Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na maji mchini, amshambulia vikali mwandishi, asema "Kuwa na shukrani".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ANAMTETEA MTOTO WAKE ila Mzee kaonyesha kutokuwa na HEKIMA wala BUSARA
Tatizo kubwa sana. La si ajabu tu wa mwisho hapa duniani kwa kila kitu.Afrika bado sana mungu tusaidie, yaani matarajio yapo chini sana na bado viongozi wanaona sifa kuwa na shida.
Unamuuliza maji na umeme mtu asiye Waziri wa nishati Wala maji!?Makamba kapewa vyeo kwa kuimbisha watu kwenye mchakamchaka.
Unategemea atoe majibu gani zaidi ya kupanick?
Pale Dodoma amekwenda kufanya nini?Unamuuliza maji na umeme mtu asiye Waziri wa nishati Wala maji!?
Kwa hiyo kila anayeenda Dodoma unaweza muuliza lolote kuhusu serikali!?Pale Dodoma amekwenda kufanya nini?
Hii kali sana.. Mambo ya asali hayaYusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na Maji Nchini, amshambulia vikali mwandishi "kuwa na shukrani"
View attachment 2438761