu Kikwete kwa upana.

Kikwete amekuwa Naibu Waziri kwa miaka mingi, Waziri wa Mambo ya Nje kwa miaka 10 na Rais miaka 10, leo analalamika kupanga.

Amelipwa zaidi ya million 12×10 kama Waziri wa Mambo ya Nje achiliambali vyeo vyake huko nyuma.

Amelipwa million 36×10 kama Rais na marupurupu kibao. Pamoja na kiinua mgongo cha karibu nusu Billion, bado Kikwete analipwa mafao ya kutia simanzi kwa mtu wa kawaida.

Amejengewa nyumba (Ikulu ndogo) msonga na Suma JKT akiwa hata hajastaafu. Ukiingia Msoga utashangaa sana ukubwa wa Ikulu ile na miundombinu yake ya nchi zilizoendelea.

Amejengewa nyumba Bagamoyo kwa mamake na Suma JKT. Ni nyumba ya kufuru.

Ana nyumba karibu kila mkoa na mitaa kibao hapa Dar, achilia mbali alizojenga nje South Africa na Dubai.

Kwa kauli aliyoitoa jana, inatia simanzi na unafiki mkubwa sana kuwa amepanga. Je, mzee Kikwete anataka kumdanganya nani kuwa anaishi maisha ya shida na amepanga so wamjengee taratibu tena kwa uimara mkubwa?

Kama ulimsikiliza na kumwangalia Kikwete usoni, alionesha kutofurahishwa na ujenzi na kuona kama hakuridhika na ile nyumba ambayo kwa mtu wa kawaida hata tajiri ungeiona kuwa ya mapesa mengi.

USSR
UVCCM reasoning capacity ndogo sana ndiyo maana polepole anasema kutembelea V8 ni mafanikio.
 
Ana nyumba Regecy estate . Kwanza ilikia moja then akanunua ya pembeni yake kwa 700m akaziunganisha ikawa bonge la hekalu.
Ccm wote majizi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati huu wa kuomba huruma ya wananchi usishangae mgombea akisema hana boxer anaishi kwa kuazimwa azimwa ilimradi umpgie kura

#TAL2020
 
Huyu Jakaya kikwete Rais mtaafu amenishangaza sana jana kwa kauli yake ya kuishi nyumba ya kupanga na bado ana mkataba na mwenye nyumba.

Kichangia neno katika kupokea nyumba za vingozi mzee Kikwete bila aibu ametoa kauli ya kuzua chuki na taharauki kubwa sana kwa mtu kama mimi mwenye kumfahamu Kikwete kwa upana.

Kikwete amekuwa Naibu Waziri kwa miaka mingi, Waziri wa Mambo ya Nje kwa miaka 10 na Rais miaka 10, leo analalamika kupanga.

Amelipwa zaidi ya million 12×10 kama Waziri wa Mambo ya Nje achiliambali vyeo vyake huko nyuma.

Amelipwa million 36×10 kama Rais na marupurupu kibao. Pamoja na kiinua mgongo cha karibu nusu Billion, bado Kikwete analipwa mafao ya kutia simanzi kwa mtu wa kawaida.

Amejengewa nyumba (Ikulu ndogo) msonga na Suma JKT akiwa hata hajastaafu. Ukiingia Msoga utashangaa sana ukubwa wa Ikulu ile na miundombinu yake ya nchi zilizoendelea.

Amejengewa nyumba Bagamoyo kwa mamake na Suma JKT. Ni nyumba ya kufuru.

Ana nyumba karibu kila mkoa na mitaa kibao hapa Dar, achilia mbali alizojenga nje South Africa na Dubai.

Kwa kauli aliyoitoa jana, inatia simanzi na unafiki mkubwa sana kuwa amepanga. Je, mzee Kikwete anataka kumdanganya nani kuwa anaishi maisha ya shida na amepanga so wamjengee taratibu tena kwa uimara mkubwa?

Kama ulimsikiliza na kumwangalia Kikwete usoni, alionesha kutofurahishwa na ujenzi na kuona kama hakuridhika na ile nyumba ambayo kwa mtu wa kawaida hata tajiri ungeiona kuwa ya mapesa mengi.

USSR
Ndugu matumbo yao yana upana ajabu, HAWASHIBI!
 
Huyu Jakaya kikwete Rais mtaafu amenishangaza sana jana kwa kauli yake ya kuishi nyumba ya kupanga na bado ana mkataba na mwenye nyumba.

Kichangia neno katika kupokea nyumba za vingozi mzee Kikwete bila aibu ametoa kauli ya kuzua chuki na taharauki kubwa sana kwa mtu kama mimi mwenye kumfahamu Kikwete kwa upana.

Kikwete amekuwa Naibu Waziri kwa miaka mingi, Waziri wa Mambo ya Nje kwa miaka 10 na Rais miaka 10, leo analalamika kupanga.

Amelipwa zaidi ya million 12×10 kama Waziri wa Mambo ya Nje achiliambali vyeo vyake huko nyuma.

Amelipwa million 36×10 kama Rais na marupurupu kibao. Pamoja na kiinua mgongo cha karibu nusu Billion, bado Kikwete analipwa mafao ya kutia simanzi kwa mtu wa kawaida.

Amejengewa nyumba (Ikulu ndogo) msonga na Suma JKT akiwa hata hajastaafu. Ukiingia Msoga utashangaa sana ukubwa wa Ikulu ile na miundombinu yake ya nchi zilizoendelea.

Amejengewa nyumba Bagamoyo kwa mamake na Suma JKT. Ni nyumba ya kufuru.

Ana nyumba karibu kila mkoa na mitaa kibao hapa Dar, achilia mbali alizojenga nje South Africa na Dubai.

Kwa kauli aliyoitoa jana, inatia simanzi na unafiki mkubwa sana kuwa amepanga. Je, mzee Kikwete anataka kumdanganya nani kuwa anaishi maisha ya shida na amepanga so wamjengee taratibu tena kwa uimara mkubwa?

Kama ulimsikiliza na kumwangalia Kikwete usoni, alionesha kutofurahishwa na ujenzi na kuona kama hakuridhika na ile nyumba ambayo kwa mtu wa kawaida hata tajiri ungeiona kuwa ya mapesa mengi.

USSR
Kwa Mara ya kwanza nasikia mzee Kikwete alijenga Dubai na South Africa.
 
Back
Top Bottom