Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuza nchi kwa Waarabu wa Dubai ni mambo makubwa? Hivi fisadi Kinana unatuchukuliaje Watanganyika.MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema 2025 njia itakua nyeupe kwa chama hicho kushika Dola kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa ndani ya miaka miwili ya uongozi wake...
Labda kwa wizi wa kura tu kama ilivyo kawaida yenu. Hiki chama hakioni aibu kumpa kamili mkubwa nafasi ya juu katika chamaMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema 2025 njia itakua nyeupe kwa chama hicho kushika Dola kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa ndani ya miaka miwili ya uongozi wake...
Anakuchukulia Kama barking dog behind the keyboard.....kajichome na mafuta mzimamzima nje ya ikulu Kama waalgeria ajue umechukia haswaa😆😆Kuuza nchi kwa Waarabu wa Dubai ni mambo makubwa????Hivi fisadi Kinana unatuchukuliaje Watanganyika.
yeye biashara yake imerudi vizuri, huwezi kusikia tembo wamevamia kijiji tenaSiku hizi hawa wazee wanajiropokea tu, eti huyu ndie anaitwa gwiji la siasa!, mambo mengine bana...
Zaidi ya kuiba kura anajua nini kingine huyo kwenye kutafuta ushindi?!
Hili doa halijawahi kumuacha, limemganda mpaka ataingia nalo kaburini.yeye biashara yake imerudi vizuri, huwezi kusikia tembo wamevamia kijiji tena
Hahaaahahayeye biashara yake imerudi vizuri, huwezi kusikia tembo wamevamia kijiji tena
Samia mpaka 2030 jiandae kujinyonga tu maana hakuna namnaWanamdanganya
Yale mabango ya kampeni ambayo yametapakaa kila kona hapa nchini, tena yakiwekwa nje ya muda rasmi wa kampeni ni ya nini!?MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema 2025 njia itakua nyeupe kwa chama hicho kushika Dola kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa ndani ya miaka miwili ya uongozi wake.
===
Hatari snHahaaahaha
Hakuna wa kusimama na Samia 2025MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema 2025 njia itakua nyeupe kwa chama hicho kushika Dola kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa ndani ya miaka miwili ya uongozi wake.
===