Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Labda alikuwa anawafagilia wanachama wenzake !
Mbona inasemekana iko vile jamaa wanasema ni wa huko huko ??!!
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Mpaka leo CCM na Serikali wanamuogopa Mbowe. Lissu is a piece cake.
 
Kabla ya Lisu kutangaza nia ya kugombea kiti cha uwenyekiti CHADEMA chama cha CCM kilikuwa kinampiga madongo Mbowe kuwa king'ang'a sasa baada ya Lisu kugombea Mbowe anaonekana mtu wa dola na chama tawala
Hawa wanaharakati wanatuchanganya sana. Wenye chama chao tuwaache wamchague wanayemtaka.
 
Kwa hiyo Lisu mtamu kama wali nazi kwa CCM? 😄 🤣
Ndiyo maana yake. Mtu Hana hela. Hana watu wakubwa financially and politically Wanam back up,, bali ana wapiga kelele mitandaoni. Hata akiitisha maandamano Leo, yeye mwenyewe hawezi kuandamana. Sasa huyo wa nini?
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Hizo zama zilishapita, Makamba mwenyewe yupo zama hizi?
 
Ndiyo maana yake. Mtu Hana hela. Hana watu wakubwa financially and politically Wanam back up,, bali ana wapiga kelele mitandaoni. Hata akiitisha maandamano Leo, yeye mwenyewe hawezi kuandamana. Sasa huyo wa nini?
Huyo Mbowe ana nini kwa sasa? Chama kinazama siku hadi siku, au unataka kiwe kama TLP au UDP?
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa

Yaani siasa za 2025 unaongelea miaka 15 iliyopita! halafu unafikiri hii nchi ni ileile
 
Back
Top Bottom