Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

haifi zama zimebadilika labda angekuwa hai ndo ingekufa
 
Siyo kweli kwamba chadema inaishinkwasab ya Mbowe. Mpenzi kura Lisu muyaone mabadiliko kwa vitendo
Tundu anaonekana mropokaji hana kaba ndio maana wajuzi wa mambo wanaona nafasi hio haimfai anatakiwa kuwa controlled chini ya mtu mwenye hekima
 
Reactions: G4N
Kwamba Mbowe ni immortal asiye na mrithi/ mbadala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…