Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Afrika bado sana mungu tusaidie, yaani matarajio yapo chini sana na bado viongozi wanaona sifa kuwa na shida.
Tuna shida kubwa sana basi,kuna kipindi unafika mpaka unajitafakari hivi mi ni Mtanzania
 
Hivi bongo hamna watu vichaa ikatokea kichaa mmoja akapatiwa AK47 akazuka kwenye huo mkusanyiko wa chama cha mambuzi akazimimina njugu high tabla mizee kama mzee Makamba ikaenda kuzimu fasta! Kwa maneno yake hayo kuna siku vichaa watafanya yao wasiwaone wabongo wote ni mazezeta kututukania baba na mama zetu waliotangulia mbele za haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…