Mzee Makamba anasema Watanzania tukae tutulie Rais Samia anafanya kazi nzuri

Mzee Makamba anasema Watanzania tukae tutulie Rais Samia anafanya kazi nzuri

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mzee Yusuph Makamba amesema "Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki...niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu Watanzania ni kiongozi bora, anatosha. Wakae watulie sasa"

Ameongeza kuwa "Muhimu tumwombee kwa kuwa ni kiongozi makini anayeamua mambo kwa busara,msikivu na anajua hapa niseme nini,nifanye nini,angeamua kukaa kimya na hii ripoti kufanywa kwa kificho tusingeyajua, kutokana na uchungu alionao ameweka wazi,"Mzee Makamba

Kwa wazalendo na watanzania wenye akili timamu lazima wamuelewe huyu mzee ameongea maneno ya busara sana pia hata sisi watanzania tunajua kuwa Rais Samia Suluhu anaendelea kutuonyesha kazi nzuri anayoifanya hasa katika kupambana na wabadhilifu
 
Mzee Yusuph Makamba amesema "Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki...niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu Watanzania ni kiongozi bora, anatosha. Wakae watulie sasa"
Anza na report ya mwaka jana msidhani na sisi ni mambuzi .pfuuuuu , yote ni matokeo ya kuruhusu watu wake. Huyu kikongwe atulie ale pension hana idea kuwa nchi inaongizwa kwa mjibu wa katiba. Ataakaa na report nchi ya hilo kundi lao kama wanavyoamini? Hajui kama sheria inamtaka aiweke hadharani? Mzee kama anapitia humu namshauri ale asali na akipenda adumbukie kabisa
 
Mzee Yusuph Makamba amesema "Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki...niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu Watanzania ni kiongozi bora, anatosha. Wakae watulie sasa"

Ameongeza kuwa "Muhimu tumwombee kwa kuwa ni kiongozi makini anayeamua mambo kwa busara,msikivu na anajua hapa niseme nini,nifanye nini,angeamua kukaa kimya na hii ripoti kufanywa kwa kificho tusingeyajua, kutokana na uchungu alionao ameweka wazi,"Mzee Makamba

Kwa wazalendo na watanzania wenye akili timamu lazima wamuelewe huyu mzee ameongea maneno ya busara sana pia hata sisi watanzania tunajua kuwa Rais Samia Suluhu anaendelea kutuonyesha kazi nzuri anayoifanya hasa katika kupambana na wabadhilifu
Yaani wewe kabisa unakaa na kumsikiliza huyu Msambaa. Ana nini zaidi ya kutetea ugali wa mwanae pale wizarani
 
mwanae anakula asali lazima Mzee nae awe CHAWA wa mama, unadhan mwanae angekua bench angeongea hayo
Tatizo la watanzania mtu akisema ukweli anakuwa Chawa lakini ukweli unabaki pale pale tumpe Rais Samia Suluhu nafasi aendelee kufanya kazi yake maana tunaona muelekeo mzuri katika utendaji kazi wake
 
Tatizo la watanzania mtu akisema ukweli anakuwa Chawa lakini ukweli unabaki pale pale tumpe Rais Samia Suluhu nafasi aendelee kufanya kazi yake maana tunaona muelekeo mzuri katika utendaji kazi wake
Mwambie mzee atunze heshima yake tusije tukamharibia swaumu bure
 
Anza na report ya mwaka jana msidhani na sisi ni mambuzi .pfuuuuu , yote ni matokeo ya kuruhusu watu wake. Huyu kikongwe atulie ale pension hana idea kuwa nchi inaongizwa kwa mjibu wa katiba. Ataakaa na report nchi ya hilo kundi lao kama wanavyoamini? Hajui kama sheria inamtaka aiweke hadharani? Mzee kama anapitia humu namshauri ale asali na akipenda adumbukie kabisa
Lakini haukumbuki kama miaka 5 nyuma haya mambo hayakuwa hadharani kwahiyo inatakiwa tumshukuru Mungu nchi imerejea kwenye mstari
 
Back
Top Bottom