Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Amakweli nyani haoni kundule...hivi wao CCM mbona wanalaana nyingi tu moja ya Abdu Jumbe..suala la kumuwekea binaadamu mwenzio kizuizi na kumnyima uhuru wa kufanya mambo yake ni laana..maana atakua ananung'unika kila siku kwa ajiili yako..La makonda na Warioba hajaliona.
Ongeza na ya Samwel Sitta
 
M


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.


Nini? Y. Makamba is a political lunatic. Aliwahi kumwambia Nape kafungiwa duniani hadi mbinguni!
 
Ni ajabu kwamba wanasiasa wakuja juu sana kulinda kitumbua chao cha SIASA kisiguswe na viongozi wa dini. Lakini wakati huo huo wanampigia makofi kiongozi mwenzao wa siasa anayetumia vitabu vya dini kutimiza malengo ya kisiasa. Na mbaya zaidi anafanya hivyo kwa kupotosha, tena kwa makusudi.

Makamba ametumia vibaya maandiko matakatifu juu ya kubatiza kwa maji na kubatiza kwa moto na huo ni upotoshaji wa makusudi au kukejeli kitabu cha Biblia Takatifu ambayo ameifanya bila kujali kama ataumiza hisia za waumini wanaotumia na kuiheshimu Biblia. Kwa kufanya hivyo, anashindwa hata kuwaheshimu Wakristo ambao ni wana CCM.
Iwapo mzee huyu ana uwezo wa kuona ubaya wa kufanya hivyo, na iwapo anaheshimu misingi ya kuheshimu imani za wengine, jambo la kwanza anapaswa kuwaomba radhi Wakristo, iwapo alifanya hivyo bila kukusudia. Jambo la pili ni kwamba, iwapo anataka kuendelea kuitumia biblia kwenye jukwaa kubwa namna hiyo kama afanyavyo, basi aende chuo cha Biblia, akafundishwe Biblia na wenye Biblia yao. Najua kila mtu anaweza kununua Biblia kama anavyoweza kununua novel, lakini Makamba haiamini Biblia, kwani kama angeiamini angebatizwa, kwa hiyo Biblia sio yake. Ni hatari sana kutumia kitabu cha imani ya watu wengine unavyotaka wewe. Sote tunajua Salman Rushdie alinunua Quran Tukufu kama vile kununua novel na akakitumia alivyotaka yeye, matokeo yake? Aliwaudhi wenye kitabu chao.

Naomba niishie hapa ili nisije nikaamsha hisia kali.
Makamba, kama unaamini Salman Rushdie alifanya kosa, iheshimu Biblia!
 
Hoja yangu ni JK kumpaisha huyo mzee pamoja nakusikia alichokisema,akatamba kabisa ndio faida ya kuwa na wazee wa chama as if Makamba aliongea vema sana!
JK alishangilia madongo, ilikuwa ni siku yake ya mwisho kama mwanasiasa mwenye dhamana fulani, rohoni mwake alikuwa huru sana kwani alikuwa anaachana rasmi na siasa akiwa mtu mwenye madaraka. Ndio maana akamrushia madongo FTS kwamba alikuwa waziri mkuu lakini sasa anagombea chaguzi za Kibaha na kina Kubenea.
JK aliamua kuwa mtu wa masikhara mengi kwani hakuwa na cha kupoteza kwa jioni ile.
 
Usipende kuongea kwa ushabiki mkuu. Kadinali Pengo hakuwahi kumzungumzia Gwajima wala kuwa na mabishano/malumbano nae isipokuwa Gwajima alimshambulia Kadinali pengo lakini yeye hakumjibu. Pengo ana busara sana alikwepa malumbano na mtu alie kosa hekima na elimu, ange jibishana nae angeonekana wa ovyo kama Gwajima. My take Gwajima hajawahi kumshinda Kadinali Pengo kwa hoja na hatokuja mshinda. Pengo ana miaka mingi sana ya darasani, ya kuongoza watu wengi takribani zaidi ya mara 100 ya waumini/wafuasi wa Gwajima. Juu ya yote Kadinali Pengo amesoma Falsafa kwa kiwango kikubwa ndio inayo mwezesha kufanya reasoning ktk kauli, matendo na maamuzi yake. Gwajima ni mbabaishaji tu. Naona nawe unafanya ushabiki kwa mambo ya kizembe mnafanana akili na unaemshabikia Gwajima.
ajibishane ili aaibike zaidi hahaha
 
Ni ajabu kwamba wanasiasa wakuja juu sana kulinda kitumbua chao cha SIASA kisiguswe na viongozi wa dini. Lakini wakati huo huo wanampigia makofi kiongozi mwenzao wa siasa anayetumia vitabu vya dini kutimiza malengo ya kisiasa. Na mbaya zaidi anafanya hivyo kwa kupotosha, tena kwa makusudi.

