Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Watu wanasema Mama Salma kaachwa ndio sababu anahangaikia Ubunge, nasema wapuuzeni

Uchaguzi 2020 Mzee Kikwete: Watu wanasema Mama Salma kaachwa ndio sababu anahangaikia Ubunge, nasema wapuuzeni

Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate
Tunaongelea hapa nchini Tanzania, ni wapi uliwahi kumuona mke wa Rais mstaafu anawania udiwani au ubunge?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchinga pale pana upinzani kubwa sana, hasa pale cuf ilivyo kuwa imetimia kabla ya kuuzwa na poropeesa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure. Mchinga nawaaminia sana, manake over the past 15 years, Mchinga imeongozwa na Wabunge 3 tofauti.

Na kwavile CUF wameshalikoroga, kuna uwezekano mkubwa sana akaingia mbunge wa 4 tofauti!
 
Ingetokea ulaya poa, bongo noma.

Unamfahamu Bibi Clinton? Mara mbili (2007 ndani ya chama cha Democratic, na 2016 akichuana na Trump) aliutaka uRais wa Marekani.

Kama anakarama ya uongozi, haiwezi kufungwa na uRais wa mmewe. Ni wakati wake naye asimame yeye kama yeye.
Karama ya uongozi kwa Salma?

Wewe utakuwa humjui huyu mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate
Mnaiga mabeberu leo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe madaraka nikutafuta hela sio kutumika.
Kama hivyo bado sana,
Maana wanaogombea kumbe wanataka hela, nasi tunajua hivyo basi acha azichukue
Yeye kama kutumikia wananchi alikuwa na miaka 10 ya kuwatumikia wananchi, nikipi kipya alisahau? Yeye anatafuta fedha tu wala siyo kuwatumikia wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure. Mchinga nawaaminia sana, manake over the past 15 years, Mchinga imeongozwa na Wabunge 3 tofauti.

Na kwavile CUF wameshalikoroga, kuna uwezekano mkubwa sana akaingia mbunge wa 4 tofauti!
Huo ndiyo ukweli usiyo na shaka lazima anaingia mbunge mwingine CUF wamecheza rafu sana kuiuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kupekecha macho, Hii sio haki, Ubunge wa nini? Badala ya kuachia na wengine, jamani, hivi huwa tunasahau kwamba vitu Vyote hivi tunavyovisumbukia tuaviacha katika siku na muda usiojulikana na hatutaondoka navyo?
Kumbe akili mnazo ila huwa mnazificha tu mnapomtumikia kafiri ili ujira msiukose?

Mkuu sasa hapa umeandika kwa hekima sana, sasa nakuomba urudie kuisoma post yako hata mara kumi huku ukitafakari yale yote unayoyatetea humu ya Magufuli na ccm take huku ukijua kabisa yapo kinyume na ustaarabu wa kibinadamu/kiutu. Yaani msimamo wako na hawa unaowakosoa hamtofautiani. Unaponda Kikwete kwa ubinafsi halafu unasifia Magufuli kwa kila tabia yake! Think!

Baada ya hapo kama kauli hii imekutoka moyoni nafsi yako itakusuta na utajirekebisha, ila kama yamekutoka kwenye koromeo tu utatoka hapa na kurudia yaleyale.

Huu mchango wako nimeupenda sana aisee, naona umekuwa na ubinadamu ndani yako. Jitafakari sasa kule kwingine ili uchague kuwa binadamu jumla au uendelee na ushetani.
 
Back
Top Bottom