Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Angekuwa na sifa kubwa kiasi cha hadi wewe kutaka kumwita mtukufu kwa falsafa yake asingetoa maamuzi kinyume cha baraza kuu la maaskofu (TEC). Pengo si kiongozi wa juu wa kanisa Katoliki Tanzania. Yeye ni mkuu kwa Dar Es Salaam tu. Chombo cha juu kwa nchini ni TEC


Pia nadhani hujui hata nguvu ya YESU haihitaji elimu kubwa ya darasani. Gwajima ni kiongozi wa kanisa lenye matawi America, South America, Uingereza, Ujerumani, Tanzania.

Ukweli ni kwamba swala la Katiba na kuchinja askofu Pengo alikosea kabisaaaa na aliibeba serikali na kukandamiza ukristo
Nadhani wewe haustahili kubishana na mimi kwa sababu kwako somo la ufahamu/comprehension ni shida. Unasoma kifungu cha maneno kisha unaelewa tofauti. Mahala gani ktk maoni yangu nimemuita au nimesema Kadinali Pengo MTUKUFU? Hivi unafahamu vizuri mfumo wa kiuongozi wa kanisa katoliki? Mfano rahisi unaokufaa mtu mwenye upeo kama wako ni hili swali: Tangu lini Baraza la mawaziri limekuwa chombo kikubwa kuliko Rais? Nenda katafute taarifa za TEC ni nini na kina mamlaka gani na kinapeleka taarifa za utendaji wake kwa chombo au kiongozi gani katika taratibu za kiuongozi za kanisa katoliki? Je Kadinali anapeleka taarifa zake za kiutendaji kwa TEC? Fuatilia katika tovuti ya Vatican Rome makao makuu ya kanisa katoliki la Roma. Tusipeleke mjadala huu toka kwa Gwajima na Kauli zake Vs wanasiasa au viongozi wengine wa kidini kuwa mjadala wa makanisa na dini. Kwa vile Gwajima kajiingiza ktk siasa naomba tubaki hukohuko kujenga hoja. mambo ya kichochezi hayata tusaidia. Yaani kanisa la misukule basi na akili za baadhi ya waumini kama wewe zinakuwa kama za msukule!!????
 
Nadhani wewe haustahili kubishana na mimi kwa sababu kwako somo la ufahamu/comprehension ni shida. Unasoma kifungu cha maneno kisha unaelewa tofauti. Mahala gani ktk maoni yangu nimemuita au nimesema Kadinali Pengo MTUKUFU? Hivi unafahamu vizuri mfumo wa kiuongozi wa kanisa katoliki? Mfano rahisi unaokufaa mtu mwenye upeo kama wako ni hili swali: Tangu lini Baraza la mawaziri limekuwa chombo kikubwa kuliko Rais? Nenda katafute taarifa za TEC ni nini na kina mamlaka gani na kinapeleka taarifa za utendaji wake kwa chombo au kiongozi gani katika taratibu za kiuongozi za kanisa katoliki? Je Kadinali anapeleka taarifa zake za kiutendaji kwa TEC? Fuatilia katika tovuti ya Vatican Rome makao makuu ya kanisa katoliki la Roma. Tusipeleke mjadala huu toka kwa Gwajima na Kauli zake Vs wanasiasa au viongozi wengine wa kidini kuwa mjadala wa makanisa na dini. Kwa vile Gwajima kajiingiza ktk siasa naomba tubaki hukohuko kujenga hoja. mambo ya kichochezi hayata tusaidia. Yaani kanisa la misukule basi na akili za baadhi ya waumini kama wewe zinakuwa kama za msukule!!????
Bahati mbaya sana hujui mfumo wa kanisa Katoliki. With due respect to Cardinal Pengo, he is not on top of the church. Furthermore, kama baraza limeamua who is he to violate the resolution?

Kwa kuwatukana waamini wa kanisa la Gwajima (mimi si member) wewe ni wa kudharau kwani unatukana ukristo kwa upuuzi wa siasa
 
Bahati mbaya sana hujui mfumo wa kanisa Katoliki. With due respect to Cardinal Pengo, he is not on top of the church. Furthermore, kama baraza limeamua who is he to violate the resolution?

