Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huyu mwamba angepewa miaka 10 pale nishati hakika kwasasa tungesahau mgao.CCM siyo watu wa kuwaamini,na ndiyo wamelifikisha hapa hili taifa.
Hii ilikuwa mwaka 2013,miaka karibia kumi sasa(muongo mmoja),tatizo la umeme ni kubwa kuliko mwaka 2013. [emoji116]View attachment 2438780
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa ninamheshimu sana.
Ndiye alirahisisha kufungiwa umeme ndani siku saba kivitendo