Sasa kwanini Msimkamate Mkuu?Issue siyo kukataa chanjo ni kumtukana na kumdharau raisi!!!! Anamdhalilisha sana raisi pamoja na kuwa raisi katuudhi kutuwekea tozo kwenye miamala na luku, si sawa!!
1. Mzee Makamba unajua kundi lote la Kigogo. Na kiongozi wa kundi hilo ni damu yako. Mbona humkatazi kuikashifu serikali na viongozi wake?Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
What the mRNA vaccine does is to deliver the spike protein for the body to produce antibodies against. And this is done in the cytoplasm, sio kwenye nucleus ambako DNA ipo.All genome sequencing is revealing that COVID19 has no characteristics of a typical Corona virus pointing to a Lab created virus !!
Its all about free consent. The public does have the right to know that these vaccines are still brand new and long term effects will only be known upon observing the vaccinated over time ergo this corona vaccine program is a medical experiment. A formal announcement is in order.
mRNA vaccines have NOT worked previously, but now they do? This is genetic engineering with -Injected Messenger RNA corona vaccine enters our healthy cells & stays there permanently, to what long term effects? We kachome. Beba na familia yako if you can.
Eee alikuwa mbunge wa kuteuliwaMzee Makamba amewahi kuwa mbunge?
Lini?
Limiting vaccine to spike protein allows variants to escape immunity much easier than from natural immunity to whole, live virus. These variants then become dominant. Dozens of medical journals have shown very clearly that the spike proteins themselves are highly problematic, and amongst other things are associated with formation of blood clots, both large and small.What the mRNA vaccine does is to deliver the spike protein for the body to produce antibodies against. And this is done in the cytoplasm, sio kwenye nucleus ambako DNA ipo.
Wafukuzwe uanachama mara moja kama walivyofanyiwa Covid-19.Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Shida sio wewe kukataa chanjo, ...ila ni uzushi na kashfa nyingi unazomwaga kwa rais kwa kuridhia watu kupata chanjo kwa hiari yao!How come kukataa kuchanjwa mwili wangu iwe ni dharau kwa mwingine?!
Amefufuka katika wafuMzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
WAFUKUZWE. WANAMPINGA NA KUMUDHARAU M/KITI WA CCM.Mimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.
Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Mbona wao wanatuvunjia heshima? tuchukue hatua gani mkuu?Kama kamvunjia Heshima Rais basi Akamatwe awajibishwe.
Lakini kuanza kumnanga kwakua tu hataki chanjo si Jambo jema.
Huyu mtu anatumiwa na shetani si kingine chochote. Inapofikia mtu anasema watu hawavumliki, anaweza kufahamu namna gnai watu wangapi wameumizwa na genge lake lakini wamevumilia? Iko siku ya kuto a hesabu.Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Kifo ni failure to live. So once you die it is due due your failure to surve and live. Kwa hiyo siyo mpango wa munguKila nafsi itaonja umauti. Hii kauli ya kusema hafi mtu hapa ni ujinga
Kifo ni haki ya mwanadamu
Mbona wanao sapoti uhiyari wa chanjo wanapigwa sana.Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Asiyepingwa ni Mungu pekee. mwenyekit waccm si Mungu na mara nyingi tu ameafanya makosa. Umbeni watu wenu muwafanye misukule wa kuwafuata kila mnakowapeleka kwa kuyumba kwa mawazo yenu yaliyojaa hila. Kila siku mnabadilika, watu wafuate kipi ni sahihi? Umbweha huu acheni mara moja.WAFUKUZWE. WANAMPINGA NA KUMUDHARAU M/KITI WA CCM.
Kifo ni failure to live. So once you die it is due due your failure to surve and live. Kwa hiyo siyo mpango wa mungumKila nafsi itaonja umauti. Hii kauli ya kusema hafi mtu hapa ni ujinga
Kifo ni haki ya mwanadamu
Mungu huwa haiti mtu na hana haja na watu ila ni failure tu. Ukifa maana yake umeshindwa kuishiat that age unachokisubiri ni kuitwa na Mungu.
Kwanza yeye Mzee Makamba Kesha chanja au anatuzuga tu, maana kwenye hili game la Corona full mapichapicha!!How come kukataa kuchanjwa mwili wangu iwe ni dharau kwa mwingine?!
Chanjo ni Kama kikombe Cha babu,wapo walio safiri kukifuata,na wapo walio kipuuzia na kuendelea na Maisha yao!!Wengine wako upande wa La