Kwa kuwatukana waamini wa kanisa la Gwajima (mimi si member) wewe ni wa kudharau kwani unatukana ukristo kwa upuuzi wa siasa
Hivi unajua maana ya kanisa?
 
Bahati mbaya sana hujui mfumo wa kanisa Katoliki. With due respect to Cardinal Pengo, he is not on top of the church. Furthermore, kama baraza limeamua who is he to violate the resolution?

Kwa kuwatukana waamini wa kanisa la Gwajima (mimi si member) wewe ni wa kudharau kwani unatukana ukristo kwa upuuzi wa siasa
Let me remind you “an episcopal conference is not a particular council, much less an ecumenical council. The president of an episcopal conference is nothing more than a technical moderator, and he does not have any particular magisterial authority due to this title.” - Words by Cardinal Gerhard Mueller, prefect of the Congregation for the Doctrine of the Faith.
 
Bahati mbaya sana hujui mfumo wa kanisa Katoliki. With due respect to Cardinal Pengo, he is not on top of the church. Furthermore, kama baraza limeamua who is he to violate the resolution?

Kwa kuwatukana waamini wa kanisa la Gwajima (mimi si member) wewe ni wa kudharau kwani unatukana ukristo kwa upuuzi wa siasa
Further more, In certain circumstances, as defined by canon law, the decisions of an episcopal conference are subject to ratification from the Holy See. Individual bishops do not relinquish their authority to the conference, and remain responsible for the governance of their respective diocese. FYI TEC stands for Tanzania Episcopal Conference. Told you are no match for me when making logical arguments. Go back to school feller. Nadhani ulikuwa hata haujui vizuri maana ya Cardinal au TEC ...!! Zingatia sentensi ambayo maneno yake yana rangi nyekundu. So, Cardinal Pengo was giving comment as a Bishop of Dar es Salaam diocese kwa waumini wa jimbo lake.
 
Further more, In certain circumstances, as defined by canon law, the decisions of an episcopal conference are subject to ratification from the Holy See. Individual bishops do not relinquish their authority to the conference, and remain responsible for the governance of their respective diocese. FYI TEC stands for Tanzania Episcopal Conference. Told you are match for me when making logical arguments. Go back to school feller. Nadhani ulikuwa hata haujui vizuri maana ya Cardinal au TEC ...!! Zingatia sentensi ambayo maneno yake yana rangi nyekundu. So, Cardinal Pengo was giving comment as a Bishop of Dar es Salaam diocese kwa waumini wa jimbo lake.
Bado natafuta rangi nyekundu uliyosema, ukiipata let me know. FYI, hata Gwajima ni zao la mfumo Catholic
 
Bado natafuta rangi nyekundu uliyosema, ukiipata let me know. FYI, hata Gwajima ni zao la mfumo Catholic
Forget about my colour blindness but look for the words with bold font style in my comment.
 
Sidhani kama anakijua anachokiongea achilia mbali kulijua kanisa tena la katoliki hiyo mada nyingine kubwa sana kwake, kwa akili zake hizi kama alivyotuonesha.
Nimeshangaa kusikia eti na Gwajima naye ni mtumishi wa Mungu?
 
Nimeshangaa kusikia eti na Gwajima naye ni mtumishi wa Mungu?
Mkuu usisumbuke na huyo jamaa, Si unamuona sasa kakimbilia ktk mada ya mfumo katoliki badala ya kuzungumzia habari za Gwajima na siasa anazofanya kanisani kwake.
 
JK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
Pia tunavyowaona na kuwachukulia kuwa wamoja inaweza kuwa tofauti kwa kila mmoja kumng'atia mwenzake kidole kwakuwa nao ni binadamu.
 
Mkuu usisumbuke na huyo jamaa, Si unamuona sasa kakimbilia ktk mada ya mfumo katoliki badala ya kuzungumzia habari za Gwajima na siasa anazofanya kanisani kwake.
Kwani Pengo hafanyi siasa? Kwa nini alitoa kauli kuhusu katiba pendekezwa na kupinga msimamo wa TEC?

