The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Muulize Slow Slow Corona
Tatizo la Watanzania ndio hili.
Siyo kila kutoonekana kwa mtu maarufu ni covid-19, mbn Baba jesca yuko kwake na si mgonjwaHuyo mzee nimgonjwa ...muacheni apumzike na corona yake
tatizo tumbo nalo lina mikono na fikra zake zinazojitegemea. Japo mikono yake ya nje ilizunguka, ya tumbo haikuwa tayari kuzunguka. Msameheni tu mzee, muacheni ale siku zake za mwisho kwa majuto ya matendo yake, ni adhabu tosha hiyo.Mwacheni tu apumzike mzee wa watu. Kazingua sana kwenye game huyo bwana. Kazunguusha watu mikono weee alafu kala chocho dah
Ndo maana unakuta anapotea namna hii. Hata akija mbele ya camera kuna kitu gani kikubwa cha kusema mpaka asikilizwe.tatizo tumbo nalo lina mikono na fikra zake zinazojitegemea. Japo mikono yake ya nje ilizunguka, ya tumbo haikuwa tayari kuzunguka. Msameheni tu mzee, muacheni ale siku zake za mwisho kwa majuto ya matendo yake, ni adhabu tosha hiyo.
na hiyo ndio adhabu yenyewe mkuu. Kusutwa na nafsi yako mwenyewe. Hakuna jambo baya kama kukosa la kusema ikiwa ulishwahi kuwa na kauli kubwa awali.Ndo maana unakuta anapotea namna hii. Hata akija mbele ya camera kuna kitu gani kikubwa cha kusema mpaka asikilizwe.
Mara ya mwisho alionekana na huyu bwana mkubwaWakuu Salaam;
Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.
Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.
Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.
Ametulia kwake Hana hamu walichomfanya ccm.Aliwekeza pesa nyingi Sana ili awe raisi zikaenda hasaraWakuu Salaam;
Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.
Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.
Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.
ππππ Chotara wa kimaasaiBinafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughterππππ!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
ππlilivuma sana kwenye groups zetu! Kiukweli sijui nisemeje..kama kuna watu walijitoa ufahamu bas mimi kipande hii naongozaππ..najiona mjinga sana...mxiewππππ Chotara wa kimaasai
Mabadilikoooooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ( Luwaaaaasssaa in jiwe's voice)[emoji38][emoji38]lilivuma sana kwenye groups zetu! Kiukweli sijui nisemeje..kama kuna watu walijitoa ufahamu bas mimi kipande hii naongoza[emoji38][emoji38]..najiona mjinga sana...mxiew
ππdadeki umemmind kinoma. Mimi ule mwaka sikuwa na upande. Niliona pande zote zilikuwa hasara tu.
Jamaa angu ulikuwa humwambii kitu kwa ngosha. Sasa hivi hana hamu nae.
Msoga kamaliza kazi chezea pwani weye?Wakuu Salaam;
Mzee wetu wa siku nyingi katika Nchi yetu hasa katika tasnia ya Siasa kawa kimya sana.
Nimeona nimuulizie sababu ni muhimu kujua hawa Viongozi wamepotelea wapi, wana mchango mkubwa sana nchini.
Wengine wanasikika mara kwa mara hata kama Covid-19 ipo hewani.
Anayejua yuko wapi atupe mbili tatu siku iishe haraka.