Makamba ametumia vibaya maandiko matakatifu juu ya kubatiza kwa maji na kubatiza kwa moto na huo ni upotoshaji wa makusudi au kukejeli kitabu cha Biblia Takatifu ambayo ameifanya bila kujali kama ataumiza hisia za waumini wanaotumia na kuiheshimu Biblia. Kwa kufanya hivyo, anashindwa hata kuwaheshimu Wakristo ambao ni wana CCM.
Iwapo mzee huyu ana uwezo wa kuona ubaya wa kufanya hivyo, na iwapo anaheshimu misingi ya kuheshimu imani za wengine, jambo la kwanza anapaswa kuwaomba radhi Wakristo, iwapo alifanya hivyo bila kukusudia. Jambo la pili ni kwamba, iwapo anataka kuendelea kuitumia biblia kwenye jukwaa kubwa namna hiyo kama afanyavyo, basi aende chuo cha Biblia, akafundishwe Biblia na wenye Biblia yao. Najua kila mtu anaweza kununua Biblia kama anavyoweza kununua novel, lakini Makamba haiamini Biblia, kwani kama angeiamini angebatizwa, kwa hiyo Biblia sio yake. Ni hatari sana kutumia kitabu cha imani ya watu wengine unavyotaka wewe. Sote tunajua Salman Rushdie alinunua Quran Tukufu kama vile kununua novel na akakitumia alivyotaka yeye, matokeo yake? Aliwaudhi wenye kitabu chao.

Naomba niishie hapa ili nisije nikaamsha hisia kali.
Makamba, kama unaamini Salman Rushdie alifanya kosa, iheshimu Biblia!
Usipotoshe umma, Salman Rushdie ni muislam halisi, Rushdie ni utamkaji wa kizungu, jina lake ni Salman Rashidi.
Kabla hujaandika kitu jaribu kufanya japo kautafiti kadogo. Rushdie alipoamua kuukosoa uislam alikuwa akiandika mambo anayoyafahamu kwani amekuzwa katika dini hiyo.
Yusuf Makamba sio mtoto mdogo, mtoto wake January amezaliwa mwaka 1974. Anayo haki ya kutolea mifano vitabu vyote vya dini kama anao uelewa wa kile kinachoandikwa. Mbona waislam wengi tu wanaanzisha mihadhara maalum ya kuichambua Biblia?. Mbona wakristo wengi wanaisoma Quran tena wakiwa seminary wakati wakiwa kwenye harakati ya kuwa mapadre?. Huna sababu ya kuchukizwa na tabia ya Mzee Makamba kuchambua vitabu vyote vya dini, hakuna binadamu mwenye haki maliki ya vitabu hivi vitakatifu.
 
Jakaya Kikwete aliwabatiza kwa Maji ila Magufuli atawabatiza kwa Moto. Yusuph Rajabu Makamba July 23 2016 Dodoma.
Abomination!!! Na nitashangaa wakristo wakikaa kimya bila kupinga kauli za kudhalilisha ukristo.
 
Ni ajabu kwamba wanasiasa wakuja juu sana kulinda kitumbua chao cha SIASA kisiguswe na viongozi wa dini. Lakini wakati huo huo wanampigia makofi kiongozi mwenzao wa siasa anayetumia vitabu vya dini kutimiza malengo ya kisiasa. Na mbaya zaidi anafanya hivyo kwa kupotosha, tena kwa makusudi.

