Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

JK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
Gwajima hajawahi kushindwa na propaganda za ccm
 
Huyu Mzee ndio mwenye laana maana hakuna anatetea wasiitenda haki asiye na laana pamoja nao
 


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.

kwani kardinali pengo ni mtume
 


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.

January Makamba mwanaye na yeye jana wakati nahijiwa kuhusu mapambano ya serikali kuhusu pombe za viroba alisema, Vita hii imefanikiwa kwa sababu sisi tulikuwa very clear na agenda yetu, hatukubinafsisha vita hii kwa mtu mmoja, bali tuliachia vyombo vya serikali kama TFDA, TBS, polisi waendeshe vita hii. Kwa statement kama hii alitaka kutuma ujumbe gani?, kwamba vita nyingine kama hiyo kuna mtu alijibinfsishia na akaacha vyombo vya dola pembeni?
 
January Makamba mwanaye na yeye jana wakati nahijiwa kuhusu mapambano ya serikali kuhusu pombe za viroba alisema, Vita hii imefanikiwa kwa sababu sisi tulikuwa very clear na agenda yetu, hatukubinafsisha vita hii kwa mtu mmoja, bali tuliachia vyombo vya serikali kama TFDA, TBS, polisi waendeshe vita hii. Kwa statement kama hii alitaka kutuma ujumbe gani?, kwamba vita nyingine kama hiyo kuna mtu alijibinfsishia na akaacha vyombo vya dola pembeni?
JPM anayo bahati mbaya moja, analazimika kufanya kazi na makombo mengi ya JK. Hana ujanja kwa sababu hawa ni watu ambao walisota pamoja nae juani wakati wa kipindi cha kufanya kampeni.

Lakini JPM hayuko nao katika viwango sawa vya kimaadili. Bado wanazo mentalities za ujana, hawataki kuachana na ujana. Lakini kuwa wasaidizi wa mkuu wa nchi ni zaidi ya ujana.
 
si kweli mkuu watu wameumizwa saaana ,ndg zao wametimuliwa vyuoni,dada na kaka wamefukuzwa kazi kisa vyeti feki kwa nn asiwe Bashite
Mkuu unao uwezo wa kuzithibitisha tuhuma?. Viongozi wakuu wa nchi sio kila mara hufanya kazi kwa presha ya watu. Vipo vyombo ambavyo vinaendelea na kazi ndani ya wakati huu.

Jamii ya kitanzania inakuwa na upeo mwepesi sana kwa sababu haitaki kutumia nguvu kubwa kwenye kusoma kwa ajili ya kuelimika. Very wrong thinking.
 
Mzee Yusufu Makamba ameropoka kwa kutojua maandiko ya Biblia kwa usahihi wake. Asamehewe bure !

Askofu Gwajima hawezi kulaaniwa na askofu Pengo kwa kuwa hana uwezo huo kibiblia.
Kuna vyanzo na sababu za kibiblia za MTU kupatwa na laana.

As the bird by wandering, as the swallow by flying, so the curse causeless shall not come.
 


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.

Kama laana wote wanazo,mbona na yeye Ana laana kwanza ya kupiga siyo kutukana ya mzee warioba
 


Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.

Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.

Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.

Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.



HUYU MZEE ALITAFUTA AJIRA YA MWANAWE KWA MKUU, NA BADO AKATAFUTA AJIRA YA DADA YAKE KWA MKUU - AKAKATALIWA
 
Back
Top Bottom