Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kuwa DC Kama kijana wake. Alimsomesha mwanaye nchini Marekani. Ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Wewe unafikiri ushamba wa madaraka aliokuwa nao magu ulitoka wapi? Magu na kijana wake Sabaya wote jamii za wachunga ng’ombe, unategemea nini? Umeelewa eeh?
 
Ktk uchunguzi wangu nimebaini kuwa baba mzazi wa Lengai Ole Sabaya Mzee Loy Ole Sabaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na UDC.

Pia nimekuja kugundua Sabaya alipata elimu yake nchini Marekani.

Sasa Cha kujiuliza mbona watoto wa viongozi wastaafu ni waadilifu?
Mbona ni tofauti kabisa kwa Sabaya?

Pia Sabaya katembea na kupata elimu ughaibuni, tena USA, Sasa ushamba wa madaraka kautoa wapi?

Exposure yoote hiyo lakini utadhani Layman?
Mwendakuzimu naye si alikuwa anasema kasoma UK?
 
Ole Sabaya kasoma St. John ya Dodoma, alikuwa amalize 2010 chuo kama sijakosea, alikuwa kilaza wa vilaza, fuatilieni, sijui hata kama alimaliza sbb ni failure tupu, form 4 alipata Div 0 au Div 4 ya mwishoni kabisa, so ni mpuuzi sana tokea mashuleni. Kijana mdogo, upuuzi mkubwa sana.

Watu wa failures wakipata madaraka ni watu wa hovyo na wapuuzi sanaaa. Mfano

1: Mbowe Div 0 form 6

2: Bashite ni failures tupu

3: Sabaya ni failures tupu

Mnaona jinsi walivyo katika jamii, failures lead them to hell. Hovyo sana
 
Sabaya alikua mpiga debe stand ya Arusha hapo mimi nilimuona kwa macho yangu sio kusimuliwa hizo habari za kusoma Marekani mnazitoa wapi ?
 
Baba yake alikuwa katili zaidi. Alichoma nyumba za wananchi alipokuwa mkuu wa wilaya hadi tume ikaundwa. Ukatili wa baba yake Sabaya ulikuwa mkubwa zaidi.
 
Namnukuu Siro..."wazazi naomba msizae watoto wa ovyo ovyo kama Hamza"...mwisho wa kumnukuu.
Hii nchi ngumu sana.
Nukuu kama hiyo haikutoka kwa Sirro. Hebu tuletee uthibitisho na usiifanyie photo shopping. Uongo mtupu!
 
Nukuu kama hiyo haikutoka kwa Sirro. Hebu tuletee uthibitisho na usiifanyie photo shopping. Uongo mtupu!
Nikuletee uthibitisho wewe na nani? Jf nzima wanajua na clip ilikuwa humu humu. Acha kujitoa ufahamu kisa njaa za kutetea ujinga.
 
Mbona amesoma Bongo hapa hapa secondary na jamaa yangu.......
 
Nikuletee uthibitisho wewe na nani? Jf nzima wanajua na clip ilikuwa humu humu. Acha kujitoa ufahamu kisa njaa za kutetea ujinga.
Hapajawahi kuwa na cilp kama hiyo na kama ilikuwapo ilikuwa "doctored clip". Huo ni uongo na buzushi wako!
 
Ole Sabaya kasoma St. John ya Dodoma, alikuwa amalize 2010 chuo kama sijakosea, alikuwa kilaza wa vilaza, fuatilieni, sijui hata kama alimaliza sbb ni failure tupu, form 4 alipata Div 0 au Div 4 ya mwishoni kabisa, so ni mpuuzi sana tokea mashuleni. Kijana mdogo, upuuzi mkubwa sana.

Watu wa failures wakipata madaraka ni watu wa hovyo na wapuuzi sanaaa. Mfano

1: Mbowe Div 0 form 6

2: Bashite ni failures tupu

3: Sabaya ni failures tupu

Mnaona jinsi walivyo katika jamii, failures lead them to hell. Hovyo sana
Hapa umechapa kote kote
 
Ole Sabaya kasoma St. John ya Dodoma, alikuwa amalize 2010 chuo kama sijakosea, alikuwa kilaza wa vilaza, fuatilieni, sijui hata kama alimaliza sbb ni failure tupu, form 4 alipata Div 0 au Div 4 ya mwishoni kabisa, so ni mpuuzi sana tokea mashuleni. Kijana mdogo, upuuzi mkubwa sana.

Watu wa failures wakipata madaraka ni watu wa hovyo na wapuuzi sanaaa. Mfano

1: Mbowe Div 0 form 6

2: Bashite ni failures tupu

3: Sabaya ni failures tupu

Mnaona jinsi walivyo katika jamii, failures lead them to hell. Hovyo sana
Bashite mbona anq degee ya Mucobs?
Wahuni wanasema alitaka amle goti.....
si unajua mchumba huwezi mla goti...
Ni muhuni sana.
 
Back
Top Bottom