Ole Sabaya kasoma St. John ya Dodoma, alikuwa amalize 2010 chuo kama sijakosea, alikuwa kilaza wa vilaza, fuatilieni, sijui hata kama alimaliza sbb ni failure tupu, form 4 alipata Div 0 au Div 4 ya mwishoni kabisa, so ni mpuuzi sana tokea mashuleni. Kijana mdogo, upuuzi mkubwa sana.
Watu wa failures wakipata madaraka ni watu wa hovyo na wapuuzi sanaaa. Mfano
1: Mbowe Div 0 form 6
2: Bashite ni failures tupu
3: Sabaya ni failures tupu
Mnaona jinsi walivyo katika jamii, failures lead them to hell. Hovyo sana