#COVID19 Mzee Makamba: Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki. Lazima wajue uhuru wao unaishia Bungeni

#COVID19 Mzee Makamba: Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki. Lazima wajue uhuru wao unaishia Bungeni

Issue siyo kukataa chanjo ni kumtukana na kumdharau raisi!!!! Anamdhalilisha sana raisi pamoja na kuwa raisi katuudhi kutuwekea tozo kwenye miamala na luku, si sawa!!
Sasa kwanini Msimkamate Mkuu?
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
1. Mzee Makamba unajua kundi lote la Kigogo. Na kiongozi wa kundi hilo ni damu yako. Mbona humkatazi kuikashifu serikali na viongozi wake?

2. Mzee makamba wewe ndiye baba mzazi wa mwezi wa kwanza, kwa hiyo umeamua kujipendekeza kwa chama ili mwezi wa kwanza akumbukwe katika uongozi serikalini?

3. Mzee Makamba ulimtusi marehemu JPM, je wewe ulikuwa na haki kichama ya kumtukana Raisi?

ACHA WATU WATUMIE UHURU WAO WA KUTOA MAONI MZEE.
 
All genome sequencing is revealing that COVID19 has no characteristics of a typical Corona virus pointing to a Lab created virus !!

Its all about free consent. The public does have the right to know that these vaccines are still brand new and long term effects will only be known upon observing the vaccinated over time ergo this corona vaccine program is a medical experiment. A formal announcement is in order.

mRNA vaccines have NOT worked previously, but now they do? This is genetic engineering with -Injected Messenger RNA corona vaccine enters our healthy cells & stays there permanently, to what long term effects? We kachome. Beba na familia yako if you can.
What the mRNA vaccine does is to deliver the spike protein for the body to produce antibodies against. And this is done in the cytoplasm, sio kwenye nucleus ambako DNA ipo.
 
Yeye mbona alivumiliwa enzi za chuma, ama kweli Paka akiondoka panya hutawala. Kama mzee na mwanae wana mzigo wao wa chanjo wauingize sokoni tu
 
What the mRNA vaccine does is to deliver the spike protein for the body to produce antibodies against. And this is done in the cytoplasm, sio kwenye nucleus ambako DNA ipo.
Limiting vaccine to spike protein allows variants to escape immunity much easier than from natural immunity to whole, live virus. These variants then become dominant. Dozens of medical journals have shown very clearly that the spike proteins themselves are highly problematic, and amongst other things are associated with formation of blood clots, both large and small.

The spike protein of SARSCoV2's #DeltaVariant drives 2 critical events: Membrane fusion, which means docking on the cell surface to initiate infection. But it also drives the deadly business of evading the immune system, a factor that makes delta deadly.

You seems as an educated person, i suggest you go and study various articles that presents an alternative to what the mainstream media and politicians tell you. Facts will set you free and u'll eventually make a decision based on facts rather than lies that you are being fed by those who are in BIGpharma payrolls.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Wafukuzwe uanachama mara moja kama walivyofanyiwa Covid-19.
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Amefufuka katika wafu
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.

Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.

Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.

Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.

Chanzo: Magazeti
Huyu mtu anatumiwa na shetani si kingine chochote. Inapofikia mtu anasema watu hawavumliki, anaweza kufahamu namna gnai watu wangapi wameumizwa na genge lake lakini wamevumilia? Iko siku ya kuto a hesabu.
 
Kila nafsi itaonja umauti. Hii kauli ya kusema hafi mtu hapa ni ujinga
Kifo ni haki ya mwanadamu
Kifo ni failure to live. So once you die it is due due your failure to surve and live. Kwa hiyo siyo mpango wa mungu
 
Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mbona wanao sapoti uhiyari wa chanjo wanapigwa sana.
 
WAFUKUZWE. WANAMPINGA NA KUMUDHARAU M/KITI WA CCM.
Asiyepingwa ni Mungu pekee. mwenyekit waccm si Mungu na mara nyingi tu ameafanya makosa. Umbeni watu wenu muwafanye misukule wa kuwafuata kila mnakowapeleka kwa kuyumba kwa mawazo yenu yaliyojaa hila. Kila siku mnabadilika, watu wafuate kipi ni sahihi? Umbweha huu acheni mara moja.
 
Kila nafsi itaonja umauti. Hii kauli ya kusema hafi mtu hapa ni ujinga
Kifo ni haki ya mwanadamu
Kifo ni failure to live. So once you die it is due due your failure to surve and live. Kwa hiyo siyo mpango wa mungum
at that age unachokisubiri ni kuitwa na Mungu.
Mungu huwa haiti mtu na hana haja na watu ila ni failure tu. Ukifa maana yake umeshindwa kuishi
 
How come kukataa kuchanjwa mwili wangu iwe ni dharau kwa mwingine?!
Kwanza yeye Mzee Makamba Kesha chanja au anatuzuga tu, maana kwenye hili game la Corona full mapichapicha!!
 
Back
Top Bottom