Najua tunguli moja dogo ktk Ulimwengu wa ROHO ukubwa wake ni sawa na uwanja wa Mkapa,
Ndomana jini au pepo lenye ukubwa sawa na mlima Kilimanjaro linawekwa ktk Chupa linaenea, au likajipunguza USAWA wa Pete ukaiokota na kuivaa,
Pamoja na ukubwa huo ni haiwezekani kuwafunga watu zaidi ya 60 ml wasione, yaani watz wote warogwe?
Tupo MAGOTINI hawatafika 2025 wakiwa mawaziri, ni wote wanaohujumu wananchi.
Nawafutwe ktk Ulimwengu wa siasa wasahaulike kabisa. Amen