Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Huyo mzee anapomwambia mwandishi awe na shukrani anamaanisha nini? kajamaa kamekuwa dhaifu sana toka Samia aingie madarakani, anaonesha vile bado alikuwa na tamaa ya mtoto wake kubaki serikalini wakati wa Magufuli.

Now you can imagine Makamba aliumia kwa kiasi gani January wake alivyotumbuliwa na Magufuli, hicho alichosema ni sawa na wale wajinga wengine wanaosema bora tukose umeme kwasababu siku hizI hatutekwi!
 
Hii Mzee amekosea kwanini ahamaki badala ya kujibu swali?
Kwanini aone kama ni shambulio badala ya kueleza strategies ambazo nchi inafanya kutatua tatizo?
Hii inaonesha hawa watu wamejiandaa kuifanya hii nchi ni kaufalme kao, elimu ya mtangazaji inahusianaje na swali aliloulizwa?
NI AIBU KUBWA SANA.
 
Mmoja wa wanachama wa chama cha mambuzi akishikwa na hasira baada ya kuulizwa swali la msingi lililohitaji majibu ya hoja ili kutetea majani yake. Ninapendekeza mwandishi aliyeuliza swali hili apewe ubunge wa bure! Ni mzalendo haswa!
 
Back
Top Bottom