Makamba ametumia vibaya maandiko matakatifu juu ya kubatiza kwa maji na kubatiza kwa moto na huo ni upotoshaji wa makusudi au kukejeli kitabu cha Biblia Takatifu ambayo ameifanya bila kujali kama ataumiza hisia za waumini wanaotumia na kuiheshimu Biblia. Kwa kufanya hivyo, anashindwa hata kuwaheshimu Wakristo ambao ni wana CCM.
Iwapo mzee huyu ana uwezo wa kuona ubaya wa kufanya hivyo, na iwapo anaheshimu misingi ya kuheshimu imani za wengine, jambo la kwanza anapaswa kuwaomba radhi Wakristo, iwapo alifanya hivyo bila kukusudia. Jambo la pili ni kwamba, iwapo anataka kuendelea kuitumia biblia kwenye jukwaa kubwa namna hiyo kama afanyavyo, basi aende chuo cha Biblia, akafundishwe Biblia na wenye Biblia yao. Najua kila mtu anaweza kununua Biblia kama anavyoweza kununua novel, lakini Makamba haiamini Biblia, kwani kama angeiamini angebatizwa, kwa hiyo Biblia sio yake. Ni hatari sana kutumia kitabu cha imani ya watu wengine unavyotaka wewe. Sote tunajua Salman Rushdie alinunua Quran Tukufu kama vile kununua novel na akakitumia alivyotaka yeye, matokeo yake? Aliwaudhi wenye kitabu chao.

Naomba niishie hapa ili nisije nikaamsha hisia kali.
Makamba, kama unaamini Salman Rushdie alifanya kosa, iheshimu Biblia!
Ubarikiwe mkuu, ni wakristo wapuuzi tu ambao hawataona kejeli ya ukristo inayofanywa na Mzee Makamba na kuangalia eti dhihaka ya Gwajima kwa Pengo (mpinga msimamo wa ukristo kuhusu kuchinja na katiba)
 
Usipotoshe umma, Salman Rushdie ni muislam halisi, Rushdie ni utamkaji wa kizungu, jina lake ni Salman Rashidi.
Kabla hujaandika kitu jaribu kufanya japo kautafiti kadogo. Rushdie alipoamua kuukosoa uislam alikuwa akiandika mambo anayoyafahamu kwani amekuzwa katika dini hiyo.
Yusuf Makamba sio mtoto mdogo, mtoto wake January amezaliwa mwaka 1974. Anayo haki ya kutolea mifano vitabu vyote vya dini kama anao uelewa wa kile kinachoandikwa. Mbona waislam wengi tu wanaanzisha mihadhara maalum ya kuichambua Biblia?. Mbona wakristo wengi wanaisoma Quran tena wakiwa seminary wakati wakiwa kwenye harakati ya kuwa mapadre?. Huna sababu ya kuchukizwa na tabia ya Mzee Makamba kuchambua vitabu vyote vya dini, hakuna binadamu mwenye haki maliki ya vitabu hivi vitakatifu.
Mawazo yako si sahihi mkuu, kwanza unajaribu kutuaminisha kuwa ukubwa ni ufahamu. Pili, unaamini kitendo cha Makamba kuchambua kwa kulinganisha ukristo na uislam ni sahihi (siku za nyuma alisema YESU ni Nabii Issa). Tatu, mfano aliotumia unauunga mkono (kumlinganisha Magu na Mungu)

All in all Makamba's statement is sacrilegious
 
Mawazo yako si sahihi mkuu, kwanza unajaribu kutuaminisha kuwa ukubwa ni ufahamu. Pili, unaamini kitendo cha Makamba kuchambua kwa kulinganisha ukristo na uislam ni sahihi (siku za nyuma alisema YESU ni Nabii Issa). Tatu, mfano aliotumia unauunga mkono (kumlinganisha Magu na Mungu)

All in all Makamba's statement is sacrilegious
Yesu ni Nabii Issa, Nabii Issa ni Yesu, haya ni majina tu lakini sisi tunaojifanya tunaijua dini kuliko waliotuletea tunadai kuwa eti hawa ni watu wawili tofauti!!. Simaanishi kwamba ukubwa ni ufahamu, nachojaribu ni kuelewesha wengi kwamba mtu anaweza kutumia mifano ya kidini kwa nia ya kutaka kujenga hoja na sio zaidi ya hapo. Wale wapotoshaji ndio huenda mbali zaidi kwa kujaribu kujifanya wanaijua dini iliyokuja na watu waliokuwa kwenye majahazi kuliko wao wenyewe wanaovyoijua.
Kuna dhambi ya kujihesabia haki, hii ni dhambi ambayo hawa wanaojifanya wao wameokoka, huwa wanaitenda kila siku maishani mwao. Kujaribu kuyatafsiri maandiko bila hata ya kujua wale waliyoyaandika walikuwa na kusudio gani wakati wanayaandika.
Hoja ni ya kisiasa na hata hii thread nilipokuwa naaindika sikutegemea kwamba watu wanajifanya wanamjua zaidi Mungu kiasi cha kusahau maudhui halisi ya ujumbe.
 
