demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kimenuka huko mtaa wa pili wa Kinywaji maarufu kijulikanacho 7UP.
Mmoja wa viongozi wa bodi ya wadhamini kwa muda mrefu sana pale SABASABA FC leo ametanabaisha wazi kuwa uongozi wa klabu hiyo unafanya mambo ya kiofisi kihuni, na kuhusu mpango wa kumpa "MO'' timu amesema hautokuja wezekana kamwe.
Na kwamba kama wanaSABASABA FC wanataka mabadiliko, basi wataendelea kuyapata bila kuiweka rehani klabu hiyo....''Kwani kama mabadiliko Simba tumefanya mengi, tulikuwa hatuna majengo sasa tunayo, hatukuwa na kiwanja sasa tutajenga karibuni," Alinukuliwa akisema
Mzee huyo anayeheshimika kwenye klabu hiyo alitanabaisha hayo yote wazi akiongea na vyombo vya Habari alasiri hii.
Mmoja wa viongozi wa bodi ya wadhamini kwa muda mrefu sana pale SABASABA FC leo ametanabaisha wazi kuwa uongozi wa klabu hiyo unafanya mambo ya kiofisi kihuni, na kuhusu mpango wa kumpa "MO'' timu amesema hautokuja wezekana kamwe.
Na kwamba kama wanaSABASABA FC wanataka mabadiliko, basi wataendelea kuyapata bila kuiweka rehani klabu hiyo....''Kwani kama mabadiliko Simba tumefanya mengi, tulikuwa hatuna majengo sasa tunayo, hatukuwa na kiwanja sasa tutajenga karibuni," Alinukuliwa akisema
Mzee huyo anayeheshimika kwenye klabu hiyo alitanabaisha hayo yote wazi akiongea na vyombo vya Habari alasiri hii.