Ccm hawanaga kumbukumbuLakini Mimi binafsi sijaona kosa la gwajima maana aliongea ukweli, watu walikuwa wanafanya kampeni maghu asiwe mwenyekiti bulembo akaja kuthibitisha hata lizaboni humu ndani kathibitisha sasa kosa lake nini?
Gwajima hajawahi kushindwa na propaganda za ccmJK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
Ccm imekwisha jifiaHeri yenu nyinyi wa mchangani Kibaha, bado hamjaoza.
Bashite Bashite Bashite Bashite Bashite BashiteHeri yenu nyinyi wa mchangani Kibaha, bado hamjaoza.
kwani kardinali pengo ni mtume
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
Ukipenda kusoma sana magazeti ya udaku lazima uwe na akili za kitoto kama huyu bwana mkubwa.Bashite Bashite Bashite Bashite Bashite Bashite
Sasa hivi tuwache tu deal na Bashite kwanzaUkipenda kusoma sana magazeti ya udaku lazima uwe na akili za kitoto kama huyu bwana mkubwa.
si kweli mkuu watu wameumizwa saaana ,ndg zao wametimuliwa vyuoni,dada na kaka wamefukuzwa kazi kisa vyeti feki kwa nn asiwe BashiteUkipenda kusoma sana magazeti ya udaku lazima uwe na akili za kitoto kama huyu bwana mkubwa.
January Makamba mwanaye na yeye jana wakati nahijiwa kuhusu mapambano ya serikali kuhusu pombe za viroba alisema, Vita hii imefanikiwa kwa sababu sisi tulikuwa very clear na agenda yetu, hatukubinafsisha vita hii kwa mtu mmoja, bali tuliachia vyombo vya serikali kama TFDA, TBS, polisi waendeshe vita hii. Kwa statement kama hii alitaka kutuma ujumbe gani?, kwamba vita nyingine kama hiyo kuna mtu alijibinfsishia na akaacha vyombo vya dola pembeni?
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
JPM anayo bahati mbaya moja, analazimika kufanya kazi na makombo mengi ya JK. Hana ujanja kwa sababu hawa ni watu ambao walisota pamoja nae juani wakati wa kipindi cha kufanya kampeni.January Makamba mwanaye na yeye jana wakati nahijiwa kuhusu mapambano ya serikali kuhusu pombe za viroba alisema, Vita hii imefanikiwa kwa sababu sisi tulikuwa very clear na agenda yetu, hatukubinafsisha vita hii kwa mtu mmoja, bali tuliachia vyombo vya serikali kama TFDA, TBS, polisi waendeshe vita hii. Kwa statement kama hii alitaka kutuma ujumbe gani?, kwamba vita nyingine kama hiyo kuna mtu alijibinfsishia na akaacha vyombo vya dola pembeni?
Mkuu unao uwezo wa kuzithibitisha tuhuma?. Viongozi wakuu wa nchi sio kila mara hufanya kazi kwa presha ya watu. Vipo vyombo ambavyo vinaendelea na kazi ndani ya wakati huu.si kweli mkuu watu wameumizwa saaana ,ndg zao wametimuliwa vyuoni,dada na kaka wamefukuzwa kazi kisa vyeti feki kwa nn asiwe Bashite
Kwa hiyo shughuli nyingine zote kwenye majimbo yenu ya uchaguzi zimesimama pia!!. Huo ndio ushahidi wa taifa la wajinga.Sasa hivi tuwache tu deal na Bashite kwanza
Mpeleke huyo mtoto wa Makonda kituo cha watoto yatima wakusaidie kulea - Pole kwa kutelekezwaPaul Makonda naye ana laana ya kumpiga Warioba
Habari ya mujiiiniiii kwa sasa ni Bashite alete vyeti tuKwa hiyo shughuli nyingine zote kwenye majimbo yenu ya uchaguzi zimesimama pia!!. Huo ndio ushahidi wa taifa la wajinga.
Kama laana wote wanazo,mbona na yeye Ana laana kwanza ya kupiga siyo kutukana ya mzee warioba
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.