Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ila laana ya kumtukana Cardinal Pengo itamtafuna huyu Gwajima..Lakini Mimi binafsi sijaona kosa la gwajima maana aliongea ukweli, watu walikuwa wanafanya kampeni maghu asiwe mwenyekiti bulembo akaja kuthibitisha hata lizaboni humu ndani kathibitisha sasa kosa lake nini?