Yesu ni Nabii Issa, Nabii Issa ni Yesu, haya ni majina tu lakini sisi tunaojifanya tunaijua dini kuliko waliotuletea tunadai kuwa eti hawa ni watu wawili tofauti!!. Simaanishi kwamba ukubwa ni ufahamu, nachojaribu ni kuelewesha wengi kwamba mtu anaweza kutumia mifano ya kidini kwa nia ya kutaka kujenga hoja na sio zaidi ya hapo. Wale wapotoshaji ndio huenda mbali zaidi kwa kujaribu kujifanya wanaijua dini iliyokuja na watu waliokuwa kwenye majahazi kuliko wao wenyewe wanaovyoijua.
Kuna dhambi ya kujihesabia haki, hii ni dhambi ambayo hawa wanaojifanya wao wameokoka, huwa wanaitenda kila siku maishani mwao. Kujaribu kuyatafsiri maandiko bila hata ya kujua wale waliyoyaandika walikuwa na kusudio gani wakati wanayaandika.
Hoja ni ya kisiasa na hata hii thread nilipokuwa naaindika sikutegemea kwamba watu wanajifanya wanamjua zaidi Mungu kiasi cha kusahau maudhui halisi ya ujumbe.
Nawe pia nakuweka kundi moja la kutukana ukristo. YESU na Nabii Issa ni tofauti kabisaaaa mkuu. Huu ndiyo upuuzi wa kujifanya unajua kumbe hujui, na tabia hii hata baba yako Makamba anayo. Sacrilegious
 
Kwa hiyo unafurahia kuzikwa upinzani? Mbona katiba pendekezwa haijasema kuwe na mfumo wa chama kimoja? au namaanisha nini kusema upinzani
Kifo hakiepukiki hasa baada yakugeuza chama cha wapiganaji kuwa chama cha wapigaji
 
Gwajima nasikia kasema kwao huwa hawawajibu walevi
 
Mzee makamba anaomba poo kwa lipi?
Usituloweshe udenda wako kwa thread zisizo na mashiko.

Mzee makamba saiv hategemei chochote iwe ktk siasa au serikali,na hata ktk system hayumo,kwa umri huo kabaki mshauri tu.

Ata akamshambulia,hawezmtia madhara yyt.Na kama anayo hekima,Gwajima hatapaswa kurevange chochote maana hata kimaadili mzee ana nafasi ya kukemea.
wamestaafu lakini wanakingia kifua watoto wao. kijana gani atakaye gombea uraoa baada ya Magu kung'atuka
 


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.

Kama Gwajima alisema uongo, je na Bulembo alisema uongo pia, ebu nijibu hapo??
 
MZEE makamba analipa fadhila kwa mfalme kwahiyo mimi sishangai kusikia hotuba kama ile,alafu bwana mkubwa alimuandaa ili aseme maneno yale! Ila haikuwa mahala pale,amearibu sn kwa kuwa ile ni personal conflict kati ya jk na gwajima,ssa yeye inamhusu nni!.wangazija husema,pilipili usoila yakuwashia bn!,ssa yeye makamba ugomvi ya jk na gwajima inamuwashia nn!.wote tunajua alosema gwajima,baadhi yanaukweli ndani take!,kwani nani hajui namna nchi hii ulivyokuwa na mtandao wa mafisadi na kutafunwa na watu wachache bila kuchukuliwa hatua na uongozi uliopita!,ssa gwajima kadanganya wpi au sisi ni vipofu tulikuwa hatuoni!.acheni Uhuru wa maoni ichukuwe nafasi yake bn,msizibe watu midomo!KAMA OBAMA ALIKASHIFIWA NA KUITWA SOKWE SEMBUSE NYINYI!
Mkuu wewe umeona mbali, jk alimuandaa makamba aseme vile, na Gwajima amejua kua yule katumwa ndio maana alimjibu Hana leseni ya kuendesha Bajaj na guta, ana leseni ya kuendesha magari makubwa makubwa, that means hataki kumjibu, kamdharau
 
Back
Top Bottom