mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Hawez achwa maana yeye ndiyo mchonga mzinga wa asaliHivi ilikuaje mtu bogus kama huyu akawa katibu mkuu wa ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawez achwa maana yeye ndiyo mchonga mzinga wa asaliHivi ilikuaje mtu bogus kama huyu akawa katibu mkuu wa ccm?
Na maono yatimie kwa kadri uombavyo, maana waomba katika nia njema. Amen.Najua tunguli moja dogo ktk Ulimwengu wa ROHO ukubwa wake ni sawa na uwanja wa Mkapa,
Ndomana jini au pepo lenye ukubwa sawa na mlima Kilimanjaro linawekwa ktk Chupa linaenea, au likajipunguza USAWA wa Pete ukaiokota na kuivaa,
Pamoja na ukubwa huo ni haiwezekani kuwafunga watu zaidi ya 60 ml wasione, yaani watz wote warogwe?
Tupo MAGOTINI hawatafika 2025 wakiwa mawaziri, ni wote wanaohujumu wananchi.
Nawafutwe ktk Ulimwengu wa siasa wasahaulike kabisa. Amen
Asali ni muhimu kuliko maji! Safi kabisaNikadhani anasema leo ameona mabomba yanatoa asali Bumbuli kumbe ni maji tu, tena baada ya miaka 84! CCM imechoka sana.