Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He he he umeliona hili. Magu zaidi ya kaisari juliasi ambaye alikataa crown mara tatu- thrice i presented him a kingly crown . Which he did thrice refuse.Nawe ukaamini bila kutafakari?
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
Mwenyekiti wa CCM anayemaliza muda wake Jakaya Kikwete amesema CCM haikuvunjika mwaka jana basi haitakaa ivunjike tena, akidai mwaka jana ndio mafisi yalikaa ukumbini Dodoma yakisubiri mkono udondoke lakini haukudondoka
Na CCM itaendelea kuwepo sio kwa kutumia nguvu ila kwa sababu wanashughuikia matatizo ya watu na wanapanga sera nzuri
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote hufanana na mtu aliyechanganyikiwa. Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Vyovyote iwavyo siuoni mwenendo mzuri katika siku zijazo kwa Askofu huyu. Ni hatari sana pale unapojaribu kujikomba kwa mtu mmoja kwa kumponda mwingine bila ya kuifahamu kwa undani wanapokuwa wamekaa pamoja wawili hao wanaongea vipi na wanaaminiana kwa kiasi gani.
Kiongozi mstaafu siku zote hapungukiwi ushawishi kwa aliyepo pale Magogoni. Askofu alipaswa kupima uzito wa kauli yake ili akwepe kufananishwa na mtu aliyelaaniwa.
kosa gani?Yeye mwenyewe Makamba anarudia kosa alilolifanya mch. Gwajima tofauti ni majukwaa
Amekulia kwa Waislamu amesoma kwa Walutheri. Dini yake haitamki, ila kama ni jina aitangwa Rajabu (Lajabu).Ndugu zangu hvi Mzee wetu Makamba ni mfuasi wa dini gani?
Kwahiyo huyo wa zamani hastahili hata KUFUNGA kamba za viatu vya huyu mpya.Haya maandiko yana maana iliyo KUU ZAIDI sijui kama huyu mzee aliyeongea alitafakari hilo.Yaleyale ya kichuguu na mlima Kilimanjaro.Jakaya Kikwete aliwabatiza kwa Maji ila Magufuli atawabatiza kwa Moto. Yusuph Rajabu Makamba July 23 2016 Dodoma.
Mkuranga sehemu gani wewe usie na shukrani upo,sotele au mpafu?Huku kwetu Mkuranga hakuna barabara umeme maji dawa na shule za maana
Inna lillahi wa Inna Illayhi Rajiun
HahahahaMkuranga sehemu gani wewe usie na shukrani upo,sotele au mpafu?
Katika wilaya iliopendelewa ni mkuranga,baada ya kumegwa kutoka wilaya kongwe ya kisarawe,unataka kudanganya nini hapo umeshashiba mihogo ya nazi na ng'onda toka kisiju