mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Unajua maana ya kashfa? Kashfa ipi ndugu?Shida sio wewe kukataa chanjo, ...ila ni uzushi na kashfa nyingi unazomwaga kwa rais kwa kuridhia watu kupata chanjo kwa hiari yao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya kashfa? Kashfa ipi ndugu?Shida sio wewe kukataa chanjo, ...ila ni uzushi na kashfa nyingi unazomwaga kwa rais kwa kuridhia watu kupata chanjo kwa hiari yao!
Makamba mbona yeye pia alimpinga na kumdharau mwenyekiti Ila hakufukuzwa?WAFUKUZWE. WANAMPINGA NA KUMUDHARAU M/KITI WA CCM.
Wapeni KESI ya UGAIDI ndio MILA ZENUMzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Kwaniniwachukuliwe hatua?!?! Serikalini imeshasema chanjo ni hiari Sasa tatizo liko wapi? Kama Kuna viongozi wanahamasisha chanjo ili watu wachanjwe Kuna ubaya gani Kama Kuna kundi la watu litasema chanjo ni hatari na kutoa sababu? Binafsi naipenda serikali lakini kwa hili la chanjo serikali imejichanganya mno...Kama Corona ipo na chanjo ipo kulikuwa hakuna sababu ya kusema chanjo ni hiari...je chanjo ya ndui ilikuwa ni hiari?! Je kwa chanjo zote zilizopita zilikuwa ni hiari kwa mtu kuchanjwa?Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Tatizo sio kukataa kuchanja ila tatizo ni wewe kukataa kuchanja halafu unaanza kudanganya na wananchi wasichanje hapo ndipo shida ilipo.How come kukataa kuchanjwa mwili wangu iwe ni dharau kwa mwingine?!
Hakuna anayesema chanjo ni lazima ila unapowalazimisha waumini wako waigomee unaondoa uhiari wa chanjo, unatakiwa uwaache waumini wako wajiamulie wenyewe bila kuwakataza.Mimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.
Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Kama kuna wanaohamasisha tuchanjwe lazima wawepo na wanaohamasisha tusichanje halafu sasa sie tuchague upande. It's natural. Mawazo kinzani hayapigwi rungu. Imagine kuna makanisa yanampinga Mungu na Yesu hata Muhammad, why chanjo isipingwe?!Tatizo sio kukataa kuchanja ila tatizo ni wewe kukataa kuchanja halafu unaanza kudanganya na wananchi wasichanje hapo ndipo shida ilipo.
Sukuma GANG/ MATAGA hawataki kutawaliwa na mwanamke tena ni mzanzibar na ni muislamu.. wanamtazama Samia wanasema Hiiiiiii!!!!… 😄😄😄Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Kuna haja ya kutenganisha kofia mbiliMzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swala hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
=====
BAADHI ya viongozi waandamizi ndani ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wanadaiwa kuwa na mkakati wa makusudi wa kumdharau Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan.
Taarifa kutoka ndani ya chama hicho, zinasema hatua ya viongozi wake wakuu, kunyamazia matendo ya Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima na mwenzake, Humphrey Polepole, inatafsiriwa ni dalili tosha kuwa “wanamdharau na kumpuuza,” Rais Samia.
Polepole, ambaye ni mbunge wa kuteuliwa na Rais na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, pamoja na Askofu Gwajima, wamekuwa na kampeni ya wazi ya kupinga chanjo ya corona, kinyume na maelekezo ya chama chao.
Kutokana na hayo, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Mzee Yusuf Makamba, Naibu Katibu Mkuu Bara wa NCCR-Mageuzi, Anthony Komu na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah wamezungunzia kadhia hiyo na hatari wanayoiona ndani ya serikali na CCM.
Undani wake, soma Gazeti la Raia Mwema toleo la leo Ijumaa tarehe 20 Agosti 2021.
Sawa ni hiari lakini usitumie nafasi yako katika jamii kushawishi wengine wasichanjeMimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.
Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Wasilazimishe watu suala la chanjo..dharau inatoka wapi? Watu wana uhuru wa kutoa maoni. Wana haki ya kuchagua what's injected into their bodies. Pole Pole na Gwajima wametoa maoni and its constitutional. Hili suala linaweza kuiumiza sana ccm wasipokuwa makini.
Those of us who are not vaccinated are choosing to stay that way because we are allowed to make that choice for ourselves. My body, my choice, am tired with this bs on social media trolling us to get experimental vaccine that is not even approved.
What studies have been done showing the long term effects?? No one has even had the vaccine that long to conduct that type of study...
Kama kuna jinai apambane na jinai yake. Ila drama za chanjo waachane nazo...Tatizo la Askofu Gwajima ni madai yake kwamba viongozi wamehongwa, wamechomwa feki, na chanjo zina magnetic force / chip.
..Kama Askofu angepinga chanjo kwa hoja kwamba hazijafanyiwa majaribio ya kutosha kujua ubora, na madhara yake, hakuna ambaye angemlaumu.
..Askofu Gwajima angekuwa ni mwana Chadema na akatoa tuhuma alizotoa kuhusu chanjo leo angekuwa mahakamani akijibu mashtaka mabaya dhidi yake.
una uhuru kabla ya kutoa maoni ila huna uhuru baada ya kutoa maoniUhuru wa kutoa maoni uko wapi?
Vipi kuhusu wale wanaotumia nafasi na vyeo vyao kuwahamasha wengine wachanje?Sawa ni hiari lakini usitumie nafasi yako katika jamii kushawishi wengine wasichanje
Wanamgwaya!!!!Sasa kwanini Msimkamate Mkuu?