Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,108
Tusimpinge Gwajima kwa kauli yake dhidi ya Pengo. Ukweli ni kwamba kauli ya Pengo haikuwa sahihiUkweli upi huyo mwenye laana Gwajima aliusema..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusimpinge Gwajima kwa kauli yake dhidi ya Pengo. Ukweli ni kwamba kauli ya Pengo haikuwa sahihiUkweli upi huyo mwenye laana Gwajima aliusema..??
Uko sahihi, na nadhani Makamba hana '' utukufu '' wowote wa kuhoji '' hekima '' ya GwajimaWenyewe uelewa mdogo kama wewe huwezi kuelewa alichoongea Gwajima
Pengine ni laana ya kumpa mimba mwanafunzi na kutofungwaHuyo mropokaji anayeangalia upepo upo wapi ili apate kuongeza waumini na umaarafu hata kichaa anamdharau...
Makamba yupo sawa kabisa " laana ya kumtukana Cardinal Pengo itamtafuna mpaka atakapoingia kaburini"
Kwa hiyo unataka kusema tusitegemee mambo tofauti saaana na awamu ya JK?JK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
Kwa ninavyowajua polisi wa siku hizi na Gwajima mwenyewe anavyojibu straight, yawezekana ibada ya kesho ikafanyika huku polisi wamezingira nyumba ya ibada ya Gwajima.Ombi langu polisi wasimsumbue ngwajima akijibu mzee hapo kesho
Wala asiogope kumjibu hata kama polisi wakimzingira makamba anajifanya malaika akamsahau yule kijana aliyekuwa akimtuma sigara kubwa pale boma na kupeleka ..... kule mabibo kwa ....Kwa ninavyowajua polisi wa siku hizi na Gwajima mwenyewe anavyojibu straight, yawezekana ibada ya kesho ikafanyika huku polisi wamezingira nyumba ya ibada ya Gwajima.
Hivi Gwajima ni mtumishi wa Mungu au mwanasiasa?
Ni aibu mtumishi wa Mungu kuwa na tabia kama ya Gwajima!
Kondakta. Simsikii tena na mihemko yakeTukumbushe na yule mwenye laana ya kumpiga jaji mstaafu J.Warioba.
Basi sawa mkuu.Unataka kutukumbusha yale ya Kigoma kumpa mimba mwanafunzi na kukimbia? Acha bwana, nayo ya zamani watu wamesahau
Tatizo lake kajisahau amefanya nini ngoja tumkumbushe kwanza ili aache unafiki na kujikombaBasi sawa mkuu.
Ebu ngoja tumalize kama watu wazima aiseeee.....
Tusije sababisha vijana wa kizazi cha vidonge na sindano wakamkosea adabu mzee mstaafu
Mungu hawatumi watumishi wake kuropoka na kusema hovyo hovyo..Wewe unajua Mungu anawatuma watumishi wake kusema nini?
Unaweza kuthibitisha kwamba na wewe sio mlemavu wa akili?. Inawezekana vipi ukazaliwa na kukua katika nchi ya walemavu wa akili na wewe usiwe mmojawapo?. Ndivyo shuleni mnavyofundishwa kuishi kwa kumdharau hata yule msiye mfahamu?. Aibu kwa walimu na walezi, tena ni watu ambao wanatumia nguvu kubwa katika kuibadilisha jamii.Walemavu wa akili ni wengi sana Tz. na hii itachukua zaidi ya karne na karne kuondokana na ujinga,umasikini,maradhi,ufisadi,unafiki,uzambiki n.k.
Ukisikiliza Wengi wa viongozi wa swisswism na wapinzani hewa waliohudhuria mkutano wao wa familia yao wenye dhambi utagundua karibu wote ni walemavu wa akili kwani wanamjadili mtu na kusahau agenda zao.
Inanisikitisha nchi yangu ya kusadikika....
Inategemea unaichukulia vipi awamu ya JK.Kwa hiyo unataka kusema tusitegemee mambo tofauti saaana na awamu ya JK?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Tatizo lake kajisahau amefanya nini ngoja tumkumbushe kwanza ili aache unafiki na kujikomba
Ataomba poo ya nini?kwa ajili gani ?Gwajima ni nani?Baada ya siku ya leo Jumamosiya sabato kumalizika na mkutano mkuu kumpitisha kikwete,kesho ni siku maalum ya Gwajima kumjibu Makamba,naamini Makamba ameingia choo cha kike na ataomba poo japo kimya kimya na waandishi wa habari msikose Kanisa la UFUFUO na Gwajima kesho,hii ni komedy mpya inayokuja