#COVID19 Mzee Makamba: Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki. Lazima wajue uhuru wao unaishia Bungeni

Huyu Mzee chenga si ndo huyu alikuwa amamsimanga kumbagaza na kusemgenya jpm,

Alifanya vikao vya kumpindua mwenyekiti yeye na akina kinana na genge lao ovu tukambaini

tulipombaini kupitia ule mtambo wetu wa kudukua tulioununua israel akaja mbio kuomba msamaha
 
Baada ya kusahaulika, Makamba anafuata nyayo za Mzee Mwinyi, kujipendekeza chamani ili mwanawe January akumbukwe kwenye uraisi, simple like that.
 
Mzee Makamba anazeeka vibaya. Kutumia hiari iliyowekwa na kwenda kinyume na mitazamo ya mwenyekiti sio kosa. Huyu mzee na wenzie wanadhani bado tupo mwaka 1958 ambapo fikra za mwenyekiti zilipaswa kudumu milele
 
Kama ni hiari sasa wanampinga nini...
Mzee Makamba is right.
Hao kina polepole na gwajima wakiona chanjo haziwafai sasa wanabwabwaja nini hadharani?

Wajue kuongea kinyume na mama ni kumdharau hadharani.
 
Waandishi wa habari, waacheni wazee wapumzike..
 
Yote hayo ni kutaka kuwanyamazisha viongozi waliyoaminika na magufuli wasiwe na sauti. Polepole ni mbunge tu kwa nini asiwe na uhuru wake kutoa maoni hata kama ni tofauti na viongozi wa chama. Rais kasema kuchanja au kutochanja ni hiari sasa kwanini iwe nongwa mtu akisema hachanji. Na huyo mzee makamba atoe unafiki wake. Enzi za comedy zake kufanikisha hila zake zimepita.
 
Mzee Makamba apumzike tu, ile ndoto yake ya kumuona mwanae february akiongoza JMT imeyeyuka ghafla amebaki kubwabwaja tu. 2025 nchi mikononi mwa wapinzani !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…