Mzee Makamba: 2025 Rais Samia lazima agombee

Mzee Makamba: 2025 Rais Samia lazima agombee

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mzee Makamba anasema 2025 hakuna mjadala Rais Samia Suluhu atagombea urais tena. "Uchaguzi umekwisha sasa tunajiandaa na ligi ya 2025, na tunashinda kwa sababu wapinzani wetu ajenda zao ni mbili tu Katiba na Tume ya uchaguzi tu, kule kwetu Bumbuli hawashibi katika, wala mama yangu ukimuuliza kuna tume ya uchaguzi anakuuliza ni nini?"

Lakini pia amesema "Kama mnataka mumchague mtu lazima mumsifu ili watu wajue kwamba ana sifa, kwahiyo hata wale wanaopinga tukisema umeupiga mwingi ni nahau, nina shemeji yangu pale ana tatizo na kuupiga mwingi, kuupiga mwingi maana yake ni mtu aliyefanya kazi nyingi na kubwa"
 
Mzee anaufurahia sana utawala wa Samia, anadeka kama mtoto wa miaka 12, kweli mtu akizeeka akili inarudi kuwa kama ya mtoto, huyu Makamba kwa anayosema na kufanya sasa, anathibitisha hilo.
 
Asimchurie bure mkojani wa watu. Hatujasahau kauli ile ya atake asitake. Hakuna aijuaye kesho yake.
Kweli kabisa siku ya kufa aijuaye ni Mungu pekee lakini kwa mipango ya wanadamu tunasema 2025 Rais Samia Suluhu atapita kwa kishindo
 
Mzee anaufurahia sana utawala wa Samia, anadeka kama mtoto wa miaka 12, kweli mtu akizeeka akili inarudi kuwa kama ya mtoto, huyu Makamba kwa anayosema na kufanya sasa, anathibitisha hilo.
Lakini point kubwa ni hiyo Rais Samia Suluhu tutafika nae 2030 na Kikwete amekazia
 
Back
Top Bottom