Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

nisahihi na chama kimekufa ndomana anahitajika mtu aina ya Dr slaa kurudisha chama mstalini
 
Lissu hajawahi zina pengo la Slaa. Lile pengo halizibiki
Uendawazimu huo, Lissu alikuwa mgombea urais 2020 na aliwasumbua CCM na muuaji Magufuli kitu ambacho Slaa hakufikia, ila wapiga debe wa Mbowe mmechanganyikiwa.

Ni huyu aliyemfanya muuaji kumshambulia kwa risasi 2017 kwa sababu alikuwa tishio na hahongeki kama aliyefichwa Serena hotel na kuhongwa ubalozi
 
Yaani unafanya reference kwa mzee wa hovyo wa CCM huyo? Kipi cha maana alichokifanya ili kimpe legacy katika uongozi nchini mfano mzee jaji Warioba?
Unatuletea nukuu za majuha 🚮🚮
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Tafadhali naomba uweke kipande cha video inayoonyesha Makamba akiongea hayo.
Watu mmekuwa na propaganda na kampeni za hovyo sana za kulisha watu maneno ambayo hawajayasema.
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Mbona wamesha ondoka na ndio kwanza uhai wake umeanza na umechanganya,hapa tunatarajia kufanya usajili wa marope.Halafu tutamtafuta mzee baba kwa maoni mengine ya ziada.
 
Hawa wanaharakati wanatuchanganya sana. Wenye chama chao tuwaache wamchague wanayemtaka.
Wanaharakati uchwara na wafwata mkumbo.wengi wao akili kisoda,wanakuokoteza hoja nakuzishadadia bila uhakika wowote.Hii nchi ina watu wenye akili ndogo sana.
 
Wanaharakati uchwara na wafwata mkumbo.wengi wao akili kisoda,wanakuokoteza hoja nakuzishadadia bila uhakika wowote.Hii nchi ina watu wenye akili ndogo sana.
Yani natamani TAL ashindwe tuwaone hao wanaharakati kama watakimbia hiko chama chao
 
..Chadema ilibebwa sana na harakati zilizoongozwa na Dr.Slaa.

..baada ya Slaa kuondoka aliyeziba pengo lake ni Tundu Lissu.

..Mbowe alikuwa radhi amuachie uongozi Edward Lowassa.
Bora mara mia Lowassa kuliko Slaa, Lowassa alivyorudi CCM hakuwahi kuisakama CHADEMA au kudhalilisha harakati za opposition ila lile nyoka lenye vichwa viwili lilishambulia chama lilichotoka(kama afanyavyo Msigwa).
Lowassa effortlessly aliipandisha CHADEMA ikapata idadi ya wabunge ambao hakuna chama cha opposition kimewahi kupata toka mfumo wa multiparty ulivyorudi tena lakini hakuwahi kutukana, kukashifu wala kuwazodoa viongozi wa upinzani.
Slaa will be remembered as a two headed serpent.
 
Bora mara mia Lowassa kuliko Slaa, Lowassa alivyorudi CCM hakuwahi kuisakama CHADEMA au kudhalilisha harakati za opposition ila lile nyoka lenye vichwa viwili lilishambulia chama lilichotoka(kama afanyavyo Msigwa).
Lowassa effortlessly aliipandisha CHADEMA ikapata idadi ya wabunge ambao hakuna chama cha opposition kimewahi kupata toka mfumo wa multiparty ulivyorudi tena lakini hakuwahi kutukana, kukashifu wala kuwazodoa viongozi wa upinzani.
Slaa will be remembered as a two headed serpent.

..mimi kwa maoni yangu Lowassa alifaidika na matunda ya harakati za Chadema zilizoongozwa na Dr.Slaa kati ya mwaka 2010 mpaka 2015.

..Lowassa alizifanya kampeni za Chadema zipooze kutokana na afya yake kuwa mbaya, na tuhuma zake dhidi ya ufisadi.

..Simlaumu Lowassa kwa kudhoofika kiafya. Hiyo ni hali inaweza kumtokea mtu yeyote. Nawalaumu Chadema kwa kutolizingatia hilo kabla ya kumfanya mgombea wao.
 
Kama Mbowe akiendelea kuwa mwenyekiti kwa nguvu ya dola na CCM ndiyo Chadema itakufa kwani hawatapata diwani au mbunge hata mmoja labda wa kuzawadiwa na sponsor wao Samia
Zile ni siasa tu. Yaani waweke mgombea, msimpigie kura muanze kuisingizia ccm? Chama kiweke wagombea majimbo yote, nyie wanachama na mashabiki msimpigie kura mtegemee huruma ya ccm.

Kila mtu apambane kkadiri anavyoweza.
 
kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende
Siyo kweli kwamba chadema inaishinkwasab ya Mbowe. Mpenzi kura Lisu muyaone mabadiliko kwa vitendo
 
Mbowe kadakishwa b12 kunguni kama wewe mnalala njaa tu.
Ni kweli mi kunguni nalala na njaa ila ajabu nipo JF kila dakika, kila saa, kila siku, kila wiki, kila mwezi na kila mwaka tangu 2014 nilipojiunga! Ahahahahaha! Na sasa hivi nipo Empire chimbo jipya hapa Nyegezi, Jijini Mwanza! Ahahahahaha!!!
 
wenye CHADEMA YAO watamchagua M/Kiti iwe mnamtaka au hamumtaki itabaki kuwa shida zenu mkumbuke kuwa na nyie mnao uchaguzi wanu wa nani cjui bara kabla CDM ingekuwa vyema mkahangaikia huko kwenu. achana na jirani
 
Back
Top Bottom