SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mhuni huyu alikuwa anakopesha chama siyo kama alikuwa ana sapoti.Mbowe alishawahi kusema yeye amekisqpoti sana chama kwa hela yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhuni huyu alikuwa anakopesha chama siyo kama alikuwa ana sapoti.Mbowe alishawahi kusema yeye amekisqpoti sana chama kwa hela yake
CCM bila mbeleko ya vyombo vya dola na wizi wa kura ni nyepesi kama unyoyaMakamba alisahau kusema CCM bila tume ya uchaguzi iliyojaa makada, polisi , usalama wa taifa haiwezi kufua dafu hata kwa TLP.
Labda alikuwa anawafagilia wanachama wenzake !Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa
Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho
Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi
Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende
Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa
Comasa
Mpaka leo CCM na Serikali wanamuogopa Mbowe. Lissu is a piece cake.Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa
Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho
Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi
Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende
Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa
Comasa
Kwa hiyo Lisu mtamu kama wali nazi kwa CCM? 😄 🤣Mpaka leo CCM na Serikali wanamuogopa Mbowe. Lissu is a piece cake.
Apewe ili awake mambo sawa na kumuaanda mrithi wake sahihi amabaye hata kiyumbisha chamaAmeomba 5 ya mwisho atafute pesa ya wajukuu.
Huko huko wapi system?Labda alikuwa anawafagilia wanachama wenzake !
Mbona inasemekana iko vile jamaa wanasema ni wa huko huko ??!!
Hawa wanaharakati wanatuchanganya sana. Wenye chama chao tuwaache wamchague wanayemtaka.Kabla ya Lisu kutangaza nia ya kugombea kiti cha uwenyekiti CHADEMA chama cha CCM kilikuwa kinampiga madongo Mbowe kuwa king'ang'a sasa baada ya Lisu kugombea Mbowe anaonekana mtu wa dola na chama tawala
Ndiyo maana yake. Mtu Hana hela. Hana watu wakubwa financially and politically Wanam back up,, bali ana wapiga kelele mitandaoni. Hata akiitisha maandamano Leo, yeye mwenyewe hawezi kuandamana. Sasa huyo wa nini?Kwa hiyo Lisu mtamu kama wali nazi kwa CCM? 😄 🤣
Hizo zama zilishapita, Makamba mwenyewe yupo zama hizi?Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa
Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho
Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi
Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende
Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa
Comasa
Kijani kibichi 😅Huko huko wapi system?
Huyo Mbowe ana nini kwa sasa? Chama kinazama siku hadi siku, au unataka kiwe kama TLP au UDP?Ndiyo maana yake. Mtu Hana hela. Hana watu wakubwa financially and politically Wanam back up,, bali ana wapiga kelele mitandaoni. Hata akiitisha maandamano Leo, yeye mwenyewe hawezi kuandamana. Sasa huyo wa nini?
Mmhh sidhani labda uniambie wale wazee wa suti nyeusiKijani kibichi 😅
Maneno yanaishi dogoHizo zama zilishapita, Makamba mwenyewe yupo zama hizi?
Mbona wao ndio wanamfagilia sana awe tena Mwenyekiti ??!Mpaka leo CCM na Serikali wanamuogopa Mbowe. Lissu is a piece cake.
Ngoja Tusubiri tuone !Mmhh sidhani labda uniambie wale wazee wa suti nyeusi
Ulitakaje?Huyo Mbowe ana nini kwa sasa? Chama kinazama siku hadi siku, au unataka kiwe kama TLP au UDP?
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa
Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho
Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi
Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende
Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa
Comasa
OK time will tellNgoja Tusubiri tuone !