Mzee Makamba: Katika umri wangu wa miaka 84 leo ndio nayaona maji ya bomba Bumbuli, ahsante awamu ya 6

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, mzee Makamba ameishukuru Serikali ya Awamu ya 6 kwa kuwaletea maji ya bomba Bumbuli.

Mzee Makambà amesema katika umri wake wa miaka 84 sasa amekuwa akishuhudia akina mama wa Bumbuli wakiteka maji visimani na kubeba ndoo kichwani.

Source: ITV
 
Yeye ndie aliesababisha haya yatokee,halafu eti anashukuru,hopeless kabisa ,akiwa katibu mkuu wa ccm aliendekeza majungu na uchawi tu
 
Januari ni mbunge wa hilo jimbo tangu 2010,maana yake hadi mwanae ni mpuuzi hafai.
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM mzee Makamba ameishukuru serikali ya awamu ya 6 kwa kuwetea maji ya bomba Bumbuli...
Mzee Makamba wenye Akili tunajua kuwa Unamsifia sana Rais Samia ili afurahi na asimtumbue Mwanao Kipenzi Waziri January Makamba ambaye hakuna cha Tija alichokifanya zaidi tu ya kila Siku kutubadilishia Suti na Kujilambalamba tu Mdomo wake.

Na nasikia Unaroga mno asitumbuliwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…