Kwa nini alitoa kauli kuhusu mauaji ya kanisani Arusha kwamba mhusika si wa imani nyingine wakati upelelezi haujafanyika!?

Kwa nini alitoa kauli kutetea uchinjaji ufanywe na wa dini nyingine kinyume cha Bible?

Pengo ni kada mtiifu wa CCM full stop
 
FYI, hata Gwajima ni zao la mfumo Catholic
Naona umebadili gia angani. Si ulikuwa unamtetea imekuwaje unampondea sasa? Hii akili ya kuomba msaada kwenye tuta ukiwa agani ktk ndege km vile upo ktk daladala .. haaaa 😛😀
 
Kwani Pengo hafanyi siasa? Kwa nini alitoa kauli kuhusu katiba pendekezwa na kupinga msimamo wa TEC?

Kwa nini alitoa kauli kuhusu mauaji ya kanisani Arusha kwamba mhusika si wa imani nyingine wakati upelelezi haujafanyika!?

Kwa nini alitoa kauli kutetea uchinjaji ufanywe na wa dini nyingine kinyume cha Bible?

Pengo ni kada mtiifu wa CCM full stop
Sikiliza mkuu, yani kama hapo ndio umeona umejenga hoja vizuri nakushauri kasikilize tena maneno yake ktk hayo matukio uliyo ulizia kisha ukiona sasa umeelewa umeiva somo la ufahamu njoo niulize tena nitakujibu vizuri. Nakupa fursa ya kuedit maswali yako ukisha mwelewa Cardinal Pengo, Vinginevyo nikikujibu sasa kwa ushahidi kama kawaida yangu utaumbuka. Kila mtu hapa ataamini maneno yangu una tatizo na somo la ufahamu/comprehension, Therefore save your time and honor, Spare yourself from humiliation.
 
Sikiliza mkuu, yani kama hapo ndio umeona umejenga hoja vizuri nakushauri kasikilize tena maneno yake ktk hayo matukio uliyo ulizia kisha ukiona sasa umeelewa umeiva somo la ufahamu njoo niulize tena nitakujibu vizuri. Nakupa fursa ya kuedit maswali yako ukisha mwelewa Cardinal Pengo, Vinginevyo nikikujibu sasa kwa ushahidi kama kawaida yangu utaumbuka. Kila mtu hapa ataamini maneno yangu una tatizo na somo la ufahamu/comprehension, Therefore save your time and honor, Spare yourself from humiliation.
Eti kama kawaida yangu, kwanza mimi ndiyo nakuona leo kwenye Jamiiforums sasa sijui una kawaida ipi. Angekuwa Malaria Sugu au Mwita25 hapo sawa.

Ngoja nikuulize swali kwanza, do you think Pengo was right to nullify what was decided by a team of learned right bishops, both on duty and retired?
 
Kwa nini alitoa kauli kutetea uchinjaji ufanywe na wa dini nyingine kinyume cha Bible?
Wakati unafuatilia maneno ya kadinali Pengo vizuri nakushauri kafungue uzi mwingine wa mambo ya uhalali wa kuchinja ktk biblia au kanisa lako unasemaje. Tutakuja kujadili huko hapa si jukwaa lake na fikiri pia sio lengo la uzi huu.
 
Posts hadi sasa unazo 50 halafu unasema kama kawaida yako, bure kabisa weewe
 
Wakati unafuatilia maneno ya kadinali Pengo vizuri nakushauri kafungue uzi mwingine wa mambo ya uhalali wa kuchinja ktk biblia au kanisa lako unasemaje. Tutakuja kujadili huko hapa si jukwaa lake na fikiri pia sio lengo la uzi huu.
Uzi upo tayari jukwaa la dini hapa hapa Jamiiforums. Hilo nalo linaonesha ulivyo mgeni hapa na unahororoja tu (msemo wa FaizaFoxy)
 
Back
Top Bottom