Jambo gani mkuu tujulishe basi
Msaliti kivipi! We endelea tu kuamini kuwa watu wanaingia kwenye siasa kwa lengo la kukufurahisha wewe.
Hachambwi bali anauliziwa yuko wapi
Yuko nyumbani kwake
Nyuumbu na vinyonga
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Binafsi sina hamu na Lowasa...! Ghafla niligeuka kuitwa Ngoyai daughter[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!..kama ni mchezo huyu katuchzea michezo "michafu"
Mungu atatulipia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwacheni tu apumzike mzee wa watu. Kazingua sana kwenye game huyo bwana. Kazunguusha watu mikono weee alafu kala chocho dah
Aisee, ulivyojibu ingekuwa mtihani umepata mia kabisa.Basi watakuwa wana mfurahisha nani sasa au nafsi zao?
In God we Trust
Kumuulizia mtu kuna shida gani?Wa nini?
Sawa nimekuelewa,lakini unaweza kuwa unamtafuta ili umdhuru........Kumuulizia mtu kuna shida gani?
We hapo inaonekana ni matokeo ya Lowassa hlf unasema 'wa nini'?
Mbowe Na Mnyika mbona wamemaliza tu sekondariVipaumbele vya Lowasa: 1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu!!
Siyo siri huyu jamaa angetufikisha mbali sana!
Elimu ni nini!!?Mbowe Na Mnyika mbona wamemaliza tu sekondari
Hicho kipaumbele cha Elimu kilikuwa hakiwahusu au?
Umati mkubwa sana. Sijui Chadema walifanya trick photography? Lakini kwa crowds Kama hizi huyu anaweza Rais wakati wowote kwa sababu anaweza kuiunganisha nchi.