Mzee Makamba: Katika umri wangu wa miaka 84 leo ndio nayaona maji ya bomba Bumbuli, ahsante awamu ya 6

Mzee Makamba: Katika umri wangu wa miaka 84 leo ndio nayaona maji ya bomba Bumbuli, ahsante awamu ya 6

Najua tunguli moja dogo ktk Ulimwengu wa ROHO ukubwa wake ni sawa na uwanja wa Mkapa,

Ndomana jini au pepo lenye ukubwa sawa na mlima Kilimanjaro linawekwa ktk Chupa linaenea, au likajipunguza USAWA wa Pete ukaiokota na kuivaa,

Pamoja na ukubwa huo ni haiwezekani kuwafunga watu zaidi ya 60 ml wasione, yaani watz wote warogwe?

Tupo MAGOTINI hawatafika 2025 wakiwa mawaziri, ni wote wanaohujumu wananchi.

Nawafutwe ktk Ulimwengu wa siasa wasahaulike kabisa. Amen
Na maono yatimie kwa kadri uombavyo, maana waomba katika nia njema. Amen.
 
Kuna maneno mengine unaenda kulewa tu kwa hasira Halafu unalia kikwenu mpaka basi
 
Back
Top Bottom