Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hilo jibu lazima litamlaza kwa mama muuza wanzuki.Ni kweli,, haya Mara nyingi yanatokea kwenye nchi za Kidikteta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jibu lazima litamlaza kwa mama muuza wanzuki.Ni kweli,, haya Mara nyingi yanatokea kwenye nchi za Kidikteta.
Tamaa tu ndiyo imemtawalaIngetokea ulaya poa, bongo noma.
Unamfahamu Bibi Clinton? Mara mbili (2007 ndani ya chama cha Democratic, na 2016 akichuana na Trump) aliutaka uRais wa Marekani.
Kama anakarama ya uongozi, haiwezi kufungwa na uRais wa mmewe, Ni wakati wake naye asimame yeye kama yeye.
Hamna huyu mama bado yuko activeBwashee yaan hakuna hata mke mmoja wa Rais aliyewahi kutaka ubunge, Huyu kipo kinamhangaisha?
Tunaongelea hapa nchini Tanzania, ni wapi uliwahi kumuona mke wa Rais mstaafu anawania udiwani au ubunge?Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate
Sure. Mchinga nawaaminia sana, manake over the past 15 years, Mchinga imeongozwa na Wabunge 3 tofauti.Mchinga pale pana upinzani kubwa sana, hasa pale cuf ilivyo kuwa imetimia kabla ya kuuzwa na poropeesa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Karama ya uongozi kwa Salma?Ingetokea ulaya poa, bongo noma.
Unamfahamu Bibi Clinton? Mara mbili (2007 ndani ya chama cha Democratic, na 2016 akichuana na Trump) aliutaka uRais wa Marekani.
Kama anakarama ya uongozi, haiwezi kufungwa na uRais wa mmewe. Ni wakati wake naye asimame yeye kama yeye.
Mnaiga mabeberu leo!?Anachokifanya mama Salma kiko sahihi labda tuwape na reference za huko Mamtoni, Hilary Clinton alikuwa First lady wakati wa Utawala wa Mumewe Bill Clinton, Mumewe amekuja kuwa succeeded na Bush JR sasa wakati wa obama tenure huyu mwanamama alirudi tena as Secretary of state na baadae alienda far kwa kuwa Presidential candidate flag bearer wa Democrat ivo alikuwa anaenda kuwa Rais , Mwaka huu Michele Obama aliekuwa First lady ilibaki ivi awe picked up na Jo Bidden as his running mate
Kumbe madaraka nikutafuta hela sio kutumika.Tamaa tu ya madaraka hakuna kingine, maana kama noti wananzo za kutosha sasa sijui nini anatafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kuna watu ktk nchi hii kila kitu wanataka wapate waoBila kupekecha macho, Hii sio haki, Ubunge wa nini? Badala ya kuachia na wengine, jamani, hivi huwa tunasahau kwamba vitu Vyote hivi tunavyovisumbukia tuaviacha katika siku na muda usiojulikana na hatutaondoka navyo?
Yeye kama kutumikia wananchi alikuwa na miaka 10 ya kuwatumikia wananchi, nikipi kipya alisahau? Yeye anatafuta fedha tu wala siyo kuwatumikia wananchi.Kumbe madaraka nikutafuta hela sio kutumika.
Kama hivyo bado sana,
Maana wanaogombea kumbe wanataka hela, nasi tunajua hivyo basi acha azichukue
Ni ulafi na tamaa iliyo pitilizaeti kuna watu ktk nchi hii kila kitu wanataka wapate wao
Mama bado ana nguvu, She is Energetic and committed muache a serveTunaongelea hapa nchini Tanzania, ni wapi uliwahi kumuona mke wa rais mstaafu anawania udiwani au ubunge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo ukweli usiyo na shaka lazima anaingia mbunge mwingine CUF wamecheza rafu sana kuiuza.Sure. Mchinga nawaaminia sana, manake over the past 15 years, Mchinga imeongozwa na Wabunge 3 tofauti.
Na kwavile CUF wameshalikoroga, kuna uwezekano mkubwa sana akaingia mbunge wa 4 tofauti!
Hao ni mashabik wa ccm mitandaoni hawana ref yoyote ya viongozi waoKarama ya uongozi kwa Salma!!??
Wewe utakuwa humjui huyu mama.
0.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kigezo cha kutafuta sawa lkn asitudanganye kuwa anataka kuwahudumia wananchi kama mbunge.Mama bado ana nguvu, She is Energetic and committed muache a serve
The Clintons!?Ni kweli,, haya Mara nyingi yanatokea kwenye nchi za Kidikteta.
Kumbe akili mnazo ila huwa mnazificha tu mnapomtumikia kafiri ili ujira msiukose?Bila kupekecha macho, Hii sio haki, Ubunge wa nini? Badala ya kuachia na wengine, jamani, hivi huwa tunasahau kwamba vitu Vyote hivi tunavyovisumbukia tuaviacha katika siku na muda usiojulikana na hatutaondoka navyo?
New version ya KIGOGO.Kigogo 2004 ndio nani