Walker Water
JF-Expert Member
- Aug 23, 2022
- 842
- 3,357
Hapana mkuu,Rais tunamsimamisha Dr B(mk wa chama),(k/mkuu mr P),sisi waeneze na wagombea mpUnategemea Membe atatofautiana na msoga team captain?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu,Rais tunamsimamisha Dr B(mk wa chama),(k/mkuu mr P),sisi waeneze na wagombea mpUnategemea Membe atatofautiana na msoga team captain?
Umelisikia swali vizuri lakini au unahara tu hapaKwa hiyo kila anayeenda Dodoma unaweza muuliza lolote kuhusu serikali!?
Kumbe ni Cha membe; yaani nimetoa na like yangu kwa jamaa😂Unategemea Membe atatofautiana na msoga team captain?
Hii ndo Tz bhana! [emoji23]Kumbe ni Cha membe; yaani nimetoa na like yangu kwa jamaa[emoji23]
Mzee mpumbavu sana huyu! Stupid!Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na Maji Nchini, amshambulia vikali mwandishi "kuwa na shukrani"
View attachment 2438761
Mzee makasirikoooYusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na Maji Nchini, amshambulia vikali mwandishi "kuwa na shukrani"
View attachment 2438761
This jizee is bladifakeniMmoja wa wanachama wa chama cha mambuzi akishikwa na hasira baada ya kuulizwa swali la msingi lililohitaji majibu ya hoja ili kutetea majani yake.Ninapendekeza mwandishi aliyeuliza swali hili apewe ubunge wa bure! Ni mzalendo haswa!
Tukosoe kwa staha.Mzee mpumbavu sana huyu! Stupid!
Mpuuzi sana huyu mzee.Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na Maji Nchini, amshambulia vikali mwandishi "kuwa na shukrani"
View attachment 2438761
Staha gani huyu mpuuzi unataka tumko soe vipi? Yaani tunalipia gharama za huduma yeye anasema tuwe na shukuran! Stupid zake!Tukosoe kwa staha.
Utamuulizaje makamba mzee suala la maji na umeme?!Umelisikia swali vizuri lakini au unahara tu hapa
Nadhani siyo watu weusi wote. Ni watanzania tu ndiyo tuko waajabu sanaWatu weusi tupo kama duplicate, nina mashaka hatukuumbwa sawa na
Kodi gani unayomlipa?huyu bado tunamlipa Kodi zetu lazima tuulize chochote tunachotaka
Tafuta lugha isiyo na ukakasi, Mzazi huyo wa future President wa Yanga.😁Staha gani huyu mpuuzi unataka tumko soe vipi? Yaani tunalipia gharama za huduma yeye anasema tuwe na shukuran! Stupid zake!
Nikukumbushe tu mwandishi alikuwa hajamaliza kuuliza swali Mzee akapanic angesubiri swali liieshe alafu ajibu Kwa staha kuwa yeye sio mwenye dhamana hivyo hawezi kujibu Hilo. Lingekuwa jibu Moja safi sanaUtamuulizaje makamba mzee suala la maji na umeme?!