Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
18,487
Reaction score
13,611


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
 
Amaa kweli kila shetani na mbuyu wake
 
Baada ya siku ya leo Jumamosiya sabato kumalizika na mkutano mkuu kumpitisha kikwete,kesho ni siku maalum ya Gwajima kumjibu Makamba,naamini Makamba ameingia choo cha kike na ataomba poo japo kimya kimya na waandishi wa habari msikose Kanisa la UFUFUO na Gwajima kesho,hii ni komedy mpya inayokuja
 
Lakini Mimi binafsi sijaona kosa la gwajima maana aliongea ukweli, watu walikuwa wanafanya kampeni maghu asiwe mwenyekiti bulembo akaja kuthibitisha hata lizaboni humu ndani kathibitisha sasa kosa lake nini?
JK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
 
Baada ya siku ya leo Jumamosiya sabato kumalizika na mkutano mkuu kumpitisha kikwete,kesho ni siku maalum ya Gwajima kumjibu Makamba,naamini Makamba ameingia choo cha kike na ataomba poo japo kimya kimya na waandishi wa habari msikose Kanisa la UFUFUO na Gwajima kesho,hii ni komedy mpya inayokuja

Kumpitisha Kikwete!? Kuwa nani...!?
 
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
Ccm hamna jipya, Gwajima aliongea kweli. Ccm mmeoza wote
 
Ninavyomjua Gwajima atalinganisha dhambi ya kumtukana Cardinal Na dhambi ya Mwl.Mkuu ya Kubaka Mwanafunzi Na kumpa mimba, sijui atatumia msitari gani kwenye Holly bible!!??
 
Baada ya siku ya leo Jumamosiya sabato kumalizika na mkutano mkuu kumpitisha kikwete,kesho ni siku maalum ya Gwajima kumjibu Makamba,naamini Makamba ameingia choo cha kike na ataomba poo japo kimya kimya na waandishi wa habari msikose Kanisa la UFUFUO na Gwajima kesho,hii ni komedy mpya inayokuja
Daah ...Kikwete kapitishwa lini.. ?
 
Kikwete anapitishwa tena??? mkuu kuwa makini
 
MZEE makamba analipa fadhila kwa mfalme kwahiyo mimi sishangai kusikia hotuba kama ile,alafu bwana mkubwa alimuandaa ili aseme maneno yale! Ila haikuwa mahala pale,amearibu sn kwa kuwa ile ni personal conflict kati ya jk na gwajima,ssa yeye inamhusu nni!.wangazija husema,pilipili usoila yakuwashia bn!,ssa yeye makamba ugomvi ya jk na gwajima inamuwashia nn!.wote tunajua alosema gwajima,baadhi yanaukweli ndani take!,kwani nani hajui namna nchi hii ulivyokuwa na mtandao wa mafisadi na kutafunwa na watu wachache bila kuchukuliwa hatua na uongozi uliopita!,ssa gwajima kadanganya wpi au sisi ni vipofu tulikuwa hatuoni!.acheni Uhuru wa maoni ichukuwe nafasi yake bn,msizibe watu midomo!KAMA OBAMA ALIKASHIFIWA NA KUITWA SOKWE SEMBUSE NYINYI!
 
MZEE makamba analipa fadhila kwa mfalme kwahiyo mimi sishangai kusikia hotuba kama ile,alafu bwana mkubwa alimuandaa ili aseme maneno yale! Ila haikuwa mahala pale,amearibu sn kwa kuwa ile ni personal conflict kati ya jk na gwajima,ssa yeye inamhusu nni!.wangazija husema,pilipili usoila yakuwashia bn!,ssa yeye makamba ugomvi ya jk na gwajima inamuwashia nn!.wote tunajua alosema gwajima,baadhi yanaukweli ndani take!,kwani nani hajui namna nchi hii ulivyokuwa na mtandao wa mafisadi na kutafunwa na watu wachache bila kuchukuliwa hatua na uongozi uliopita!,ssa gwajima kadanganya wpi au sisi ni vipofu tulikuwa hatuoni!.acheni Uhuru wa maoni ichukuwe nafasi yake bn,msizibe watu midomo!KAMA OBAMA ALIKASHIFIWA NA KUITWA SOKWE SEMBUSE NYINYI!
Nadhani kuwa Makamba ameona Gwajima anafaa kutajwa pale jukwaani kwa sababu ni siku ya kumuaga JK. Mwanasiasa ambaye alitaka kugombanishwa na JPM. Mashiko ya majibu ya Makamba yapo kwenye cheo cha uenyekiti wa JK.
 
Back
Top Bottom