Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mbona la kupeleka kimemo kwa Magufuli mwanae achaguliwe udc mnalipotezea?
 
Makamba ndiye mzee JK anayejivunia,jamani!Mzee gani hana busara mpaka anapenyeza vimemo kwa magufuli ili Dada yake awe DC?Kama wazee ndio hao basi hawana maana
Hahahaha Magufuli akimpiga chini mwanae January sijui Makamba ataibuka na hoja gani
 
Mzee makamba anaomba poo kwa lipi?
Usituloweshe udenda wako kwa thread zisizo na mashiko.

Mzee makamba saiv hategemei chochote iwe ktk siasa au serikali,na hata ktk system hayumo,kwa umri huo kabaki mshauri tu.

Ata akamshambulia,hawezmtia madhara yyt.Na kama anayo hekima,Gwajima hatapaswa kurevange chochote maana hata kimaadili mzee ana nafasi ya kukemea.
we unamuona gwajima ana busara,busara hana kabisa ila makamba kayataka mwenyewe gwajima hawezi kumkalia kimya na makamba atachemsha kwa sababu hana pa kujibia kama akitukanwa angekaa kimya tu
 
Msimdanganye Gwajima huu sio utawala wa Kikwete....mpaka sasa Gwajima sio kwamba ana uadui na Kikwete tu, Bali CCM Na serikali yake.

Toka alivyokamatwa uwanja wa ndege na kuhojiwa kwa saa zisizoeleweka, hatujasikia tena mbwembwe zake.... zaidi ya kuona waumini wake wakiigiza kugalagala Barabani.

Hii serikali ya awamu ya tano, inataka matokeo sio siasa.!
 
Katika yote yaliyoongelewa umeliona hilo peke yake!. Ujumbe wake umeuelewa vizuri lakini?.
Ujumbe wake umeeleweka kwamba Magufuli hataki mazoea ya vimemo,anateua mtu kwa sifa na si kujuana!Hoja yangu hapa ni kuwa mzee kama huyo anakuwaje hazina ya chama huku akipenyeza vimemo?
 
Makamba ndiye mzee JK anayejivunia,jamani!Mzee gani hana busara mpaka anapenyeza vimemo kwa magufuli ili Dada yake awe DC?Kama wazee ndio hao basi hawana maana
Dada yake....
Au binti yake[emoji47]
Pengine kumbukumbu zimeanza kunitoka eehhh.....[emoji20]
 
sidhani kama ngwajima atarudia asee kurumbana na wanasiasa
Sio vyema kuchanganya dini na siasa hasa kwa viongozi wetu wa kiroho.
Lakini sio vibaya viongozi wa kiroho wakitoa matamko pale nchi inapotokea kwenda mrama na kutishia amani
 
Mchocheeni tu ...zama za kucheka na nyani zimepita.
 
Naamini siku ya kesho Askofu Gwajima ni lazima atamjibu Makamba hadi Makamba ataomba poo japo kimya,kama alimjibu Slaa hadi akakimbia,akamjibu Pengo naye kimya atashindwa kumjibu Makamba,kama mwenzie JK amemtaja kimafumbo kwa kumuogopa GWAJIMA,sembuse makamba,tusubiri COMEDY mpya dah ksh rahhhhhhhhhhha saaaaaaana
Hovyo kabisa,Gwajima ni mungu hadi aogopewe? Kulikua na mtu anatisha kama Lowassa na watu walimkata
 
Ninavyomjua Gwajima atalinganisha dhambi ya kumtukana Cardinal Na dhambi ya Mwl.Mkuu ya Kubaka Mwanafunzi Na kumpa mimba, sijui atatumia msitari gani kwenye Holly bible!!??
Ha ha ha mwl wa mkoani Kigoma[emoji12]
 
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.

Makamba naye ana laana . Ngoja waje watamwambia kuwa na yeye amelaaniwa
 
Acheni kuchochea ujinga..huyu abaki kwny kazi zake za kiroho na huyo awe kwny siasa...mkichanganya yatakuja mambo mengine ambayo sio necessary
 
Back
Top Bottom